Kibumbula
JF-Expert Member
- Mar 26, 2018
- 3,690
- 3,382
Mkuu ndio maana nikakuomba ushauri niiwekeje kitaalam?
, kamera labda inachukua picha, video na animation
, unaweza weka paswod kwa fingerprint, jicho, sauti na hisia
, ina uwezo wa kutambua hisia ya mmiliki wake akiishika 
Umeipa promo sana kama masaubwire lakini hakuna cha maana View attachment 1203944
Eti hii nayo ni feature mpya kwenye iPhone 2019
Sio kazi kujaza 512GB mkuu.Kuna mtu anaweza jaza 512GB kwenye simu?
chilubiKumbe iPhone wamefika kwenye 6GB RAM?
Nimecheka bana.... Anyways, it needs the muscles kuendelea kukaa sokoni for 5 years au zaidi kupata updates and still keep a good perfomance.
wakifanya apple ni best,ila wengine ni nonsense.Nimecheka bana.... Anyways, it needs the muscles kuendelea kukaa sokoni for 5 years au zaidi kupata updates and still keep a good perfomance.
Sasa hapa kujua nani anazitumia barabbara izi specs tusuburi kuchukua hii 6GB of rams iphone na 6Gb rams android device, nafikiri the best ni Samsung
Sijui kama ulikuwa ukinifuatilia huko before kitu gani ambacho nilikuwa nakizungumza.wakifanya apple ni best,ila wengine ni nonsense.
leo 2019 mna kioo cha 720p,mnaona hakuna haja hata ya 1080p,siku apple wakiwapa.kipofu anakuwa ameona mwezi.
As usual Apple fan, mpaka kitu afanye apple ndio kinahitajika, si ulikuwa unasema simu haihitaji ram kubwa?Nimecheka bana.... Anyways, it needs the muscles kuendelea kukaa sokoni for 5 years au zaidi kupata updates and still keep a good perfomance.
Sasa hapa kujua nani anazitumia barabbara izi specs tusuburi kuchukua hii 6GB of rams iphone na 6Gb rams android device, nafikiri the best ni Samsung
If it can be done with less Rams, do you need more rams? That is a waste of resourcesAs usual Apple fan, mpaka kitu afanye apple ndio kinahitajika, si ulikuwa unasema simu haihitaji ram kubwa?
kama vigezo vyote vitakuwa sawa,wa lita moja atakuwa vyema.isijekuwa ni scania vs toyota land cruiser.Sijui kama ulikuwa ukinifuatilia huko before kitu gani ambacho nilikuwa nakizungumza.
Labda nikuulize swali moja,
Alietumia lita moja ya mafuta kwenda 16KM na alietumia lita 4 kwenda 16KM nani kwako unaona yupo vyema?
usinambie ios 13 inahitaji 4gb ramIf it can be done with less Rams, do you need more rams? That is a waste of resources



mhhh kumbe zimeshafika sokoni mkuu!Nimeipata hii iPhone 11 Max Pro ni hatari kabisa