Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,285
- 39,490
12 pro max
Kwasababu nipo Ilazo ndo sisitahili kupata offers.?We ntakuuzia![]()
Mkuu mbona kama haina focus yaani haipo clear au macho yangu?12 pro max
View attachment 2120258
Mkuu hapa focal point ilikuwa maandishi, nguzo au gari?
Hujaitendea haki hiyo simu.
Hajaitendea haki simu yake kiukweli.Mwenzako huyo cheki picha 🙂🙂🙂
wala siyo settings...labda settings
Gcam ya LMC 🔥😄Hiyo picha hata Itel inapiga. Nakupa mfano wa picha ya simu ya kawaida hata laki 8 haifiki na ni usiku. Sio iPhone
View attachment 2114734
We ndugu yangu kabisa wala sijataka kuficha GCAM. LMC ni mod nzuri ilaGcam ya LMC![]()
Kumpambanisha iphone 13 na samsung Note 8 ni katika kuikosea sana iphone, Macho matatu inaanzia kwenye iphone 11 pro max, we ulijuaje kama hiyo ni 13 pro? Iphone 13 pro anapambanishwa na hili toleo jipya la samsung S22 ultra ambapo kiaina flan kwenye camera samsung S22 kamfunika tunda. Hiyo note 8 haitoboi hata kwa iphone 8+.Weekend iliyopita nilisafiri kwenda Bagamoyo tulikuwa na event ya kikazi kule.
Basi wakati michezo beach dada mmoja wakishua akaniachia simu yake nimshikie akaogelee ilikuwa ni iPhone 13 maarufu kama macho matatu.
Haikuwa na password so nikaenda kwenye camera nikiwa nimeshika simu mbili kwa pamoja yaani kulia macho3 kushoto macho2 ya Samsung Note8 nikawa napoint kwenye object 1, aisee Samsung note8 kampiga gepu mbaaali sana huyu iPhone 13.
Najua mtakuja kujitetea ila ukweli ndio huo. Huyu sister ni wakishua hasaa so msije na lame excuses kwamba ni copy maana licha ya kwamba ni wakishua kwao ila hata yeye na mumewe wako vema sana.
Anayebisha siku ajaribu kulinganisha halafu aje na mrejesho.
Majaribio yalifanyika mchana na jua linawaka.
Vile Google pixel user nawacheka chini chiniHii sio iPhone.. patia ni camera ya simu gani.. iPhone wanajionaga sanaaa...View attachment 2114349



Pixel ngap hii, ila mzee picha umeiweka kwenye night mode kijanja janjaHujui simu mzeeee.....
Kama unahisi simu yako inapiga picha piga picha towards jua kama hivi....
Picha ioneshe clear details za vitu vingine pia kama hivi....
View attachment 2114900



Hahaha kwenye night mode kiaje?Pixel ngap hii, ila mzee picha umeiweka kwenye night mode kijanja janja![]()
Umeimodify? Umeweka Gcam? Maana inaonesha picha imepigwa kwenye night modeHahaha kwenye night mode kiaje?
Redmi hiyo.