iPhone 11... kuvunja rekodi?

iPhone 11... kuvunja rekodi?

Unasemaje watavunja record wakati hamna leaks yoyote ya simu?? Mfano mpaka sasa nafahamu baadhi ya specs za Google Pixel 4 na Huawei Mate 30 Pro ingawa bado hajizatoka ila apple ni trh 10 kesho kutwa but still no any info...wait itoke ndio usema itavunja rekodi....Labda kwa iSheep ndo itavunja rekodi kabla ya kutoka.
Habari wadau wa gadgets...

Wale wapenzi wa iPhones siku mbili zijazo apple watazindua iphone 11. Simu hii inasemekana itavunja rekodi ya smartphone zote ktk kila nyanja.

Karibuni hapa tuisubiri na tuichambue kwa kina.
View attachment 1201601
 
Nilisikia 5G wataileta 2020...ila lets wait n see on Tuesday.
Sure wamechoka wachina wanawakimbiza sana especially OnePlus na huwaei wao wameanza na 5G apple bado anahangaika na 4G hata Samsung yuko na 5G
 
Haya specs zishaanza kua released huko gsmarena...Cha kusikitisha haijavunja record kila idara kama ulivyosema , hawa ndugu bado kazi wanayo,, watu saiz wanauziwa logo nasio kingine
 
Haya specs zishaanza kua released huko gsmarena...Cha kusikitisha haijavunja record kila idara kama ulivyosema , hawa ndugu bado kazi wanayo,, watu saiz wanauziwa logo nasio kingine
Event yao ni saa ngapi??
 
Mkuu rejea heading ya uzi ilikua na kiulizo
Haya specs zishaanza kua released huko gsmarena...Cha kusikitisha haijavunja record kila idara kama ulivyosema , hawa ndugu bado kazi wanayo,, watu saiz wanauziwa logo nasio kingine
 
Labda hii itaweza kukaa jukwaa moja na huawei p30 pro maana ile iphone x ilitolewa knockout
 
Hahahaa aisee kimtindo sio simu ya kutisha kivile sema wanaume tutakoma mademu mizinga ya kuitaka hio Iphone 11 Pro itakua hatari tupu....maana mzigo unaanzia $1000 -$1100 hapo ukipata ile storage ya mwisho bei yake ndo hatari...
 
Umeipa promo sana kama masaubwire lakini hakuna cha maana
IMG_20190910_215621_599.JPG
 
Kwa upande wa simu sasa hivi hakuna kampuni inayokuja na technology ya kutisha, zaidi wanaongeza gimmics za kutosha na improvements chache, halafu cha ajabu siku hizi watengeneza simu wamekomaa upande wa kamera as if kamera ndo kila kitu kwenye simu
Tecno mwakani anakuja na simu ina Camera 16 na ndogo zaidi itakua na MP 80.

Nimeangalia Apple hawajaja na kitu chochote cha maana kabisa lakini utashangaa simu inauzwa Milion 5.
 
Kwa upande wa simu sasa hivi hakuna kampuni inayokuja na technology ya kutisha, zaidi wanaongeza gimmics za kutosha na improvements chache, halafu cha ajabu siku hizi watengeneza simu wamekomaa upande wa kamera as if kamera ndo kila kitu kwenye simu
Modification chache sana kwa kweli

Nyingi huzitumii
 
Back
Top Bottom