IPhone 13 camera hamna kitu

IPhone 13 camera hamna kitu

Pixel 6 kwa normal picha ni superior kulko iphone, ila kwa portrait iphone 13 pro ni zaid ya pixel, thats the fact
What are you talking?

Hizo picha nilizopost umezielewa vizuri.

Unasema Iphone ni nzuri kwa potrait wakati hapo unaona cleary kabisa iphone imeshindwa kuisolate Object.(kutofautisha glass na mazingira mengine).

Anakuwaje zaidi ya pixel?

Hizi takwimu mnazitoa wapi?
 
Mpaka leo tarehe 15.02.2022 hakuna aliejitokeza kuleta picha ya iphone 13 basi humu JF hakuna mwenye hio simu...
Simu ya milioni 4 na ushee!!

Wengi humu watumishi wa serikali wana tecno na infinix

Wengine wanapiga deiwaka kitaa.

Wenyewe 13 ni walio mamtoni na wadangaji waliotoa jicho moja na kupewa matatu.
 
Simu ya milioni 4 na ushee!!

Wengi humu watumishi wa serikali wana tecno na infinix

Wengine wanapiga deiwaka kitaa.

Wenyewe 13 ni walio mamtoni na wadangaji waliotoa jicho moja na kupewa matatu.

the hand of the queen kasema
 
What are you talking?

Hizo picha nilizopost umezielewa vizuri.

Unasema Iphone ni nzuri kwa potrait wakati hapo unaona cleary kabisa iphone imeshindwa kuisolate Object.(kutofautisha glass na mazingira mengine).

Anakuwaje zaidi ya pixel?

Hizi takwimu mnazitoa wapi?
Hyo ni iphone 13 ya kawaida i guess
 
tatzo wewe sio photographer na pia ushazoea tecno na infinix .camera zenye high saturation ,high contrast ,high dust level na zipo sharp.nikwambie tu kwa sisi maphotographer hakuna camera bora kama ya iphone 13

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo ni iphone 13 ya kawaida i guess
Iphone 13 pro hiyo.

Usihamishe magoli

Ambayo ina camera the same na pro max.

Screenshot_2022-02-20-09-40-31-139_com.android.chrome.jpg


Acha kabisa na AI ye Tesor Chip ya Google pixel.

Halafu imagine hiyo chip ndio wameizalisha tu af imeperform hivyo. Matoleo yajayo?
 
tatzo wewe sio photographer na pia ushazoea tecno na infinix .camera zenye high saturation ,high contrast ,high dust level na zipo sharp.nikwambie tu kwa sisi maphotographer hakuna camera bora kama ya iphone 13

Sent using Jamii Forums mobile app
Picha yenye high contrast inawezaje kuwa picha nzuri?

Hapa ndio mimi natofautiana na iSheeps wengi.

Yaani uache vigezo vya picha nzuri kama Good dynamic range, good white balance, object isolation kwa potrait, minimal or no noise.n.k. uje useme picha yenye high contrast inakuwa nzuri?

Ndo maana huwa nasisitiza hata hiyo latest iphone haiwezi fikia simu hizi kwenye category ya picha

Pixel 6

Realme 60 pro plus

Samsung s21 ultra

Xiaomi mi 11 ultra n.k.

Iphone atashinda tu kwenye video ila siyo kwenye picha kwa hiyo simu.
 
Weekend iliyopita nilisafiri kwenda Bagamoyo tulikuwa na event ya kikazi kule.

Basi wakati michezo beach dada mmoja wakishua akaniachia simu yake nimshikie akaogelee ilikuwa ni iPhone 13 maarufu kama macho matatu.

Haikuwa na password so nikaenda kwenye camera nikiwa nimeshika simu mbili kwa pamoja yaani kulia macho3 kushoto macho2 ya Samsung Note8 nikawa napoint kwenye object 1, aisee Samsung note8 kampiga gepu mbaaali sana huyu iPhone 13.

Najua mtakuja kujitetea ila ukweli ndio huo. Huyu sister ni wakishua hasaa so msije na lame excuses kwamba ni copy maana licha ya kwamba ni wakishua kwao ila hata yeye na mumewe wako vema sana.

Anayebisha siku ajaribu kulinganisha halafu aje na mrejesho.

Majaribio yalifanyika mchana na jua linawaka.
Kwahyo wakishua ndo hauziwi simu feki??
 
Picha yenye high contrast inawezaje kuwa picha nzuri?

Hapa ndio mimi natofautiana na iSheeps wengi.

Yaani uache vigezo vya picha nzuri kama Good dynamic range, good white balance, object isolation kwa potrait, minimal or no noise.n.k. uje useme picha yenye high contrast inakuwa nzuri?

Ndo maana huwa nasisitiza hata hiyo latest iphone haiwezi fikia simu hizi kwenye category ya picha

Pixel 6

Realme 60 pro plus

Samsung s21 ultra

Xiaomi mi 11 ultra n.k.

Iphone atashinda tu kwenye video ila siyo kwenye picha kwa hiyo simu.
Na ukiangalia weka resolution ya 2160p sio 448 au 720 au 224
 
Nishawah miliki s6,s8,s9 na note8 kwa pamoja, baadae pixel 3 sahv nataka niingie pixel7 au 6pro kama ikishindikana, ila ndugu zangu ni wazee wa iphones, mi sizipend maana hazian uhuru na hazitaki mambo ya kujidownloadia movies ovyo na apps za kimageuzi,
Ehehehe Hivi hio pixel 7 unajua itatoka lini? Yaani utoke pixel 3 uhamie 6 pro, Umeshinda biko nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom