Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Watanzania tumechoshwa na manyanyaso ya vyombo vya dola hasa polisi. Kila kukicha watu kupigwa risasi, kubambikiwa kesi na kuuliwa bila makosa.
Hatuoni hatua stahiki zinazochukuliwa au adhabu kwa wanaofanya haya makosa.
Wazee mlioko Rukwa, Kigoma, Handeni na Lushoto tunaomba mtusaidie, maana mahakamani haki haipatikani,wao polisi wanalindana. Kwa hiyo natoa ombi kwa wazee wa mikoa hii mtusaidie maana tumechoka.
Hatuoni hatua stahiki zinazochukuliwa au adhabu kwa wanaofanya haya makosa.
Wazee mlioko Rukwa, Kigoma, Handeni na Lushoto tunaomba mtusaidie, maana mahakamani haki haipatikani,wao polisi wanalindana. Kwa hiyo natoa ombi kwa wazee wa mikoa hii mtusaidie maana tumechoka.