IPhone 13 camera hamna kitu

IPhone 13 camera hamna kitu

@Champagnee, haya tuambie ISO, Aperture na Shutter Speed tunazipatia wapi katika iPhone camera? Adjustables ni AF lock & AE compensation pekee. Kamera za iPhones sio manual, usituingize chaka.

By the way, iPhone ina kamera bora zaidi ya Samsung kwa vipengele vingi (sio vyote). Kuna baadhi ya points, kama optical zoom, Samsung ni better kuliko iPhone.

Generally, iPhones are the best phones in camera. Binafsi nazikubali sana.

NB: Unapofananisha brands efficiency, zingatia models zinazoendana au kukaribiana kiuwezo, hiyo ndio fair comparison.
Iphone ni the best kwenye Camera upande wa video.

Video zake zipo clear zana hakuna android anasogea.

Ila tukija kwenye picha kuna simu nyingi sana naweza kukutajia ambazo zinaweza kumgaragaza.
 
Mimi sio mtumiaji wa iphone kwa sasa, unashindwa kuelewa lengo la kukutumia ile picha, pale nimekuonesha tu iphone 13 anapambana na simu model ipi kwa samsung, kwa sasa nina google pixel ambapo ukisema tupambanishe na note 8 nitakubonda ipasavyo, pia nnazo picha nilizopiga kwa 12 pro max ambapo ukisema uzipambanishe na note 8 utaachwa pia, huwezi kufananisha simu yako mid range ya 2017 na flagship ya 2021
Hahahah Dah kuna mwangangu ana Google pixel 3.

Simu ina camera nzuri sana.

Soon na mimi nitachukua Google Pixel 4.

Pixel 5 walizingua kuweka midrange SoC.
 
Sio kwa dharau, ila ndugu yangu kwenye teknolojia upo nyuma sana, hata hujui kama kuna camera gimbal? Kuna ya simu pia Ambayo inashika simu moja, mbili ama hata 3 kwa pamoja. Ukiangalia hizo picha za mbwa hauoni kama zinatofautiana, kuna moja ina muonesha mbwa mwili full na nyengne inamuonesha mwisho mgongoni, pia hauoni background pale nyuma zipo tofauti, moja inaonesha gorofa kiurwfu zaid nyengne inaonesha nusu. Uko na ushamba flan hivi
20220213_085809.jpg


We ndio bonge la mshamba hizi ni picha mbili tofauti kwa maelezo yako?? huoni ya chini wamei-crop miguuni. anyways Iphone 13pro inaweza isiwe sawa na note8 ila argument zako zinaonesha ulivyo na upofu kwa mahaba ya mitandaoni
 
Angalia height kutoka roof na vichwa vya focal points zinafanana?
Dhumuni la hiyo picha ni kukuonesha Tu zile pcha nilizotuma huwa zinapigwaje, hapo nimekuonesha kifaa kinachotumika kuwekea hizo simu ili zitoe picha pamoja yenye pozi moja, wewe ulisema zile pcha zimeeditiwa kwa kuwa zote zina pozi moja. Nikutoe ushamba kidogo,
 
Dhumuni la hiyo picha ni kukuonesha Tu zile pcha nilizotuma huwa zinapigwaje, hapo nimekuonesha kifaa kinachotumika kuwekea hizo simu ili zitoe picha pamoja yenye pozi moja, wewe ulisema zile pcha zimeeditiwa kwa kuwa zote zina pozi moja. Nikutoe ushamba kidogo,
Mkuu tufanye umeshinda
 
Kumpambanisha iphone 13 na samsung Note 8 ni katika kuikosea sana iphone, Macho matatu inaanzia kwenye iphone 11 pro max, we ulijuaje kama hiyo ni 13 pro? Iphone 13 pro anapambanishwa na hili toleo jipya la samsung S22 ultra ambapo kiaina flan kwenye camera samsung S22 kamfunika tunda. Hiyo note 8 haitoboi hata kwa iphone 8+.View attachment 2120873
Kama hii picha inasema kweli, heshima yake samsung.
 
Sikatai hiyo ni picha ya mtandaoni ila Zinawekwa simu zote mbili kwa pamoja na kupiga target kwa wakat mmoja. Ila hazijachezewa. Ila mtu mwenye akili timamu hawez fananisha tuna 13 na note 8, hapo unaonesha dalili zote za USHAMBA. Note 8 apambanishwe na iphone 7+ au 8+ ambapo nina uhakika Note 8 atapigwa za uso.
Sijawahi igusa note 8, lakini i8 plus nimetumia. Iphone 8 plus ana camera nzur mno hasa ktk sehemu ambapo kuna mwanga tayari, lakini maeneo yanayohitaji flash, bado hajakaa sawa.
 
View attachment 2120921

We ndio bonge la mshamba hizi ni picha mbili tofauti kwa maelezo yako?? huoni ya chini wamei-crop miguuni. anyways Iphone 13pro inaweza isiwe sawa na note8 ila argument zako zinaonesha ulivyo na upofu kwa mahaba ya mitandaoni

YAANI ULICHOONGEA HAPA NDIO UNAONYESHA KUWA BONGE LA MSHAMBA HIYO PICHA MOJA CAMERA NI MBILI TOFAUTI KILA SIMU INACHUKUA IMAGE TOFAUTI, WEWE JAMAA NI MNYASA SIJAONA AARGH!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom