Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Tecno zpo nying mkuu me natumia j8 wala cjaona mapungufu yyte tena nainjoy kuliko mnaotumia brands kubwa
mkuu tafuta siku hata mtu ana simu kama s5 kupanda, note 4 kupanda, lg g2 kupanda etc halafu muombe uangalia camera yake, hio j8 ninayo hapa camera yake ni mbaya kupita maelezo.
 
Kama unatumia tecno huwez kunielewa
Sijawahi kutumia tecno, ungenijibu kwa facts based kweny camera ..ndio nilichokitaka
Sasa habar za tecno sijui umetoa wapi
 
Sijawahi kutumia tecno, ungenijibu kwa facts based kweny camera ..ndio nilichokitaka
Sasa habar za tecno sijui umetoa wapi

Ashakum mkuu, unajua hv vi henken ukilala navyo na kuamka navyo matatizo mingi mingi.
 
Tecno zpo nying mkuu me natumia j8 wala cjaona mapungufu yyte tena nainjoy kuliko mnaotumia brands kubwa

Sawa mkuu siku ukianza kutumia brand kubwa basi utaona utofauti na hizo boom za wanafunzi wa chuo
 
si kweli, simu zenye camera nzuri ni nokia 808, lumia 1020, galaxy k zoom, panasonic lumix etc ila zote hizo hazina experience nzuri ya smartphone. zina outdated software na maumbo yake ni makubwa.

kwa hizo hapo mbili note 4 ina camera nzuri zaidi
Lumia n kiboko kwa camera
 
mkuu tafuta siku hata mtu ana simu kama s5 kupanda, note 4 kupanda, lg g2 kupanda etc halafu muombe uangalia camera yake, hio j8 ninayo hapa camera yake ni mbaya kupita maelezo.
Huko mbona mbali mkuu!!! Mi nampambanisha na 5mp za lumia 650 dual sim ambayo ni camera ya mbele, maana ya nyuma atakimbia
 
Bongo bahati mbaya unaishia kusema IPhone kiboko hutupii hata picha moja ulopiga tuone huo ukiboko

Pambana na tecno yako
 
Back
Top Bottom