Ipi simu kali kati ya Samsung S8+ na Samsung M31

Chief-Mkwawa,
Laiti hii M31 ingekuwa imetengenezwa na kampuni tofauti na Samsung basi ningekubaliana na wewe kwa maelezo yako, yaani M31 camera 64MP ambapo kampuni nyingi kuanzia late 2019 zimeanza kutoa simu katika 64MP unataka kuifananisha na ndugu yake S8 with 12MP, ndio tunakubali kuwa Galaxy series ni flagship lakini huwezi kusema 64MP = 12MP of the same company hapana nakataa. Ukubali au ukatae M31 iko far better than S8 now wanapambanisha A71 v's M31 lakini sio league na S8, huyu alikuwa anapambanishwa na S9 tu kumbuka tunajadili sehemu ndogo tu ya Camera bado software, processor, battery, display etc.
mkuu mp kubwa sio kigezo cha camera kali.
 
mkorinto,
That's why nimesema hii battle ingekuwa Tecno 64MP v's Samsung 12MP ningekubali, lakini Samsung v's Samsung "BIG NO", hii simu imekuja na improvement nyingi ikiwemo Camera ingawaje ni midrange phone lakini iko more advanced, hii kitu inafanywa saana na Xiaomi, Realme, Redmi now Samsung joined the race katika midrange and budget phone anazipa specs nyingi ku-win the market. Nowadays huwezi sema MP sio ubora watakushangaa 2020 unazungumzia 12MP kwenye midrange na flagships maybe budget phone!
 
Chief-Mkwawa,
Laiti hii M31 ingekuwa imetengenezwa na kampuni tofauti na Samsung basi ningekubaliana na wewe kwa maelezo yako, yaani M31 camera 64MP ambapo kampuni nyingi kuanzia late 2019 zimeanza kutoa simu katika 64MP unataka kuifananisha na ndugu yake S8 with 12MP, ndio tunakubali kuwa Galaxy series ni flagship lakini huwezi kusema 64MP = 12MP of the same company hapana nakataa. Ukubali au ukatae M31 iko far better than S8 now wanapambanisha A71 v's M31 lakini sio league na S8, huyu alikuwa anapambanishwa na S9 tu kumbuka tunajadili sehemu ndogo tu ya Camera bado software, processor, battery, display etc.
mkuu ufahamu kitu kimoja megapixel ni ukubwa wa picha na sio quality ya picha. halafu hizi camera unazoziona zina mp 48, 64 mpaka 108 hio ni technology inaitwa quad bayer, kupata mp halisi unagawanya kwa 4, hivyo hio 64mp ni sawa na 16mp.

hebu angalia proffesional camera mfano hizi Canon mark 3/4/5 nyingi zinarange 12mp mpaka 30mp na zinauzwa mamilioni ya hela, camera tupu inaenda milioni 5 na zaidi, hivyo unafikiri kisimu cha laki 3 ama 4 sababu kina mp64 kitaishinda camera ya milioni kadhaa yenye mp 12? ukishaielewa hii logic tuangalie specification za hizi camera tutumie tu GSMArena, hakuna review ya m31 ila 64mp imetumika pia kwenye A71 tutatumia hio.

galaxy s8+
gsmarena_018.jpg

A71
gsmarena_001.jpg


angalia kwenye mlango wa hilo jengo palipoandikwa Vitosha Hall halafu utaona utofauti wa details uliopo baina ya hio 12mp na 64mp
 
mkuu ufahamu kitu kimoja megapixel ni ukubwa wa picha na sio quality ya picha. halafu hizi camera unazoziona zina mp 48, 64 mpaka 108 hio ni technology inaitwa quad bayer, kupata mp halisi unagawanya kwa 4, hivyo hio 64mp ni sawa na 16mp.

hebu angalia proffesional camera mfano hizi Canon mark 3/4/5 nyingi zinarange 12mp mpaka 30mp na zinauzwa mamilioni ya hela, camera tupu inaenda milioni 5 na zaidi, hivyo unafikiri kisimu cha laki 3 ama 4 sababu kina mp64 kitaishinda camera ya milioni kadhaa yenye mp 12? ukishaielewa hii logic tuangalie specification za hizi camera tutumie tu GSMArena, hakuna review ya m31 ila 64mp imetumika pia kwenye A71 tutatumia hio.

galaxy s8+
gsmarena_018.jpg

A71
gsmarena_001.jpg


angalia kwenye mlango wa hilo jengo palipoandikwa Vitosha Hall halafu utaona utofauti wa details uliopo baina ya hio 12mp na 64mp
bora wewe uongee maan kuna watu wanakuja kufananisha s8+ na upuuzi
 
Ongea kote ila S-series vs Note-series(Same #/Same Yr).
S... Haichomoki Kwa Note..... kwa namna yoyote ileeeee....

Note-series ndio the last TOP flagship ya Samsung Kwa kila mwaka.

NARUDIA tena Hakuna Mazingira S ikaipita Note,
Zaidi ya kidogo kulingana baadhi ya vitu Baada ya hapo Note anafunika...

Mara nyingi Note-series zinalate picha ya Next S-series.
Inawezekana mkuu, mimi najua flagship za samsung zinatoka ktk s series na note series.

Sidhani kama ni sahihi kuzifananisha hizi simu na A, J, M series. Ila labda uchukue ya matolea tofauti tofauti lakini kwa simu ambazo zimetoka ndani ya mwaka huohuo basi Note Series hazikamatiki.
 
mkorinto,
That's why nimesema hii battle ingekuwa Tecno 64MP v's Samsung 12MP ningekubali, lakini Samsung v's Samsung "BIG NO", hii simu imekuja na improvement nyingi ikiwemo Camera ingawaje ni midrange phone lakini iko more advanced, hii kitu inafanywa saana na Xiaomi, Realme, Redmi now Samsung joined the race katika midrange and budget phone anazipa specs nyingi ku-win the market. Nowadays huwezi sema MP sio ubora watakushangaa 2020 unazungumzia 12MP kwenye midrange na flagships maybe budget phone!
tena nitarudia hiy m31 hata kwa galaxy s7 edge bado atatolewa jasho tukifanya ile testing ya kitu kimoja baada ya kingine tukiwa nazo zote mbili yan s7 edge na m31 yani atagaragazwa vby mnooo kwa s8 usiusogelee ule moto kwel s series zile simu zina hadhi ya kuuzwa milioni na upuuzi amini hivyo
 
nakuambiaje mm sina waswas juu linapokuja kwa swala la sim za samsung ila tukiingia ndan ya samsung huy S series ametisha kila nyanja hasa kweny kamera usijaribu
S7 ndo naitumia hapa, imenyooka hio simu si utani mkuu.
 
Kwa kibongo bongo M31 bei nzuri kwenye 600,000/- kushuka ila hiyo s8+ bei imesimama 1,200,000/-
 
yani kwa mm navyoona m31 aende akaburuzane na kina j series na A series ila uku kwengine ataishia kula kibano tu sio kwamba sio simu nzuri ni nzur mnoo ila inategemea unaempambanisha nae ila kwa S8plus ni matusi makubwa mno bora angalau ingekuwa S6 edge plus ingaw na yenyew sio ya mchezo
 
Samahani mkuu, unaelewa maana ya MP kwenye camera.??

Kwanini waTZ wengi mnadhani MP ndiyo ubora wa Camera.???

MP ni upana wa picha ambao camera inaweza kuchukua.!

