Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Hivi ni kweli kwamba katika smartphone camera iphone ndo yuko vizur? Maana nahitaji ninue kati ya iphone 5s au galaxy note 4 naombeni mawazo yenu...

Sio kweli mkuu...fikiria tu kawaida ni kampuni gani ni maarufu kwa kutengeneza kamera ambazo huwa unazikuta kwenye maduka yetu..

Kwa uchache tu ...
  • Samsung Galaxy S7. Samsung Galaxy S7 Underwater. ...
  • Sony Xperia Z5 Compact. ...
  • Moto X Play. ...
  • Samsung Galaxy S6. ...
  • Moto G (3rd Generation) ...
  • Apple iPhone 7 / 7 Plus. ...
  • HTC 10. ...
  • Huawei P9.
 
Mi nadhani mahaba yanawatesa ndiyo maana mnasema lumia, sony n.k ni best kwa camera. Kwangu iphone 6s plus camera yake ni best... Flash ya camera ya mbele bado hizo simu zingine hazijafikia quality hiyo. R.I.P STEVE JOBS
Baba kuna samsung s7 na sony c5 hizo ni balaaa hebu jaribu uone
 
Experia zote kiufupi sony wanajitahidi sana kwa camera kuliko cm zote
Mkuu nilikuw na Sony Xperia Z2 mbn sikufaidi coz ucku ukpga pic inaingiza filter ya bluu flan hvi!! Ila mchana iko poa
 
Wap bhana nina kitu cha HTC M8 camera yake utasema cannon ina auto focus moja hatari sana.
 
Kuwa na camera nzuri ni one thing na kua professional wa kupiga picha nzuri kuzingatia camera angles ,wapi mtazamaji wa picha huwa anatazama zaidi ,background kunaongeza ubora wa picha kuonekana bora zaidi,hilo pia muhimu sana kujua simu ipi inatoa picha bora
 
tecno c7 na tecno c9 zote camera ya mbele na nyuma ni megapixel 13 je ni bora sana camera zake
 
Uzuri wa camera upo kwenye pixels na screen resolution sio aina ya simu...kama target yako ni camera basi angalia sifa za vitu hivyo tu sio jina
 
Mambo yote Sony Xperia Z1 bhana,naitumia hyo kwa picha ni kiboko
 
Back
Top Bottom