Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Kuna vocha atakaepatia hii ni camera ya simu gani
20180706_172612.jpeg
20180706_175037.jpeg
 
Hivi HUAWEI sio simu mbona sioni comments wakati mm naona ndio yenye kamera bora?
 
Hamna Camera humu yaani imeshindwa hata kuonyesha maneno yaliyo kwenye hilo Bango hapo.
Nimeupload jf zimepungua quality.. kwangu zina zaid ya 5Mb kila picha... kwny JF zina 60kb
 
Nimeupload jf zimepungua quality.. kwangu zina zaid ya 5Mb kila picha... kwny JF zina 60kb
JF sina hakika sana kama inapunguza quality kama whatsapp pia sio sababu ya kufanya hayo maneno yasionekane boss.

Sawa je ni simu gani hiyo?
 
Hivi mkuu una experience na xiaomi vp camera zake nataka nitest pia
mkuu tafuta siku hata mtu ana simu kama s5 kupanda, note 4 kupanda, lg g2 kupanda etc halafu muombe uangalia camera yake, hio j8 ninayo hapa camera yake ni mbaya kupita maelezo.
 
Hivi mkuu una experience na xiaomi vp camera zake nataka nitest pia
Kama camera Ni priority Wana series za camera zinaitwa CC Kuna CC9 na CC9e, ndio zimetoka Hivi karibuni hazijasambaa Sana.

Pia simu zao za mi zinakuwa na camera nzuri zaidi kuliko za redmi.
 
Kwani katika izo simu zote mlizotaja na camera zake na pixel zake je kuna yoyote inayopoteza back ground kiasi iki nimekuuliza nataka kujua
 

Attachments

  • DSC_1178.jpg
    DSC_1178.jpg
    157.8 KB · Views: 25
Kwani katika izo simu zote mlizotaja na camera zake na pixel zake je kuna yoyote inayopoteza back ground kiasi iki nimekuuliza nataka kujua
Hii camera inapoteza background lakini sio nzuri sababu hio blur haina depth.

Ukipata simu za kisasa zenye times of flight camera (tof) hio blur inakuwa na depth, yaani kitu kilichokuwa focused kunakuwa clear, Cha nyuma zaidi blur inakuwa kubwa zaidi, Cha katikati, blur inakuwa size ya Kati etc, na sio focus na blur tu Kama picha yako.

Mfano. Angalia hii picha
Huawei-P30-Pro-camera-sample-portrait-mode-6.jpg


Mtu wa mbele ndio focus ilipo, ukiangalia huyo mtoto wa nyuma blur tayari imeanza lakini si Sana, jinsi mtu alivyo nyuma zaidi ndio jinsi blur inavyoongezeka, Kama real life.
 
Hii camera inapoteza background lakini sio nzuri sababu hio blur haina depth.

Ukipata simu za kisasa zenye times of flight camera (tof) hio blur inakuwa na depth, yaani kitu kilichokuwa focused kunakuwa clear, Cha nyuma zaidi blur inakuwa kubwa zaidi, Cha katikati, blur inakuwa size ya Kati etc, na sio focus na blur tu Kama picha yako.

Mfano. Angalia hii picha
Huawei-P30-Pro-camera-sample-portrait-mode-6.jpg


Mtu wa mbele ndio focus ilipo, ukiangalia huyo mtoto wa nyuma blur tayari imeanza lakini si Sana, jinsi mtu alivyo nyuma zaidi ndio jinsi blur inavyoongezeka, Kama real life.
Ivi mkwawa umesomea izi mambo mana uko na hatari sana sio PC mpak simu uko vzuri but kwa nijuavyo mim sizani kam kuna simu inayopoteza back ground zaid ya digital camera tu kama zipo ni zipo izo tuzifahamu iyo ni canon digital
 
Ivi mkwawa umesomea izi mambo mana uko na hatari sana sio PC mpak simu uko vzuri but kwa nijuavyo mim sizani kam kuna simu inayopoteza back ground zaid ya digital camera tu kama zipo ni zipo izo tuzifahamu iyo ni canon digital
Ndio mguu digital (DSLR) Zina lensi maalumu za kazi hizo, na zinatoa picha nzuri zaidi. Na nafkiri brand zote zipo vizuri kwenye hii Mambo as long as ni DSLR na Zina lens husika, Sony, Nikon, Canon, Panasonic etc.
 
Ndio mguu digital (DSLR) Zina lensi maalumu za kazi hizo, na zinatoa picha nzuri zaidi. Na nafkiri brand zote zipo vizuri kwenye hii Mambo as long as ni DSLR na Zina lens husika, Sony, Nikon, Canon, Panasonic etc.
Lens zake nazo ni kubwa ni vile ilivyo camera ya simu ndio lens ya digital camera Bonge la lens
 
Back
Top Bottom