oscarngala
Senior Member
- Apr 24, 2015
- 196
- 476
hujatumia iphon mkuumhhh mkuu iphone yoyote inapigwa uwezo wa camera na samsung ya mwaka mmoja nyuma.
ukichukua x bas itapata tabu kuipiku s7 edge.kwahiyo match nzuri ni note 8 kwa iphone x,ila note 8 kwa iphone 13 hapana,ni uongo.
iphone 13 itakabana na akina 20ultra na note 20.