kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,028
- 17,967
Hivi kuna maeneo ya hovyo kama Mbagala?
Kujenga mbagala ni kuukaribisha uswahili hapastahili kuitwa Dar
Hili eneo halistahili kabisa kuitwa Dar pangehamishiwa mkoa wa Pwani tu hapastahili kabisa kuwa Dar
Wakazi wake hawana ustaarabu kabisa ni sehemu ya ovyo kabisa
Kwa makazi ya familia na makuzi ya watoto hapafai labda ujenge nyumba upangishie tu au frem za biashara maana kuna idadi kubwa ya watu
Ni sehemu ambayo usafiri ni wa shida, fujo fujo tu, ustaarabu zero
Kiufupi mbagala na baadhi ya maeneo ya Temeke sio rafiki kwa kuishi watu kabisa
Mbagala mtu anayejielewa hawezi kutamba kujenga huko
Waliojenga huko Mmbande, Chamazi na mbagala kote huko na hii njia ya kusini wengi wanasimulia majanga na kero wanazokutana nazo kila siku
Mimi nilivyokomaa kununua Goba kipindi hicho baadhi ya rafiki zangu na jamaa zangu walinicheka,na wengine wakanambia siwezi wakawa wanafurahia walivyonunua viwanja wa bei nafuu huko Chamazi, Vkindu,mbagala mmbande na Temeke matokeo yake sasa yanaonekana ni nani anayeishi sehemu nzuri na anayeishi sehemu ya hovyo
Kujenga mbagala ni kuukaribisha uswahili hapastahili kuitwa Dar
Hili eneo halistahili kabisa kuitwa Dar pangehamishiwa mkoa wa Pwani tu hapastahili kabisa kuwa Dar
Wakazi wake hawana ustaarabu kabisa ni sehemu ya ovyo kabisa
Kwa makazi ya familia na makuzi ya watoto hapafai labda ujenge nyumba upangishie tu au frem za biashara maana kuna idadi kubwa ya watu
Ni sehemu ambayo usafiri ni wa shida, fujo fujo tu, ustaarabu zero
Kiufupi mbagala na baadhi ya maeneo ya Temeke sio rafiki kwa kuishi watu kabisa
Mbagala mtu anayejielewa hawezi kutamba kujenga huko
Waliojenga huko Mmbande, Chamazi na mbagala kote huko na hii njia ya kusini wengi wanasimulia majanga na kero wanazokutana nazo kila siku
Mimi nilivyokomaa kununua Goba kipindi hicho baadhi ya rafiki zangu na jamaa zangu walinicheka,na wengine wakanambia siwezi wakawa wanafurahia walivyonunua viwanja wa bei nafuu huko Chamazi, Vkindu,mbagala mmbande na Temeke matokeo yake sasa yanaonekana ni nani anayeishi sehemu nzuri na anayeishi sehemu ya hovyo