Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,460
- 203,060
Ingia 😹😹We upo ndani? Niingie chumbani?
Ingia 😹😹We upo ndani? Niingie chumbani?
Nakuagiza acha ukaidiJamaa kafanye kazi mi natoa lock![]()
Acha manena dada do the needfulAu tuseme you are not a photogenic, sababu mimi nilishakuwa na tecno spark 3 kuna kapicha nilikpatia angle aisee kalikuwa bomba utasema sio tecno.
Soon sisIngia![]()
Samahani mkuu neno lako ni AMRI KWANGU nafungua sasa hivi.Nakuagiza acha ukaidi

Samahani mkuu neno lako ni AMRI KWANGU nafungua sasa hivi.
This one is for youView attachment 2114700
Safi sana umekua kijana safi, chukua na zako mbili unakunywa niniWewe utamkimbiza ajitukane bure. Wewe sio wa kufanya ligi na Note 8Mkimaliza ligi yenu mtuite wenye pixel 6, tuje tufunge mjadala
Hiyo picha hata Itel inapiga. Nakupa mfano wa picha ya simu ya kawaida hata laki 8 haifiki na ni usiku. Sio iPhoneChallenge this View attachment 2114669
Wa iPhone waje aiseeHiyo picha hata Itel inapiga. Nakupa mfano wa picha ya simu ya kawaida hata laki 8 haifiki na ni usiku. Sio iPhone
View attachment 2114734
Kilimanjaro ndogo mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
Safi sana umekua kijana safi, chukua na zako mbili unakunywa nini
Weka picha acha UJINGAIla muanzisha uzi kweli kilaza serious iPhone 13 unaifananisha na note 8
Weka picha acha UJINGA
Niuzie hizo kretii mkuuHii picha nimepiga saivi na note8 tena ni counter ya ndani hebu piga na wewe na hio iPhonexView attachment 2114027
Njoo chukua chupa na kret 2Niuzie hizo kretii mkuu
Skia mm sina macho matatu ila ngoja nkuonyeshe ya 7plus, iPhone unazichukulia poa sana ndg yetu
View attachment 2114771


Location??Njoo chukua chupa na kret 2