iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Waliwezaje wale FBI CIA cjui kuunlock ile iphone ya gaidi

Apple waliombwa watoe details, wakakataa kwa sababu Term and Conditions haziruhusu kuvujisha privacy ya mtu. Hackers wa FBI wanaweza kui unlock kutumia spam kwenye mail. Na Apple akawaomba waseme walivyoweza wakakataa. Technicians wa Apple wakasolve ni jinsi gani walivyoweza ku unlock na ndio maana akatoa iOS 9.3.5 kabla ya kuja iOS 10. Alisolve na kupitia FBA akaimarisha security kwenye updates.
 
icloud watu wanatoa bhana sema kibongo bongo sahau

kuna story ya yule jamaa aliyekavunja iphone vipande vipande ili siri yake isifichuke
kuna babu wakampa deal atoe msaada na wakapata data zote

alivunja iphone na kabla hajaivunja alitia icloud

watu wakaiunda na wakapata data na akafungwa

SEMA KIBONGO BONGO UNAIBIWA
 
kuna jamaa aliijail break within 72hrs tokea itangazwe. watu nomaaa

Yeah inawezekana.

Jail breaking inahusiana na iOS na sio aina ya simu. iOS 10 ambayo ndio ya sasa tangu mwezi wa 7 watu walikuwa nayo ambao ni developers na Testing Version. Kupitia developers, Pangu na kampuni za JailBreaking softwares walitengeneza version ya jailbreak ya iOS10 hata kabla haijatoka kwenye device ambazo. Na iOS 10 ilianza kutoka kwenye iphone 7.

Jailbreaking its okay. Ni mtu tu kuifanya. Ila ina ni vigumu kujailbreak simu ambayo sio yako. Itahitaji passcodes na password kufanya installation.

 
wakuu habar zenu

iphone 4s inasumbua charge system ,inacharge af ikiwaka haichaji tena tatzo lake n nn hasa..

na charge system zake nawaze badilisha??
 
wakuu habar zenu

iphone 4s inasumbua charge system ,inacharge af ikiwaka haichaji tena tatzo lake n nn hasa..

na charge system zake nawaze badilisha??

Nenda kwenye stores za Apple. Au inaweza ikawa battery imekufa. Check mafundi wa uhakika.

Lakini kama unaweza kwenye kwenye wakala wa Apple wanafanya marekebisho. Kama ina warranty unafanyiwa bure.
 
Jaman Nina tablet yang haisuppot whatsup lkn insta fb fresh mweny ujuz
 
IPad hazikubali whats app mpaka ujailbreak

Inawezekana bila jailbreak ila inahitaji uwe na IPhone ili ku-install Whatsapp...tatizo lingine ni kwamba, uki-sync Ya iTunes tu app inakua inactive.
Lakini mimi hiyo njia nimeitumia for sometym
 
Haikubali mkuu iOS 10 inakubali kuanzia na iPhone 5 na kuendelea.
 
Iphone 4S ndiyo imetiwa kapuni sasa ndiyo mwisho 9.3.5
 
hat

hata mimi kwenye ipad yangu haikubali kudownload nyimbo na video naambiwa niende kwenye i tunestore nikibonyeza hapo naambiwa service is not available in your country , nimejaribu kuingia appstore kudownload app za kudownloadia nyimbo na video lakn hamna kitu
Jaribu turbo downloader inakubali
 
Habari wakuu napenda kujuzwa ,nimekua nikipata shauku kubwa ya kutumia iphone na nina kiu sana ila lengo langu ni kuweza kupata hata 4s used kwa nzuri kabisa na iwe haijachoka .
Vitu ninavyotaka kujua ni kwamba je ubora wa picha kwa simu hii ukoje?Kwa kua Ios 10 haiko kwa simu hii je kuna madhara au mapungufu gani ambayo user wa kawaida atayaona hasa mtumiaji wa mgeni kabisa wa iphone?Je nitajuaje kua simu ninayouziwa haiko locked kwa icloud ? Bei zake zikoje kwa sasa naomba kuwakilisha
 
Habari wakuu napenda kujuzwa ,nimekua nikipata shauku kubwa ya kutumia iphone na nina kiu sana ila lengo langu ni kuweza kupata hata 4s used kwa nzuri kabisa na iwe haijachoka .
Vitu ninavyotaka kujua ni kwamba je ubora wa picha kwa simu hii ukoje?Kwa kua Ios 10 haiko kwa simu hii je kuna madhara au mapungufu gani ambayo user wa kawaida atayaona hasa mtumiaji wa mgeni kabisa wa iphone?Je nitajuaje kua simu ninayouziwa haiko locked kwa icloud ? Bei zake zikoje kwa sasa naomba kuwakilisha
Sikushauri ununue iPhone 4s kwasababu Apple wataacha ku support soon ndomaana iOS 10 haikubali kwenye 4s na huu ni mwanzo kuwa wana ipiga chini
nakushauri nunua 5c
 
Back
Top Bottom