Ipo shida kubwa kwa Watanzania na sio siasa za ccm wala watawala.

Ipo shida kubwa kwa Watanzania na sio siasa za ccm wala watawala.

winnerian

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
407
Reaction score
634
Ujue tatizi kubwa sana ni wananchi wa Tanzania. Wamekubali na kuridhia kuliwa kwa namna yeyote ile mlaji anvyotaka na sio kwasababu hawajui ila ni wavivu wa kujishughulisha na mambo yao wenyewe. Ndio maana hivi karibuni kabla ya uchaguzi unaenda kutokea mwezi wa 10 mwaka huu 2025 kumeibuka kundi kubwa la walalamikaji wanaojiiweka kwenye nafasi ya kuwaambia wenzao namna nchi inavyoliwa baada ya wao kutolewa kwenye ulaji na hakuna mtu ana time ya kuchukua hatua badala yake ibakia kama tamthilia ya mwendelezo. Kwamba episode ijayo itakuwa tamu sana.

Watanzania ni ngumu kuwatetea kwakua hawana wanachokitaka na ni wavivu sana kushughulikia mambo yao.

Sasa ushauri wangu na wito kwa wale wanawala watanzania. Waleni kwa akili basi ili muendelee kuwala kwa muda mrefu. Halafu watunzeni ili wawe watamu. Mtakulaje watu ambao sio watamu. (Wapeni maendeleo)
 
Ujue tatizi kubwa sana ni wananchi wa Tanzania. Wamekubali na kuridhia kuliwa kwa namna yeyote ile mlaji anvyotaka na sio kwasababu hawajui ila ni wavivu wa kujishughulisha na mambo yao wenyewe. Ndio maana hivi karibuni kabla ya uchaguzi unaenda kutokea mwezi wa 10 mwaka huu 2025 kumeibuka kundi kubwa la walalamikaji wanaojiiweka kwenye nafasi ya kuwaambia wenzao namna nchi inavyoliwa baada ya wao kutolewa kwenye ulaji na hakuna mtu ana time ya kuchukua hatua badala yake ibakia kama tamthilia ya mwendelezo. Kwamba episode ijayo itakuwa tamu sana.

Watanzania ni ngumu kuwatetea kwakua hawana wanachokitaka na ni wavivu sana kushughulikia mambo yao.

Sasa ushauri wangu na wito kwa wale wanawala watanzania. Waleni kwa akili basi ili muendelee kuwala kwa muda mrefu. Halafu watunzeni ili wawe watamu. Mtakulaje watu ambao sio watamu. (Wapeni maendeleo)
Screenshot_20250613-122647~2.png
 
Ukichangia na IMani za wanazotumiwa kuwadanganya neno kusamehee,sijui kumuachia mungu haya ndio giza ambalo litawamaliza TZ.
 
Ujue tatizi kubwa sana ni wananchi wa Tanzania. Wamekubali na kuridhia kuliwa kwa namna yeyote ile mlaji anvyotaka na sio kwasababu hawajui ila ni wavivu wa kujishughulisha na mambo yao wenyewe. Ndio maana hivi karibuni kabla ya uchaguzi unaenda kutokea mwezi wa 10 mwaka huu 2025 kumeibuka kundi kubwa la walalamikaji wanaojiiweka kwenye nafasi ya kuwaambia wenzao namna nchi inavyoliwa baada ya wao kutolewa kwenye ulaji na hakuna mtu ana time ya kuchukua hatua badala yake ibakia kama tamthilia ya mwendelezo. Kwamba episode ijayo itakuwa tamu sana.

Watanzania ni ngumu kuwatetea kwakua hawana wanachokitaka na ni wavivu sana kushughulikia mambo yao.

Sasa ushauri wangu na wito kwa wale wanawala watanzania. Waleni kwa akili basi ili muendelee kuwala kwa muda mrefu. Halafu watunzeni ili wawe watamu. Mtakulaje watu ambao sio watamu. (Wapeni maendeleo)
Acha kutetea uvundo
 
Ukichangia na IMani za wanazotumiwa kuwadanganya neno kusamehee,sijui kumuachia mungu haya ndio giza ambalo litawamaliza TZ.
 
Ujue tatizi kubwa sana ni wananchi wa Tanzania. Wamekubali na kuridhia kuliwa kwa namna yeyote ile mlaji anvyotaka na sio kwasababu hawajui ila ni wavivu wa kujishughulisha na mambo yao wenyewe. Ndio maana hivi karibuni kabla ya uchaguzi unaenda kutokea mwezi wa 10 mwaka huu 2025 kumeibuka kundi kubwa la walalamikaji wanaojiiweka kwenye nafasi ya kuwaambia wenzao namna nchi inavyoliwa baada ya wao kutolewa kwenye ulaji na hakuna mtu ana time ya kuchukua hatua badala yake ibakia kama tamthilia ya mwendelezo. Kwamba episode ijayo itakuwa tamu sana.

Watanzania ni ngumu kuwatetea kwakua hawana wanachokitaka na ni wavivu sana kushughulikia mambo yao.

Sasa ushauri wangu na wito kwa wale wanawala watanzania. Waleni kwa akili basi ili muendelee kuwala kwa muda mrefu. Halafu watunzeni ili wawe watamu. Mtakulaje watu ambao sio watamu. (Wapeni maendeleo)
We bwege umechukua hatua gani,
 
Umenifanya nicheke sana, ni jana tu nilipata mahakama moja ya wilaya nikakuta wana CCM na magwanda yao wako kibao pale akina mama na wanaume baadae nikwageukia nikawatizamaaaaa. Nikabaki na maswali mengi najiuliza, hivi hii mahakama imekuwa jumba la CCM, na je, hivi hizi taasisi za umma tangu lini zikawa ni sehemu ya wanasiasa kufanya mikutano yao ama ndo wanajaribu kuitisha mahakama kwamba wao ndo wako madarakani hivyo isiwasumbue kwenye mambo yao?

Sasa kumbe jibu nimelipata, mahakama iko kwenye chain kubwa imepigwa kabari kali sana ya shingo
 
Back
Top Bottom