Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Iphone kwa camera nzuri hana mpinzani?

Natumia S8+ kila nikiweka GCam inagoma funguka nifanyaje?
Uzuri wa Note 8 pro ni simu yenye nguvu sana kwa vitu built in ipo vizuri, ubaya wake inatumia mediatek hivyo itakuwa limited kwenye developer support, kwa sasa port ya GCam ipo kwenye hii xiaomi sema ni version ya zamani, version mpya kuna vitu vingi bado havifanyi kazi. Simu nyingi za kichina zina hardware nzuri ila software si nzuri hivyo ukipata software nzuri kama Gcam inasaidia sana kwenye quality ya picha.

Overall redmi note 8 ni simu nzuri zaidi kushinda iphone 7, sema angalia na wewe mwenyewe unapenda android ama ios.
 
Unaweka gcam ya simu yako? Simu yako ipo rooted ama sio rooted? Model ya hio s8+ ni ipi?
SM-G9950 hapa kwenye kuwa rooted nadhani imefanyiwa hivyo maana nimewahi wauliza Samsung juu ya kadhia fulani wakajibu hivi...
Screenshot_20191105-170306_Gmail.jpeg
 
MAIN CAMERA
Five108 MP, f/1.7, 25mm (wide), 1/1.33", 0.8µm, PDAF, Laser AF, OIS
5 MP (upscaled to 8MP), f/2.0, (telephoto), 1.0µm, PDAF, Laser AF, OIS, 5x optical zoom
12 MP, f/2.0, 50mm (telephoto), 1/2.55", 1.4µm, Dual Pixel PDAF, Laser AF, 2x optical zoom
20 MP, f/2.2, 13mm (ultrawide), 1/2.8", 1.0µm, Laser AF
2 MP, f/2.4, 1/5", 1.75µm (dedicated macro camera)
FeaturesQuad-LED dual-tone flash, HDR
Video2160p@30fps, 1080p@30/60/120/240fps, 720p@960fps
SELFIE CAMERA
Single32 MP, f/2.0, 0.8µm
FeaturesHDR
Video1080p@30fps

 
MAIN CAMERA
Five108 MP, f/1.7, 25mm (wide), 1/1.33", 0.8µm, PDAF, Laser AF, OIS
5 MP (upscaled to 8MP), f/2.0, (telephoto), 1.0µm, PDAF, Laser AF, OIS, 5x optical zoom
12 MP, f/2.0, 50mm (telephoto), 1/2.55", 1.4µm, Dual Pixel PDAF, Laser AF, 2x optical zoom
20 MP, f/2.2, 13mm (ultrawide), 1/2.8", 1.0µm, Laser AF
2 MP, f/2.4, 1/5", 1.75µm (dedicated macro camera)
FeaturesQuad-LED dual-tone flash, HDR
Video2160p@30fps, 1080p@30/60/120/240fps, 720p@960fps
SELFIE CAMERA
Single32 MP, f/2.0, 0.8µm
FeaturesHDR
Video1080p@30fps

CC9 Pro
Kuna simu inayozidi hapo?
 
Hii ya mwaka 2016 lakini kwa sasa kuna mabadiliko makubwa
Xiaomi siku hizi ana technology za Nokia za camera yeye na Huawei na Hata R&D zao kwenye camera wamehamishia Finland, Nafkiri hii Note 10 ni product ya kwanza toka kule, kuna improvement siku hizi.
 
Naona mi note 10/Pro hatari japo ni Quad Bayer ila ni ya pili kule Dxomark
Dxomark wapigaji tu usiwaamini sana kwenye hio benchmark yao. Usipowapa hela ama kushirikiana nao wanakurate vibaya.
 
Ni kweli mkuu, redmi note 8 ni choice nzuri zaidi. Na kama unapata redmi note 7 pro kwa bei nzuri ni bora zaidi.
Mkuu hapa zimekaaje kwa upande wa camera tu?? Maana zote wametumia 48Mp Ila moja ni quad na nyingine doube camera??
 
Mkuu hapa zimekaaje kwa upande wa camera tu?? Maana zote wametumia 48Mp Ila moja ni quad na nyingine doube camera??
Mkuu kwenye camera hasa simu ya kichina angalia pia processor (soc), soc inavyokuwa kubwa na nzuri ndio ambavyo ina uwezo pia wa kuhandle camera vizuri na hata kukubali port za simu nyengine.

Kuhusu quad na double angalia kwenye hio quad kilichozidi ni
-Macro
-ultra wide

Hivyo kama unapiga picha za karibu sana ama unataka picha itoe eneo kubwa bila kutumia panorama note 8 itakuwa na advantage otherwise note 7 pro ni nzuri zaidi.
 
Ipi nzuri ya kuangalia nje ya hao?? Maana naangaliaga uchambuzi wao sana
Usitumie benchmarks bali angalia watu wanaopiga picha halisi, Gsmarena wana tool yao sema haipo vizuri kivile ila ni reliable kama unaangalia details tu. Wanapiga picha noti ya malikia ama coin ama kitu maarufu chochote ili hata wewe nyumbani uweze kufanya comparison. Kwa note 10 unaweza angalia zaidi hapa walivyofanya.

Xiaomi Mi Note 10 review

Pia kuna vloggers wa youtube na site kama Allaboutwindowsphone wana detailed comparison ya simu nyingi maarufu zenye camera nzuri.
 
Back
Top Bottom