Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 15,042
- 32,749
Habari zenu wana JamiiForums!
Ningependa kupata maoni kwa wadau katika kuchagua eneo la kuishi. Kuna ndugu yangu anataka kujenga kabisa, viwanja anasema vipo poa kapata maeneo haya;
1. Kigamboni (mjimwema, gezaulole, kisiwa)
2. Kimara
3. Mbezi mwisho
4. Kitunda
5. Goba
Hivyo viwanja maeneo hayo yote anasema dalali kamwambia ni swala la yeye kuchagua eneo, kote vipo anapelekwa mda wowote.
Je, ni sehemu gani nzuri ya kuishi?
Ningependa kupata maoni kwa wadau katika kuchagua eneo la kuishi. Kuna ndugu yangu anataka kujenga kabisa, viwanja anasema vipo poa kapata maeneo haya;
1. Kigamboni (mjimwema, gezaulole, kisiwa)
2. Kimara
3. Mbezi mwisho
4. Kitunda
5. Goba
Hivyo viwanja maeneo hayo yote anasema dalali kamwambia ni swala la yeye kuchagua eneo, kote vipo anapelekwa mda wowote.
Je, ni sehemu gani nzuri ya kuishi?