raphael andrew
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 825
- 945
Sielewi kitu 


Asante sana. Niandae Sh ngapi kabisa?Betri itakuq imeshapoteza uwezo,kifup imekufa,nenda mtaa wa agrey k,koo wakubadilishie betri(kama uko dar) i had the same prob nimesolve juz
Asante sana. Niandae Sh ngapi kabisa?
Nipo tayari Mkuu naomba unipe maelekezo. unaweza ukanipm pia ili nikamuone huyo jamaa.Maximum 30,ila unaweza kubargain angalau 25,ukitaka kwenda uniambie nikuelekeze jamaa wa uhakika
Kwani tatizo nini mtu kutumia hiyo simu hadi leo? Uzuri wa I phone ni kwamba unatumia device ya miaka 6 iliyopita huku ukirun OS latest.Mkuu bado unatumia IPHONE5?
Any way nenda kariakoo kabadili battery
Asante sana Mkuu nimefanikiwa. Be Blessed.Maximum 30,ila unaweza kubargain angalau 25,ukitaka kwenda uniambie nikuelekeze jamaa wa uhakika
Nipeni ubora na madhaifu ya i phone 6..
Kwa nini mbaya?Camera mbaya.
kwann mbaya mkuu?Camera mbaya.
kwann mbaya mkuu?
Msaada tutaniiii nmefanya update imegoma kuinstall View attachment 1075130
More details please
Iphone ipi?
Update kutoka ios ipi unaenda ipi?
Umetumia njia ipi
Na unakwamia wapi?
hili suala wadau limewashinda ama??Msaada tutaniiii nmefanya update imegoma kuinstall View attachment 1075130
Iphone 6 kavuuuu