iPhone 11... kuvunja rekodi?

Mimi argument yangu ni "Making the most of your resource"

Sasa mimi, achilia iPhone, uniletee Tecno sasa ivi yenye android in 1 GB of ram, lakini it can perform like a 6Gb of rams kwenye samsung, basi nitakwambia Tecno is efficient kuliko Samsung.

Si ignore factor nyengine ambazo zinaweza kufanya simu iwe faster. tatizo lenu mnakuja hapa nakusema " 2019 Iphone bado anatumia 4Gb rams" "2019 bado iphone in 720p" "2019 bado iphone ndo inakuja na dark mode" n.k

Mimi naelewa kuwa processor ina play its role kwenye perfomance, lakini hutowahi kunikuta hata siku moja nikisema "Android hakuna haja ya kuwa na powerful processor kwa kazi inazofanya" tatizo linakuja apa, unajisifia kuwa umekuja na 8Gb of rams 2017, leo 2019 simu ile haipati update?
Inategemea na simu mkuu, Nina OnePlus 5T ya 2017 ilikuja na 8GB ram, na Sasa Hivi nipo latest na Android 9 na hio 10 wanatufikiria.

Simu za Nokia zote zitapata Android P mwakani, Nokia 8 ilitoka na Android 7, imepata 8, 9 na 10 na mwakani inapata 11,

Nvidia shield ilitoka na Android 5.1 Kama sijakosea na Sasa Hivi ipo latest na bado hawajasitisha support.

Hizo Ni official updates, ukienda un official mpaka simu Kama Galaxy s2 inaweza run latest update. Mwenzake waliotoka pamoja iPhone 4 Sasa Hivi kawa Nokia ya tochi huwezi eka app yoyote.

Na mkuu usikatae maneno yako kwenye processor na ram Umewahi kusema hivyo vitu havihitajiki niruhusu nifukue makaburi.
 
Kwakweli apple wametuangusha
Sana tu. Wametuangusha vibaya mno.

Hakuna USB Type C.

Hakuna improved high refresh rate pro motion display.

Hakuna reverse wireless charging.

Hakuna in display fingerprint.

Sasahivi wateja wananunua kwasababu ya eco system na sio kingine.
 
As kwa mda huu saa tisa inaelekea na nusu usiku nikitazama channel ya CCN ya marekani naona mauzo ya mwanzo ya Iphone 11 yamekuwa mabaya sana, kuliko hata ya wapinzani wao Samsung, Google na Huawei waliotoa nao matoleo mapya hivi karibuni.
Hata pre order bado.

Hayo mauzo yamekuwaje mabaya?
 
Carrier gani hawajaanza kulaunch 5G mkuu?
Africa hakuna carrier ambaye amesha launch 5G.

Huko ulaya na marekani ni sehemu chache sana wameshalaunch na still haioneshi mafanikio.

Hata kwenye spot moja kuna upande unaweza pata 5G na mwingine ukakosa kabisa.
 
Sio kazi kujaza 512GB mkuu.

Chukulia mfano simu yako Ina record 4K video dakika kidogo tu inaweza kula 10GB, hasa ikiwa Ni 4K 60 fps,

Wale wanaochukua picha kwa raw, pia wanahitaji storage kubwa,

Games za simu Sasa Hivi ukikuta game Kali Ni 2GB+

Ukikitendea haki kioo chako Cha QHD na unadownload content zake inakula nafasi Sana. YouTube video ya dakika chake kwa 4K 60 fps unakuta Ni zaidi ya GB 3.
Hiyo hatari sana mkuu.
 
wakifanya apple ni best,ila wengine ni nonsense.

leo 2019 mna kioo cha 720p,mnaona hakuna haja hata ya 1080p,siku apple wakiwapa.kipofu anakuwa ameona mwezi.
Tatizo ni ukuta uliojengwa na apple.

Kuna mtu ni mdau wa apple toka iphone 5.

Ndio maana anaweza akaona features nyingine kwa simu zingine bado asizinunue.

Kuhama platform sio kazi rahisi kama unavyowaza.
 
Inategemea na simu mkuu, Nina OnePlus 5T ya 2017 ilikuja na 8GB ram, na Sasa Hivi nipo latest na Android 9 na hio 10 wanatufikiria.
ni 2 years hadi sasa, tucheki kama watakaa 5 years kama wanavofanya wenye 2Gb rams.

Simu za Nokia zote zitapata Android P mwakani, Nokia 8 ilitoka na Android 7, imepata 8, 9 na 10 na mwakani inapata 11,
Kwanini Nokia hawakuiacha hio Nokia 8 bado wanaipa update ya software?

Nvidia shield ilitoka na Android 5.1 Kama sijakosea na Sasa Hivi ipo latest na bado hawajasitisha support.
Same kama nokia.

Hizo Ni official updates, ukienda un official mpaka simu Kama Galaxy s2 inaweza run latest update. Mwenzake waliotoka pamoja iPhone 4 Sasa Hivi kawa Nokia ya tochi huwezi eka app yoyote.
iPhone 4 inakuwa obsolete kwa sababu OS yao sio open source kwamba mtu anaweza akatengeza alternative na ikafanya kazi straight away. Halafu ile status tu ya iOS nayo pia imechangia kufanya kuwa ionekane kuwa sio simu ya pata sote na hivo developers wana expect watu watanunua new iphones na kuacha kutumia za zamani.

Android kila mtu anatia mkono wake, ni muhimu kujiuliza, are you safe with your data?

Na mkuu usikatae maneno yako kwenye processor na ram Umewahi kusema hivyo vitu havihitajiki niruhusu nifukue makaburi.
Mkuu hebu lifukue nitumie link nione hapo nliposema kama Processor na rams hazihusiki kwenye speed. Maana kama nimesema ivo sijui ata nilifikiria kitu gani kinachangia kwenye speed.
 
Africa hakuna carrier ambaye amesha launch 5G.

Huko ulaya na marekani ni sehemu chache sana wameshalaunch na still haioneshi mafanikio.

Hata kwenye spot moja kuna upande unaweza pata 5G na mwingine ukakosa kabisa.
Rain south Africa wameshazindua 5G, sema still wapo kwenye rollout. na baadhi ya mitandao Wana mpango huo.

Sema tatizo la 5G Ni Kama Hilo unalosema haina range kubwa hata ikija tegemea maeneo machache Sana kuwa na network mfano katikati ya jiji.
 
Iphone 6s nafikiri hio ndio itakuwa OS yake ya mwisho kama ntakuwa sijakosea, kwaio ipo haja ya kununua iphone x ambayo bado ina more years to get updates. Wewe unanunua s10 kwa kitu gani kutoka 8plus?

Kununua new iphone each year ni choice ya mtu mwenye uwezo tu.
kioo kipana kinachong'aa zaidi na nguvu zaidi.
 
If it can be done with less Rams, do you need more rams? That is a waste of resources
A13 bionic chip is the most efficient chip in the industry right now.

5 hours more in battery life kwenye iphone 11 pro max.

Can't wait.
 
Tatizo ni ukuta uliojengwa na apple.

Kuna mtu ni mdau wa apple toka iphone 5.

Ndio maana anaweza akaona features nyingine kwa simu zingine bado asizinunue.

Kuhama platform sio kazi rahisi kama unavyowaza.
ni unazi wa ajabu tu.

leo hii mtu akishika samsung metre 10 kutoka ulipo mpaka unaona raha.apple hawafanyi kwa kuwafurahisha wateja.wanaangalia faida zaidi.utafiti kidogo then mauzo bei juu.
 
Notch simu ya kwanza Ni sharp, then akafuatia essential then iPhone, so sio Apple aliekuwa wa kwanza. Na display ya iPhone x imetengenezwa na Samsung. Kabla ya Hapo ilikuwa huwezi kupinda, kukunja kukata display kwa technology ya kawaida ya display, then kukatokea breakthrough ya Oled za plastic ndio maana wakaweza kufanya hivyo. Hii breakthrough haifanywi na watengeneza simu Bali watengeneza display Kama kina Samsung, LG, sharp etc Wakina Apple wao wanatoa tu order kutokana na technology ambayo ipo sokoni.
Kwanini hao Samsung au LG wasitengeneze kwenye simu zao?
 
It might need 4Gb ram, lets wait and see. Its not like others with 8Gb of rams and after 2 years you cant get an upgrade to the latest OS so you have to resort to underground soultions :)
Wapi umeshaona apple wanatangaza mambo ya RAM au Battery Life?
 
ni 2 years hadi sasa, tucheki kama watakaa 5 years kama wanavofanya wenye 2Gb rams.


Kwanini Nokia hawakuiacha hio Nokia 8 bado wanaipa update ya software?


Same kama nokia.


iPhone 4 inakuwa obsolete kwa sababu OS yao sio open source kwamba mtu anaweza akatengeza alternative na ikafanya kazi straight away. Halafu ile status tu ya iOS nayo pia imechangia kufanya kuwa ionekane kuwa sio simu ya pata sote na hivo developers wana expect watu watanunua new iphones na kuacha kutumia za zamani.

Android kila mtu anatia mkono wake, ni muhimu kujiuliza, are you safe with your data?


Mkuu hebu lifukue nitumie link nione hapo nliposema kama Processor na rams hazihusiki kwenye speed. Maana kama nimesema ivo sijui ata nilifikiria kitu gani kinachangia kwenye speed.
kama kuna kitu umenote kwa apple,wana delay kuongeza features katika simu zao ili za nyuma zisiachwe.

lakini sasa hawana namna,charange zimekuwa nyingi sana.akizubaa inakula kwake na wateja wake rayal.
 
So vitz Ni nzuri Kushinda V8?

Kikawaida iOS inatakiwa ikae na chaji zaidi sababu Ni closed system, haina true multitasking, App haziwezi ku access files za app nyengine etc na iPhone Zina vioo vyenye resolution ndogo, SOC zake zinatumia efficiency manufacturing process etc

Lakini Cha ajabu hazikai na chaji compare na alternative za Android.
Alternative ukimaanisha nini?
Android anaweka betri ya 4500 mah kwenye simu zake na iphone ana 2500 mah unategemea nini? Na hapo hazikai hata 24hrs.

Kuwa na efficient chip ndo kunamfanya apple awe vizuri kwenye battery life. Ingekuwa apple ana hizo 5000mah angekaa zaidi ya 18hrs na chaji.

BTW, iphone ndo bingwa wa standby time.
 
Alternative ukimaanisha nini?
Android anaweka betri ya 4500 mah kwenye simu zake na iphone ana 2500 mah unategemea nini? Na hapo hazikai hata 24hrs.

Kuwa na efficient chip ndo kunamfanya apple awe vizuri kwenye battery life. Ingekuwa apple ana hizo 5000mah angekaa zaidi ya 18hrs na chaji.

BTW, iphone ndo bingwa wa standby time.
sasa unafikiri kwanini haweki hizo 5000mah
 
Back
Top Bottom