Ipi simu kali kati ya Samsung S8+ na Samsung M31

project planner

JF-Expert Member
Jul 8, 2019
1,166
1,532
Natumaini Ni wazima naomba kujua simu ipi Ni nzuri zaidi Kati ya hizo mbili

1591121415274.png

Samsung S8+

1591121522789.png

Samsung M31
 
s8+ usifananisha na huo upuuzi hiy S series ndo babalao ya samsung zote narudia tena usifananishe na huo upuuzi kwa namna yoyote ile mawaz ya mtu yaheshimiwe
Mkuu mbona m31 naona imeizidi s8+ vitu vingi tu mfano processor ya m31 Ni exynos 9886 Hulu ya s8+ Ni exynos 8891 battery ya m31 Ni kubwa zaidi ya s8+
 
Mkuu mbona m31 naona imeizidi s8+ vitu vingi tu mfano processor ya m31 Ni exynos 9886 Hulu ya s8+ Ni exynos 8891 battery ya m31 Ni kubwa zaidi ya s8+
kweny swala la battery nitakubali ila sitakubali kweny swala la performance inaizid s8+ never ni ngumu mkuu yani s8 ni mtambo huo wala usijiuliz mara mbili S series ina beat samsung model zingine kwa vitu vingi mno hat note series bado hazion ndani
 
kweny swala la battery nitakubali ila sitakubali kweny swala la performance inaizid s8+ never ni ngumu mkuu yani s8 ni mtambo huo wala usijiuliz mara mbili S series ina beat samsung model zingine kwa vitu vingi mno hat note series bado hazion ndani
Ongea kote ila S-series vs Note-series(Same #/Yr).
S... Haichomoki Kwa Note..... kwa namna yoyote ileeeee....

Note-series ndio the last TOP flagship ya Samsung Kwa kila mwaka.

NARUDIA tena Hakuna Mazingira S ikaipita Note,
Zaidi ya kidogo kulingana baadhi ya vitu Baada ya hapo Note anafunika...

Mara nyingi Note-series zinalata picha ya Next S-series.

Na kwa kuhitimisha, HAKUNA Flagship yoyote kutoka katika kampuni yoyote inayopiga Flagship ya Note KWA feature/functionalities.

Ile Stylus Pen inarahisisha maisha sana, hasa upate hizi latest.
 
Mtambo huu unakaa na chaji acha.36hrs bila kuzima data.
"Exynos 9611 chipset, 6000 mAh battery, 128 GB storage, 6 GB RAM, 32 MP Front Camera front camera without front Flash also includes a 64MP f1.8 primary camera with a Quad Bayer array", haya leta sasa hiyo S8+ yako!
 
S8 imefikia ukomo hata wa kupokea updates, na hizi zilizopo madukani siku hizi kila siku zinaweka mistari kwenye kioo.
 
M31 imeipita hiyo s8+ .

Kwa upande wa processor almost ziko sawa.
Camera m31 iko juu
Battery m31 iko juu
Software m31 iko juu
Screen m31 iko juu
Screen protection s8+ iko juu.

From JF App
 
Natumaini Ni wazima naomba kujua simu ipi Ni nzuri zaidi Kati ya hizo mbili
By Far S8+ ni simu bora kuliko M31, nitajaribu kuweka baadhi ya mambo tulinganishe.

1. Display
-m31 display yake ni Amoled ya kawaida full HD
-s8+ display yake ni HDR10 ambayo inamake difference kwenye quality compare na kioo cha kawaida na pia resolution yake imezidi full hd ni Quad HD 1440p.

2. Perfomance
-m31 ni midrange ina uwezo wa kati
-s8+ ni flagship ina uwezo wa juu

Ukitaka kujua gape la perfomance angalia graphics (gpu) m31 ina mali g72 mp3 na s8+ ni Mali G71 Mp20 hizo mp ni kama core kwenye graphics s8 zipo 20 m31 zipo 3 unaona gape lilivyo kubwa.

3. Uwezo wa Internet
Sababu s8 ni flagship pia uwezo wa internet ni Mkubwa yenyewe ina Gigabit lte compare na Lte Advance ya M31, kwenye mitandao kama Halotel inayotumia MiMo utaona difference kubwa ya Speed.

4. Camera
Hizo Mp zisikudanganye still hio 12mp ya s8 ipo vyema kuliko 64mp ya M31, hata ukiangalia ukubwa wa Pixel s8 pixel zake ni kubwa, ukija kwenye video ndio kabisa s8 inachuku video kwa fps nyingi na Hadi slow motion inafanya kazi vizuri.

5. Connectivity
Kwenye s8 kuna connectivity za kisasa, usb 3.1 kwenye s8 compare na usb 2.0 ya m31, kwenye s8 utakuta vitu kama Aptx kwa ajili ya Headphone na speaker za kisasa vitu ambavyo kwenye m31 huvipati.

6. Features mbalimbali
Vitu kama iris scanner, water proof, samsung dex, Ant+ utavikuta kwenye s8 ila kwenye M31 huvikuti.

Kitu pekee ambacho m31 inacho kikubwa ni battery, hata hio software ni debate kama android 9 ya s8 na 10 ya m31 zinaweza kufanana features.
 
By Far S8+ ni simu bora kuliko M31, nitajaribu kuweka baadhi ya mambo tulinganishe.

1. Display
-m31 display yake ni Amoled ya kawaida full HD
-s8+ display yake ni HDR10 ambayo inamake difference kwenye quality compare na kioo cha kawaida na pia resolution yake imezidi full hd ni Quad HD 1440p.

2. Perfomance
-m31 ni midrange ina uwezo wa kati
-s8+ ni flagship ina uwezo wa juu

Ukitaka kujua gape la perfomance angalia graphics (gpu) m31 ina mali g72 mp3 na s8+ ni Mali G71 Mp20 hizo mp ni kama core kwenye graphics s8 zipo 20 m31 zipo 3 unaona gape lilivyo kubwa.

3. Uwezo wa Internet
Sababu s8 ni flagship pia uwezo wa internet ni Mkubwa yenyewe ina Gigabit lte compare na Lte Advance ya M31, kwenye mitandao kama Halotel inayotumia MiMo utaona difference kubwa ya Speed.

4. Camera
Hizo Mp zisikudanganye still hio 12mp ya s8 ipo vyema kuliko 64mp ya M31, hata ukiangalia ukubwa wa Pixel s8 pixel zake ni kubwa, ukija kwenye video ndio kabisa s8 inachuku video kwa fps nyingi na Hadi slow motion inafanya kazi vizuri.

5. Connectivity
Kwenye s8 kuna connectivity za kisasa, usb 3.1 kwenye s8 compare na usb 2.0 ya m31, kwenye s8 utakuta vitu kama Aptx kwa ajili ya Headphone na speaker za kisasa vitu ambavyo kwenye m31 huvipati.

6. Features mbalimbali
Vitu kama iris scanner, water proof, samsung dex, Ant+ utavikuta kwenye s8 ila kwenye M31 huvikuti.

Kitu pekee ambacho m31 inacho kikubwa ni battery, hata hio software ni debate kama android 9 ya s8 na 10 ya m31 zinaweza kufanana features.
Good saana, wengi wanaamini katika quantinty kuliko quality
 
Chief-Mkwawa,
Laiti hii M31 ingekuwa imetengenezwa na kampuni tofauti na Samsung basi ningekubaliana na wewe kwa maelezo yako, yaani M31 camera 64MP ambapo kampuni nyingi kuanzia late 2019 zimeanza kutoa simu katika 64MP unataka kuifananisha na ndugu yake S8 with 12MP, ndio tunakubali kuwa Galaxy series ni flagship lakini huwezi kusema 64MP = 12MP of the same company hapana nakataa. Ukubali au ukatae M31 iko far better than S8 now wanapambanisha A71 v's M31 lakini sio league na S8, huyu alikuwa anapambanishwa na S9 tu kumbuka tunajadili sehemu ndogo tu ya Camera bado software, processor, battery, display etc.
 
Back
Top Bottom