Wewe ni kichaa ...nafsi ni ufahamu wa kujitambua....roho ni spirit ndiyo energy kisayansi na mwili ni matter ambayo nayo ni energy tu hivyo Energy (roho) ni kila kitu mwili pia ni energy na nafsi ni energy pia hata mungu ni energy pasipo energy hakuna mungu wala chochote.Roho na nafsi ni viungo na dhana za kufikirika tu.
Havipo.
Mwili na nafsi vyote ni roho tumieni akili neno roho ni spirit ndiyo energy kisayansi....kwenye biblia mungu ana bainisha ukuu wa neno roho kwa kusema hata yeye ni roho na ufalme wake wote ni ufalme wa roho(energy) hivyo mwili na nafsi vyote ni rohoMWANZO 2:7
"BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe chenye nafsi hai"
Mkuu, kupitia nukuu iliyopo hapo juu kutoka katika maandiko utaona kuwa, mwili wa binadamu ni umbile la nje la viungo vyake vinavyooneka katika ulimwengu wa nje. Bali roho ni umbile la ndani la viungo vyake katika ulimwengu wa roho usioweza kuonekana kwa macho ya kimwili. Muunganiko wa maumbile ya nje na ndani ndiyo hukifanya kiiumbe kuonekana kuwa chenye nafsi hai katika sura ya dunia. Uwepo wa hitilafu kubwa katika mwili wa binadamu ama kiumbe chochote, na kutenganishwa na roho yake, basi nafsi yake uhesabika kuwa imekufa.
Tunaweza kupata picha nzuri kupitia kifaa chochote kile cha umeme. Kifaa hicho honekana hakifanyi kazi yake pasipo kuunganishwa katika umeme ambayo ni nishati hai. Muunganiko wa kifaa husika na umeme unaotiririka katika "components" zake za ndani ndipo kinapoonekana kuweza kufanya kazi yake iliyokusudiwa.
Muundaji wa kifaa amekipa mwili wake wa nje unao onekana, lakini pia kuna uhitaji wa mtiririko wa nishati ya umeme ndani yake ambao hauonekani kwa macho ya kibinadamu, ili kifaa cha umeme kifanye kazi zake sawasawa. Uwepo wa hitilafu kubwa katika kifaa ama pasipo kuunganishwa katika umeme, kifaa uhesabika ni kibovu, au kimekufa.
Mnachanganya mambo mwili na nafsi vyote ni roho (spirit) yaani energy.......Energy ndiyo mother nature ya vitu vyote hakuna kitu chochote kisicho energyMwili ni jumba
Roho ni nishati
Nafsi ni muunganiko wa mwili na roho
Utendaji Kazi
Mwili ni kibebeo cha roho.. Roho sio yabisi hivyo inahitaji jumba/kituo.. Tokeo la roho ndani ya mwili huzaa utambulisho huo utambulisho ndio nafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa ndiyo mkubaliane na mimi .....neno roho ni kiswahili kwa kingereza ni spirit na kisayansi ni Energy....hivyo ulimwengu wa roho ni kusema ULIMWENGU WA ENERGY ni sahihi kabisa maana ndiyo ilivyoChief Unauzungumziaje huu watu wanaita Ulimwengu wa Roho? Seems huko ndo kuna kila kitu.
Utasikia ukienda kwa watumishi Nabii au hata hawa waganga wanajua kila kitu kitu katika maisha yako na hata kukutabiria na ikawa kweli au kujua mtu ayawazayo
Naitaji somo hapo.
Fala wewe.Wewe ni kichaa ..
Mwili upo una onekana.As.nafsi ni ufahamu wa kujitambua....roho ni spirit ndiyo energy kisayansi na mwili ni matter ambayo nayo ni energy tu hivyo Energy (roho) ni kila kitu mwili pia ni energy na nafsi ni energy pia hata mungu ni energy pasipo energy hakuna mungu wala chochote.
Akili ni nini?Hauna akili ?
Jibu kwanza swali langu, Then nitajibu swali lakoAkili ni nini?
Unaweza kuthibitisha na kuonyesha hiyo Akili?
Mwili container/ kibebeo cha roho na nafsi. Roho ni uhai, ni kile kinachofanya mwili uwe hai kwa kusukuma damu ambayo ndiyo inapeleka chakula,maji na hewa sehemu zote za mwili. Nafsi inahusika zaidi na cognitive domain yaani mambo ya fahamu na maamuzi ambayo mtu anafikiria na kutenda, yaani hisia ya kiakili. Kuna wakati watu tunatumia maneno haya mawili yaani roho na nafsi interchangeably. Utasikia fulani ana roho mbaya. Hapa anakusudia kusema maamuzi ya mtu huyu hayampendelei yeye. Kwangu mimi nafsi ni kituo cha maamuzi katika mwili.Naomba kujua utofauti na uhusiano wa Mwili, Nafsi na Roho.
Vipo wapi na vinatendaje kazi katika mwili wa mwanadamu.
Nawasilisha.
Kwa hiyo inawezekana ikawa jukumu lako la kiroho ilikua uwe Daktari maisha yakakufundisha uwe askari kwa hiyo unakua umebeba nafsi mpya kinyume na roho yako sio yaani kuacha lile jukumu au lengo la msingi, NB:hili naona ni tatizo linalotusumbua wengi maishani kuwa na multiple self within one spirit then tunaondoka kwenye kusudi kuu lilotuleta ulimwenguni.Mwili ni hicho kiwiliwili chako chote.
Nafsi na roho ni kitu kimoja isipokuwa kuna majukumu ya roho na kuna majukumu ya kinafsi.
Majukumu ya kiroho ya kwanza ni yale uliyopewa toka kuumbwa kwako, nafsi ni yale mapya roho yako inayojifundisha kila siku unayoishi duniani.
Unaweza kuwa na nafsi zaidi ya moja kwenye kiwiliwili chako.
Majukumu ya mwili, nafsi na roho ni "mtambuka" yana muingiliano.
Elimu ya roho Mwenyezi Mungu kawapa wachache sana na kwa uchache sana.
Kingereza Roho ni "Spirit" na Nafsi ni "Psychology".
Kiarabu nafsi ni "nafs" na roho ni "
Nenda post #59 kuna video clip ina diagrams zinafafanuwa vizuri.Kwa hiyo inawezekana ikawa jukumu lako la kiroho ilikua uwe Daktari maisha yakakufundisha uwe askari kwa hiyo unakua umebeba nafsi mpya kinyume na roho yako sio yaani kuacha lile jukumu au lengo la msingi, NB:hili naona ni tatizo linalotusumbua wengi maishani kuwa na multiple self within one spirit then tunaondoka kwenye kusudi kuu lilotuleta ulimwenguni.
Umeeleza vzr sana. Kwa maneno mengine rahisi (tukianza na mwili) mwili ni hii body (housing) tunayoiona. Ambayo kiuhalisia imejaa sense organs na organs nyingine ndani kufanya mwili uwepo. (Kwenye mwili ulieleza vzr sana).Swali zuri hili na mara nyingi tunakuwa hatuwezi kuuliza maswali kama haya kwa sababu tunajifanya tunajua kwa hio tukiuliza maswali kama haya tunajiona wajinga,kwa hio tunabakia hatuulizi ili tuwe miongoni mwa wanaojua.
Roho, nafsi na mwili ni vitu tafauti na kila kimoja kina kazi yake ili kumtimiza mwanadamu awe kamili,ukikosa kimoja kama ya hivyo vitatu, uwawadamu wako utakuwa mashakani.
Tuanze na mwili
Mwili asili yake ni hapa duniani au kwenye dimension hii au realm hii ya dunia au existence, hapa ndio pahala pekee mwili unapoweza ku-exist
Kazi ya mwili kubwa ni ku-host nafsi,yaani nafsi inauvaa mwili na kuishi kwenye mwili, yaani kama vile unapokumbwa na shetani, Anakuwa ameuvaa mwili na anajitambulisha kama yeye na sio wewe tena. Na nafsi inafanya hivyo in a permanent basis yaani kwa namna ya kudumu.
Na mwili ni kama mashine inayomfanya kazi kwa ajili ya nafsi kuweza kuishi kwenye dunia hii,realm au dimension hii.
Mwili kazi yake ni kukusanya information kupitia hisia zake kuu tano,kuona,kusikia,kuonja,kuhisi,kunusa
Sasa twende kwenye roho au kwa kiingereza soul
Soul ni kiunganishi baina ya nafsi na mwili, soul au roho ndio muezeshaji mkubwa wa nafsi, soul ndio mkalimani anaetafsiri kwa nafsi kila kitu kinachofanywa na mwili hapa duniani,
Ndani ya soul kuna emotions,intellect and will, sijui kwa Kiswahili nisemeje hapa,mi sijui tunaitaje emotions kwa Kiswahili
Mwili kupitia hisia zake kuu tano unakusanya information na kupeleka kwenye soul kwa njia ya intellect(akili)
Akili inaweza kufanya kazi upitia hisia za mwli tu bila ya hisia za mwili akili haina uwezo wa kufanya kazi,macho yakiona kitu akili ina-process na kutafsiri ni nini macho yameona kupitia kumbukumbu za akili.
Maskio yakisikia kitu akili ina-process kisha inatafsiri nini maskio yamesikia
Na hisia nyengine kazi ndio hio hio
Sasa tuingie kwenye nafsi au sprit
Sprit ndio uhai wenyewe,yaani sprit ndio mtu mwenyewe naejelewa au kujitambua,utambulisho wa mtu hautokani na mwili wala roho wala akili
Utambulisho wa mtu mimi ni nani unatokana na nafsi au sprit
Kwenye sprit au nafsi kuna mambo matatu makuu
Kuna intuition,consciousness na submission to the source au God
Intuition ni uwezo wa kujua kitu bila ya kujua umejuaje, inatokea unajua tu bila kuambiwa ua kufundishwa
Consciousness ndio uhai wenyewe na kujitambua
Na submission to the source ni kusalimu amri kwenye chanzo cha sprit au nafsi na hiki tunakiita mungu au God
Vitu hivi vyote vipo kwenye nafsi au sprit
Nafsi au sprit haiwezi kuishi hapa duniani bila ya mwili na soul(roho) ndio mana mtu akiwa mzee na mwili umechoka nafsi inaondoka na mwili unaparalaiz na haujiwezi tena na hicho ndio kifo.
Pia mwli ukipata majanga makubwa kama ajali na ukawa hauwezi tena kui-support nafsi dakika hio hio nafsi inaruka permanently na kuondoka na hicho ndio kifo
Kifo ni kufariki
Fariki maana yake ni kutenga,au tunasema kufarakana maana ni kutengana
Kwa hio maana yake ni nafsi inafarakana na mwili hio ndio kufariki au kufa
Mi nadhani niishie hapa kama kunakuwa na Shaka tutaulizana
Mada hii nlielezea kwa kina kidogo kwenye uzi huu hapa chini wa kiingereza
What is spiritual awakening?
What is spiritual awakening? Spiritual Awakening means that you have realized that you are an Immortal and Eternal Spiritual Being, not a Mortal Human Body. Where do we come from? God, or Divine Intelligence, is not a Person but a Neutral Power with the Potential for Unlimited Creation. God...www.jamiiforums.com
Naomba kujua utofauti na uhusiano wa Mwili, Nafsi na Roho.
Vipo wapi na vinatendaje kazi katika mwili wa mwanadamu.
Nawasilisha.