MP sio ubora wa picha ,ndyo maana Camera za iphone zilizo na MP12 ni nzuri kuliko tecno za MP24.!!
Chief-Mkwawa,
Laiti hii M31 ingekuwa imetengenezwa na kampuni tofauti na Samsung basi ningekubaliana na wewe kwa maelezo yako, yaani M31 camera 64MP ambapo kampuni nyingi kuanzia late 2019 zimeanza kutoa simu katika 64MP unataka kuifananisha na ndugu yake S8 with 12MP, ndio tunakubali kuwa Galaxy series ni flagship lakini huwezi kusema 64MP = 12MP of the same company hapana nakataa. Ukubali au ukatae M31 iko far better than S8 now wanapambanisha A71 v's M31 lakini sio league na S8, huyu alikuwa anapambanishwa na S9 tu kumbuka tunajadili sehemu ndogo tu ya Camera bado software, processor, battery, display etc.
 
Inawezekana mkuu, mimi najua flagship za samsung zinatoka ktk s series na note series.

Sidhani kama ni sahihi kuzifananisha hizi simu na A, J, M series. Ila labda uchukue ya matolea tofauti tofauti lakini kwa simu ambazo zimetoka ndani ya mwaka huohuo basi Note Series hazikamatiki.
Yes, Hiki ndio nazungumzia..
Ndio maana kwenye Mabano nikasema (Same #/same year)..

Ila Watu hawajaonja test ya Note-series, ile stylus pen, ina rahisisha sana maisha, hasa upate Note hizi latest..

Hizo M31/M30s n.k Ni kama unatembea na simu yenye powerbank, kwa hapo nawapa credit...
 
Huu mchuano ni mkali sana.

Mtoa mada lazima ujue kutofautisha specifications na performance.

Specifications ni rawa paramiters ambazo zinapelekea perfromance. Specifications kuwa kubwa haimaanishi performance kuwa kubwa.

Mf. Mtoto wa kishua anaesoma Shule ya english medium. Anakula shule, usafiri, walimu wazuri, home kuzuri lakini mwisho wa siku anafaulu shule ya kata. Lakini kuna mtoto pori mmoja anasoma S/M kilasiku viboko nooo kula mara kufyeka visiki na shida kibao na anafaulu shule ya vipaji.

Sasa yupi ana performance????

Specifications zisikusumbue, mwisho wa siku kuna kitu kinaitwa Benchmarks hapo ndo kuna Real look ya devices

Au mnasemaje mods
 
Huu mchuano ni mkali sana aiseee..bado mpambano unaendelea naona..sehem pekee wajuz wa vitu hiv wanapambana kwa hoja.mpambano unaendelea huu au mtoa uzi kaelewa?
 
mkuu ufahamu kitu kimoja megapixel ni ukubwa wa picha na sio quality ya picha. halafu hizi camera unazoziona zina mp 48, 64 mpaka 108 hio ni technology inaitwa quad bayer, kupata mp halisi unagawanya kwa 4, hivyo hio 64mp ni sawa na 16mp.

hebu angalia proffesional camera mfano hizi Canon mark 3/4/5 nyingi zinarange 12mp mpaka 30mp na zinauzwa mamilioni ya hela, camera tupu inaenda milioni 5 na zaidi, hivyo unafikiri kisimu cha laki 3 ama 4 sababu kina mp64 kitaishinda camera ya milioni kadhaa yenye mp 12? ukishaielewa hii logic tuangalie specification za hizi camera tutumie tu GSMArena, hakuna review ya m31 ila 64mp imetumika pia kwenye A71 tutatumia hio.

galaxy s8+
gsmarena_018.jpg

A71
gsmarena_001.jpg


angalia kwenye mlango wa hilo jengo palipoandikwa Vitosha Hall halafu utaona utofauti wa details uliopo baina ya hio 12mp na 64mp
Mkuu hizi picha zimepigwa nyakati tofauti,pia ukiangalia moja ina mti mbele ingine haina,hili kuweza kulinganisha ubora wa picha ni vyema zikapigwa wakati mmoja,sababu ili upate picha nzuri pia muda(mwanga) ni kigezo.
 
Back
Top Bottom