IPhone 13 camera hamna kitu

IPhone 13 camera hamna kitu

mhhh mkuu iphone yoyote inapigwa uwezo wa camera na samsung ya mwaka mmoja nyuma.

ukichukua x bas itapata tabu kuipiku s7 edge.kwahiyo match nzuri ni note 8 kwa iphone x,ila note 8 kwa iphone 13 hapana,ni uongo.

iphone 13 itakabana na akina 20ultra na note 20.
 
Weekend iliyopita nilisafiri kwenda Bagamoyo tulikuwa na event ya kikazi kule.

Basi wakati michezo beach dada mmoja wakishua akaniachia simu yake nimshikie akaogelee ilikuwa ni iPhone 13 maarufu kama macho matatu.

Haikuwa na password so nikaenda kwenye camera nikiwa nimeshika simu mbili kwa pamoja yaani kulia macho3 kushoto macho2 ya Samsung Note8 nikawa napoint kwenye object 1, aisee Samsung note8 kampiga gepu mbaaali sana huyu iPhone 13.

Najua mtakuja kujitetea ila ukweli ndio huo. Huyu sister ni wakishua hasaa so msije na lame excuses kwamba ni copy maana licha ya kwamba ni wakishua kwao ila hata yeye na mumewe wako vema sana.

Anayebisha siku ajaribu kulinganisha halafu aje na mrejesho.

Majaribio yalifanyika mchana na jua linawaka.
Weka hapa picha zote mbili na sie tuone

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Hata upewe camera nzuri kiasi gani kama hujui kupiga picha vizuri bas itatoka mbaya Tu,lakini mtu mwenye ujuzi mzuri WA kupiga picha hata akiwa na camera mbaya atapiga picha nzuri...Other factors remain constant.
 
Nina picha za iPhone 13
Weee ile ni simu afu simu tena, mchawi setting nakwambia.
Hii sio iPhone.. patia ni camera ya simu gani.. iPhone wanajionaga sanaaa... 😏😏😏
IMG_20220209_182752.jpg
 
Niliivua cava ni IPhone 13

Hapo tu kwenye kuvua kava na kujua ni iPhone 13…Tayari inaonesha hilo ni famba…..ungetuambia uliingia (settings>general >about) kidogo tungekuelewa kuwa hio ni iPhone 13 na hakuna 13 ambayo ni macho matatu macho matatu ni 13pro na 13pro max….huyo kapigwa hakuna iphone 13 hapo huwezi sema eti nilivua kava since iphone haiandikwi nyuma kua ni iphone ngapii
 
Hapo tu kwenye kuvua kava na kujua ni iPhone 13…Tayari inaonesha hilo ni famba…..ungetuambia uliingia (settings>general >about) kidogo tungekuelewa kuwa hio ni iPhone 13 na hakuna 13 ambayo ni macho matatu macho matatu ni 13pro na 13pro max….huyo kapigwa hakuna iphone 13 hapo huwezi sema eti nilivua kava since iphone haiandikwi nyuma kua ni iphone ngapii
iPhone wakiambiwaga sim zao chenga wanamind.. sema jamaa alipata kiiPhone fake
%E8%B6%85%E7%BA%A7%E6%88%AA%E5%B1%8F_20220210_014043.jpg
 
Hapo tu kwenye kuvua kava na kujua ni iPhone 13…Tayari inaonesha hilo ni famba…..ungetuambia uliingia (settings>general >about) kidogo tungekuelewa kuwa hio ni iPhone 13 na hakuna 13 ambayo ni macho matatu macho matatu ni 13pro na 13pro max….huyo kapigwa hakuna iphone 13 hapo huwezi sema eti nilivua kava since iphone haiandikwi nyuma kua ni iphone ngapii
🤣🤣🤣🤣 eti jamani? Au alitoa kava kuangalia ni macho mangapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom