IPhone 13 camera hamna kitu

IPhone 13 camera hamna kitu

mhhh mkuu iphone yoyote inapigwa uwezo wa camera na samsung ya mwaka mmoja nyuma.

ukichukua x bas itapata tabu kuipiku s7 edge.kwahiyo match nzuri ni note 8 kwa iphone x,ila note 8 kwa iphone 13 hapana,ni uongo.

iphone 13 itakabana na akina 20ultra na note 20.
hujatumia iphon mkuu
 
Hii picha unaweza kuizoom 10× bila kupoteza focus
20220206_093133.jpg
 
Iphone ni the best for video recording.

Ila when it comes to pictures anagaragazwa na simu nyingi sana.

Pia before iphone 12, Iphone ilikuwa simu ya hovyo sana kwenye low light images.
Ko unabishana na ukweli
 
Yes na ni saatatu asubuhi nimepiga kuelekea mashariki linapotoka jua, pic umeionaje?
Kali saaana.

Nishawahi kuichukua samsung s flani hivi, hata s8 haikufika. Nikaipambanisha na Iphone 8+ kipindi hiko ndo zimetoka tu, niliipambanisha eneo la camera. Tofauti ilikuwa ni ndogo, lakini ukija eneo la kutumia flash ktk camera, samsung kampiku Iphone.

Kuna muda naona hizi iphone watu wanazioverrate mno lakini mimi naona Android ni mziki mwingine. Sana sana hizi samsung devices ni moto mwingine.
 
Kali saaana.

Nishawahi kuichukua samsung s flani hivi, hata s8 haikufika. Nikaipambanisha na Iphone 8+ kipindi hiko ndo zimetoka tu, niliipambanisha eneo la camera. Tofauti ilikuwa ni ndogo, lakini ukija eneo la kutumia flash ktk camera, samsung kampiku Iphone.

Kuna muda naona hizi iphone watu wanazioverrate mno lakini mimi naona Android ni mziki mwingine. Sana sana hizi samsung devices ni moto mwingine.
Si wajapan tunawaangalia wa US wanavyojitutumua na majeneza yao
 
ushamba wetu tu ndio unatuponza, Iphone anauza brand tu pale...samsung upate grade A kutoka korea penyewe, note 9 yangu kwenye camera naikubali sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom