IPhone 13 camera hamna kitu

IPhone 13 camera hamna kitu

Mpaka leo tarehe 15.02.2022 hakuna aliejitokeza kuleta picha ya iphone 13 basi humu JF hakuna mwenye hio simu...

Kwani issue ilikua ni kupata mtu mwenye iphone 13 hapa JF au mimi ndio sielewi?

Tech za simu ni swala lipo wazi mchana kweupeee mkuu
Huitaji mtu mwenye Samsung utra 22 kupost picha yake hapa kuprove kwamba ni bora kuliko picha za Tecno cannon

Nete 8 vs iphone 13 pro(macho matatu) kwenye tech ya camera........ fanya home work hapo
 
Kwani issue ilikua ni kupata mtu mwenye iphone 13 hapa JF au mimi ndio sielewi?

Tech za simu ni swala lipo wazi mchana kweupeee mkuu
Huitaji mtu mwenye Samsung utra 22 kupost picha yake hapa kuprove kwamba ni bora kuliko picha za Tecno cannon

Nete 8 vs iphone 13 pro(macho matatu) kwenye tech ya camera........ fanya home work hapo
Issue ilikua ni picha ila hapo juu kuna mdau amesema alishaweka ngoja tukaitazame...
 
Kwani issue ilikua ni kupata mtu mwenye iphone 13 hapa JF au mimi ndio sielewi?

Tech za simu ni swala lipo wazi mchana kweupeee mkuu
Huitaji mtu mwenye Samsung utra 22 kupost picha yake hapa kuprove kwamba ni bora kuliko picha za Tecno cannon

Nete 8 vs iphone 13 pro(macho matatu) kwenye tech ya camera........ fanya home work hapo
Kulinganisha picha lazima uwe na simu mbili na unapiga kitu kimoja huwezi kupiga picha na mimi nipige huku halafu tulinganishe, kwa sababu kila mtu yupo kwenye mazingira tofauti na mwanga tofauti
 
Kulinganisha picha lazima uwe na simu mbili na unapiga kitu kimoja huwezi kupiga picha na mimi nipige huku halafu tulinganishe, kwa sababu kila mtu yupo kwenye mazingira tofauti na mwanga tofauti
Picha kali ni picha kali mzeee...


Hiyo note 8 yako with a stock camera app ni takataka.

Mimi nina picha nimepiga na Samsung s8 plus lakini kwa GCAM.

Ngoja nizitafute nizipost hapa.
 
Picha kali ni picha kali mzeee...


Hiyo note 8 yako with a stock camera app ni takataka.

Mimi nina picha nimepiga na Samsung s8 plus lakini kwa GCAM.

Ngoja nizitafute nizipost hapa.
Una umri gani mzee maana povu linavyokutoka kama umetukanwa haya post toune na utataminishaje kama ni za note8?
 
IMG_20201209_112605.jpg


Hii ni picha imepigwa na Samsung s8 plus with GCam mod.

Tena by the time sikuwa naweza kuichezea GCam vizuri.

Nina picha nilizopiga na simu hiyo na ni kali zaidi ya hiyo ila kwa bahati mbaya zinaonesha watu au mazingira ambayo baadhi ya watu wakipita hapa wanaweza kujua.
 
Una umri gani mzee maana povu linavyokutoka kama umetukanwa haya post toune na utataminishaje kama ni za note8?
Ishu siyo umri ila unachokitetea kinazidi kuexpose ushamba wako kwenye simu.

Katika simu ambazo nimezitumia sana ni hiyo series ya S kwa samsung.

Ingawa mimi siyo fan wa Iphone lakini nadeclare hiyo comparison yako wasiozijua simu ndio watakusaport.

Iphone 13 ina camera nzuri.

Tukija kwenye upande wa video hakuna takataka yoyote ya Adroid(mpaka hii takataka yangu ninayoitumia kutype hapa) inafikia quality level ya video ambayo Iphone anaproduce.

Mpaka jana nimetoka kuangalia camera comparison kati ya samsung s22 ultra na Iphone 13 pro max kwenye Channel ya Mr. Whosetheboss youtube.

Samsung s22 ultra anapiga picha kali sana ila likija kwenye suala la video Iphone 13 inastand out.
 
You see...

Unaleta picha uliyopiga na flash kwenye discussion ya camera nzuri.

Hebu piga picha usiku bila flash utuletee hapa kituko kitakachotokea.
Kwahiyo flash haipo kwenye kamera, sasa naanza kukuona pimbi? halafu inaonekana kabisa we ni aidha muuza simu au dalali wa simu na simu mmiliki wa macho matatu maana ladha ya maneno yako imekaa kama mdalali wa simu kariakoo, wanaomiliki hizo simu huwa kidogo wapo decent
 
Kwahiyo flash haipo kwenye kamera, sasa naanza kukuona pimbi? halafu inaonekana kabisa we ni aidha muuza simu au dalali wa simu na simu mmiliki wa macho matatu maana ladha ya maneno yako imekaa kama mdalali wa simu kariakoo
Pimbi ni wewe ungeniuliza logic ya kupiga picha bila flash ningekueleza.

Ninajua simu yako haiwezi kutoa picha nzuri kwenye low light ndio maana nikasema lete picha uliyopiga bila flash.

Huwezi piga picha na flash kwenye distant object.

Hiyo picha uliyoleta hapa bado haclarify ubora wa camera ya simu yako.

Wanaozijua picha wananielewa vizuri sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom