EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,701
- Thread starter
- #121
Njoo mapicha achamanoneUzuri hiyo note 8 nimetumia na android nyingi nyingi zikiwemo hizo Samsungu Note series
Sijatumia Google pixel ndo naskia stori ina Camera kali
Turudi kwa Iphone hii ni habari nyingine pamoja na kuwa na upekee unafanya watu waone kama gereza ila huwez kulinganisha note 8 na Iphone 13 hata kwa iphone Xr tu hiyo note 8 haifui dafu




