42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,836
- 8,874
Yes ni GCAM maana stock camera inapiga picha kali kwenye mode moja tu.Umeimodify? Umeweka Gcam? Maana inaonesha picha imepigwa kwenye night mode
Yes ni GCAM maana stock camera inapiga picha kali kwenye mode moja tu.Umeimodify? Umeweka Gcam? Maana inaonesha picha imepigwa kwenye night mode
Huyo ni Mbwa au sanamu? maana anapigwa picha mbili bila hata kutikisika???😀😀😀😀😀Kumpambanisha iphone 13 na samsung Note 8 ni katika kuikosea sana iphone, Macho matatu inaanzia kwenye iphone 11 pro max, we ulijuaje kama hiyo ni 13 pro? Iphone 13 pro anapambanishwa na hili toleo jipya la samsung S22 ultra ambapo kiaina flan kwenye camera samsung S22 kamfunika tunda. Hiyo note 8 haitoboi hata kwa iphone 8+.View attachment 2120873
Safi mkuuYes ni GCAM maana stock camera inapiga picha kali kwenye mode moja tu.
Sikatai hiyo ni picha ya mtandaoni ila Zinawekwa simu zote mbili kwa pamoja na kupiga target kwa wakat mmoja. Ila hazijachezewa. Ila mtu mwenye akili timamu hawez fananisha tuna 13 na note 8, hapo unaonesha dalili zote za USHAMBAHuyo ni Mbwa au sanamu? maana anapigwa picha mbili bila hata kutikisika???😀😀😀😀😀
Acha uhuni kijana piga picha halisi sio unatuokotea mitandaoni
. Note 8 apambanishwe na iphone 7+ au 8+ ambapo nina uhakika Note 8 atapigwa za uso.Mkuu wewe ndio umetuma picha za wale mbwa??🙂🙂🙂🙂 aisee ule niukanjanja wa hali ya juu kuchukua picha moja na kuiandika maneno ya camera mbili. tuwekee picha halisiikiwezekana ya leoSikatai hiyo ni picha ya mtandaoni ila Zinawekwa simu zote mbili kwa pamoja na kupiga target kwa wakat mmoja. Ila hazijachezewa. Ila mtu mwenye akili timamu hawez fananisha tuna 13 na note 8, hapo unaonesha dalili zote za USHAMBA. Note 8 apambanishwe na iphone 7+ au 8+ ambapo nina uhakika Note 8 atapigwa za uso.
@Champagnee, haya tuambie ISO, Aperture na Shutter Speed tunazipatia wapi katika iPhone camera? Adjustables ni AF lock & AE compensation pekee. Kamera za iPhones sio manual, usituingize chaka.Mzee utakua hujui setting za iphone pole sana, iphone kama huwezi itumia itakutesa tuachie watabe
Ko professionals duniani wamekaa wamezitest na kuona iphone 13, pixel 6 pro ndo zenye system nzuri ya camera duniani wewe kutoka uko kajampa nani unasema itel ndo bora
Aya bna





Acha bhanaMimi sio mtumiaji wa iphone kwa sasa, unashindwa kuelewa lengo la kukutumia ile picha, pale nimekuonesha tu iphone 13 anapambana na simu model ipi kwa samsung, kwa sasa nina google pixel ambapo ukisema tupambanishe na note 8 nitakubonda ipasavyo, pia nnazo picha nilizopiga kwa 12 pro max ambapo ukisema uzipambanishe na note 8 utaachwa pia, huwezi kufananisha simu yako mid range ya 2017 na flagship ya 2021Mkuu wewe ndio umetuma picha za wale mbwa??🙂🙂🙂🙂 aisee ule niukanjanja wa hali ya juu kuchukua picha moja na kuiandika maneno ya camera mbili. tuwekee picha halisiikiwezekana ya leo
Kwaio wale mbwa kwa uelewa wako wamepigwa na simu mbili tofauti?? angalia position na pozi la mbwa, ukitumia ubongo hata kidooogo utagundua wamepingwa na manera moja, mmoja mafanyiwa editingi kidoogo kuonesha tofauti ndogo ya uangavuMimi sio mtumiaji wa iphone kwa sasa, unashindwa kuelewa lengo la kukutumia ile picha, pale nimekuonesha tu iphone 13 anapambana na simu model ipi kwa samsung, kwa sasa nina google pixel ambapo ukisema tupambanishe na note 8 nitakubonda ipasavyo, pia nnazo picha nilizopiga kwa 12 pro max ambapo ukisema uzipambanishe na note 8 utaachwa pia, huwezi kufananisha simu yako mid range ya 2017 na flagship ya 2021
Kuna picha hapo juu mdao katuma asubuhi hii hebu iangalie12 pro max
Sio kwa dharau, ila ndugu yangu kwenye teknolojia upo nyuma sana, hata hujui kama kuna camera gimbal? Kuna ya simu pia Ambayo inashika simu moja, mbili ama hata 3 kwa pamoja. Ukiangalia hizo picha za mbwa hauoni kama zinatofautiana, kuna moja ina muonesha mbwa mwili full na nyengne inamuonesha mwisho mgongoni, pia hauoni background pale nyuma zipo tofauti, moja inaonesha gorofa kiurwfu zaid nyengne inaonesha nusu. Uko na ushamba flan hiviKwaio wale mbwa kwa uelewa wako wamepigwa na simu mbili tofauti?? angalia position na pozi la mbwa, ukitumia ubongo hata kidooogo utagundua wamepingwa na manera moja, mmoja mafanyiwa editingi kidoogo kuonesha tofauti ndogo ya uangavu
Nahitaji kava la hii poco. Shilingi ngapi?
Bei ya kava sijajua Boss....
Hizo picha wanapiga kwa kutumia Stand.Huyo ni Mbwa au sanamu? maana anapigwa picha mbili bila hata kutikisika???😀😀😀😀😀
Acha uhuni kijana piga picha halisi sio unatuokotea mitandaoni
Iphone ni the best for video recording.Ko professionals duniani wamekaa wamezitest na kuona iphone 13, pixel 6 pro ndo zenye system nzuri ya camera duniani wewe kutoka uko kajampa nani unasema itel ndo bora
Aya bna