iPhone 11... kuvunja rekodi?

ni unazi wa ajabu tu.

leo hii mtu akishika samsung metre 10 kutoka ulipo mpaka unaona raha.apple hawafanyi kwa kuwafurahisha wateja.wanaangalia faida zaidi.utafiti kidogo then mauzo bei juu.
Perception ni kitu kina u tofauti sana baina ya watu.

Wewe unaona raha kwa mtu alieshika samsung mwingine anaona kinyaa.

Mwingine humwambii kitu kwa tecno spark yake, mwingine anakwambia bora asiwe na simu kabisa kuliko kushika simu ya tecno.

Kuna watu wenye mambo mengi kwenye simu na wengine ni basic stuffs tu.

Hilo ni suala la perception.

Unamshauri vipi mtu alietumia ecosystem ya apple ahamie android?

Iphone, ipad, macbook, imac, cheese grater mac, apple tv, apple pay, iwatch, apple card, apple music. Kuna seamless transition of files, service between both devices. Mtu anahamaje kwenye hii ecosystem kirahisi?

Is android ecosystem complete? Au hadi uunganishe kwa msaada wa windows? Samsung galaxy phone, windows laptop, iwatch or any smart watch, any tablet. How do you survive kwenye hii kind of ecosystem? Unajikuta una account zaidi ya 3 na magharama kibao kuweza kuenjoy full features ya kila platform.

Atleast windows walikuja na windows phones, surface book, windows laptops au work stations.

Mwisho kabisa, usilazimishe perception yako ifanane na wengine. Unavyoona raha kwako wengine wanaona kinyaa.
 
Alternative ukimaanisha nini?
Android anaweka betri ya 4500 mah kwenye simu zake na iphone ana 2500 mah unategemea nini? Na hapo hazikai hata 24hrs.

Kuwa na efficient chip ndo kunamfanya apple awe vizuri kwenye battery life. Ingekuwa apple ana hizo 5000mah angekaa zaidi ya 18hrs na chaji.

BTW, iphone ndo bingwa wa standby time.
Mkuu so kila manufacture wa Android anaweka vioo vikubwa na batteries kubwa. Mfano chukulia compact series za Sony Kama Xz1 compact yenye 2700mah tu.

Xz1 compact
gsmarena_001.jpg


Then compare na iPhone zote 3 za mwaka Jana.
iPhone xs 2658mah
gsmarena_001.jpg


iphone Xr 2940mah
gsmarena_001.jpg


iphone xs max
gsmarena_001.jpg


hivyo unaona compact well made Android phone inakaa na chaji zaidi hata Kama battery lake Ni Dogo compare na iPhone hasa hio XR Maana inafanana Mambo mengi na hio Sony.
 
Ndio Nokia 8 imepata latest update na Nokia zote mpaka za Bei rahisi zinapata Android P ya mwakani.
So unaona kuwa you dont need alot of rams to run the latest software? Sasa mnamchekea nini iPhone akiwa na 2Gb of rams halafu ana run ios 12?

Symbian haikuwa open source mpaka leo Nina simu za symbian na zinafanya kazi na naweka apps vizuri tu. Same windows pia sio open source Ila unaweza tumia Windows XP ya zaidi ya miaka 10 iliopita. Hizo Ni policy za Apple tu kufanya simu za zamani zisifanye kazi ili wanunue mpya, Ila siamini Kama feature phone irun WhatsApp na simu Kama iPhone 4 ishindwe.
Developers ndio wataamua kama simu yako ita survive au itakufa tu. Sifikiri kama Apple wamewaambia developers hao kuwa wasijekutengeza updates tena. Nakumbuka kuna jamaa alikuwa na iphone 3g, nikaja kumuekea Whitesnow na apps zile za iphone 4 zikawa zinapiga kazi ila perfomance ilikuwa mbovu. kwaio ni developers wakiamua hamna apps kwa OS yako, hata iwe nzuri vipi, utaiweka kabatini tu simu.

Wewe unasema kuwa ni policy ya Apple kwamba simu za zamani zisifanye kazi, mwenzako anasema iphone ana delay kutoa new features ili simu zao zamani ziendelee kutumika, mbona pana mgongano wa views hapa?

Sasa hapo wapi mkuu nimesema kuwa Processor na ram hazihusiki kwenye speed? au nimekuuliza kama Whatsapp na Youtube kwa pamoja zinahitaji 6Gb of rams to run simultaneously? Hapo ni kama nimekuuliza mkuu unahitaji lita 30 kutoka magomeni mapipa mpaka kariakoo?! nitakuwa nimemaanisha kusema kuwa mafuta hayahitajiki kwenye gari?

Kama sikosei, hapo tulikuwa tunajadiliana efficiency, matumizi ya hizo memory na ndio maana nikakwambia poor memory management. iphone kaeka 6GB of rams sasa tuone iphone with 6GB of rams how it perfoms over 6GB of rams in Samsung.

Besides, iphone si unajua they dont brag about Rams? ni watu wa android tu ndio wana brag na hivo vitu halafu mtu anatumia whatsapp
 
jibu simple tu,hakuna ulinganifu kwa wapinzani.
Kwasababu it's not what apple customers want.

It's not their selling features.

Mtu wa android ukimuambia simu ina 16GB Ram na betri ya 5000 mah atakimbilia dukani kwako kwasababu kwanza wateja hawajielewi pili hawana kingine zaidi cha kuoffer. Android is universal and the same allover nothing perculiar.

Kwenye keynote ya apple unaelezewa zaidi kuhusu software, hardware and other supporting features.

Story za Ram na battery zipo kwenye device za android.
 
tunarudi pale pale,kwamba tulianza na ram 512mb.kwanini hatuku stick hapo?
Ili simu ifanye kazi inahitaji a complete set ya mambo mengi.

Kuna chip, moderms n.k. huwezi fananisha A13 bionic na mediatek au exynos.

Kuna iphone 6 plus inafanya vizuri kwenye performance kuliko galaxy s8.
 
sababu ni hizo update napo hamna tofauti ya maana.

2017 tulikuwa na s8 na iphone 8.tofauti ni kama dola 70 tu.
Sasa hivi kwenye website ya apple iphone 8 ni $450 which is almost 1M ukiweka na kodi inakuja hadi 1.5M.

S8 bei ni 800K hadi 900K.

S9 bei ni 1M hadi 1.2M.

Zunguka kwa hawa wanaouza iphone na samsung uangalie utofauti wa bei.

Unabisha na hili?
 
Na sasa hv niliskia Apple walikua wanatafuta diplays za Oled kutoka kampuni ya kichina ya BOE kisa Samsung wanawauzia diplays cost kubwa...maana katika iphone X moja production cost ni around $400 na Samsung display cost around $150...Lets wait tuone watawafuata China ama vipi maana Trump nae kapandisha ushuru kwa bidhaa imported from China.
Boe Ni mwizi tu Samsung akishawakamata wanaovujisha Siri watasumbuka Sana. Hao ndio walio supply foldable display kwa Huawei kila Samsung akipostpone na wao Wana postpone.
 
Sababu Samsung ana design nzuri zaidi, kwenye low end anatumia water drop notch Ila kwenye high-end walitumia cut out display na quality wise miaka yote wanakuwa na quality nzuri Kushinda iPhone.
Design nzuri zaidi according to u.

Thats it utofauti wa perception.
 
Halafu hivi vyote akina techradar na cnet walituambia kuwa vitakuja. Niliisubiri hii simu nikitumai kupata USB type C na in screen fingerprint but holaa. Unaweza shangaa wakavileta mwakani na ikawa big news kwao
CC Chief-mkwawa
Mwakani wanaweza wasilete vyote.

Nina uhakika watabadili aina ya kuchaji, apple hawataki kucopy, itakuwa wana design aina mpya ya charging na wanaifanyia majaribio ndio maana hujaiona wanaileta.
 
Haha mtu anaongelea matoleo ya miaka 4 nyuma kuyanunua kwa laki 3 anaona sifa! Halafu ukute hiyo alonunua ndo zile za kuvisha housing na fingerprint failure
Zile iphones za makumbusho.

Ukitumia miezi mitatu kwaheri.
 
So unaona kuwa you dont need alot of rams to run the latest software? Sasa mnamchekea nini iPhone akiwa na 2Gb of rams halafu ana run ios 12?


Developers ndio wataamua kama simu yako ita survive au itakufa tu. Sifikiri kama Apple wamewaambia developers hao kuwa wasijekutengeza updates tena. Nakumbuka kuna jamaa alikuwa na iphone 3g, nikaja kumuekea Whitesnow na apps zile za iphone 4 zikawa zinapiga kazi ila perfomance ilikuwa mbovu. kwaio ni developers wakiamua hamna apps kwa OS yako, hata iwe nzuri vipi, utaiweka kabatini tu simu.

Wewe unasema kuwa ni policy ya Apple kwamba simu za zamani zisifanye kazi, mwenzako anasema iphone ana delay kutoa new features ili simu zao zamani ziendelee kutumika, mbona pana mgongano wa views hapa?

Sasa hapo wapi mkuu nimesema kuwa Processor na ram hazihusiki kwenye speed? au nimekuuliza kama Whatsapp na Youtube kwa pamoja zinahitaji 6Gb of rams to run simultaneously? Hapo ni kama nimekuuliza mkuu unahitaji lita 30 kutoka magomeni mapipa mpaka kariakoo?! nitakuwa nimemaanisha kusema kuwa mafuta hayahitajiki kwenye gari?

Kama sikosei, hapo tulikuwa tunajadiliana efficiency, matumizi ya hizo memory na ndio maana nikakwambia poor memory management. iphone kaeka 6GB of rams sasa tuone iphone with 6GB of rams how it perfoms over 6GB of rams in Samsung.

Besides, iphone si unajua they dont brag about Rams? ni watu wa android tu ndio wana brag na hivo vitu halafu mtu anatumia whatsapp
Mkuu Apple wenyewe wameshadakwa kwenye updates zao wanapunguza nguvu za processor, ili watu waone simu zipo slow na kununua nyengine.

Na developer wanalazimishwa kudevelop kwa iPhone mpya indirectly. Apple kupitia tools zake anaweka minimum os inayohitajika kudevelop apps then simu anayotaka kuipiga chini haipi hio os, utawalaumu developers Ila aneratibu huo mpango Ni Apple mwenyewe.
 
Mkuu so kila manufacture wa Android anaweka vioo vikubwa na batteries kubwa. Mfano chukulia compact series za Sony Kama Xz1 compact yenye 2700mah tu.

Xz1 compact
gsmarena_001.jpg


Then compare na iPhone zote 3 za mwaka Jana.
iPhone xs 2658mah
gsmarena_001.jpg


iphone Xr 2940mah
gsmarena_001.jpg


iphone xs max
gsmarena_001.jpg


hivyo unaona compact well made Android phone inakaa na chaji zaidi hata Kama battery lake Ni Dogo compare na iPhone hasa hio XR Maana inafanana Mambo mengi na hio Sony.
Well made android phones unamaanisha nini?

Samsung galaxy kwanini wasiwe na well made android phone?
 
Halafu hivi vyote akina techradar na cnet walituambia kuwa vitakuja. Niliisubiri hii simu nikitumai kupata USB type C na in screen fingerprint but holaa. Unaweza shangaa wakavileta mwakani na ikawa big news kwao
CC Chief-mkwawa
Simu ya milion 5 huwezi kuangalia video ya 1080 resolution karne hii ya 21 alafu watu watampongeza Tim Cook. Mwakani wataletewa simu za resolution ya 1080 watashangilia balaa kama vile ni kitu kipya. Yaani kila mwaka apple wamekua wakiwascam wateja wao na wateja wanashagilia tu.
 
Well made android phones unamaanisha nini?

Samsung galaxy kwanini wasiwe na well made android phone?
Wao pia wanazo Ila sio mainstream, simu zao Mainstream nyingi zinakuwa na high resolution display na vikorembwezo vingi Hivi vina Faida yake na simu zenye resolution ndogo pia Zina Faida zake.

Mfano wa masterpiece za Samsung kwenye chaji Ni Kama Galaxy s8 active. Sema sio mainstream device Ni kwa ajili tu ya watu wanaohitaji simu imara (Rugged device)

gsmarena_001.jpg
 
Sasa ata tecno aweke kamera kumi hamna ata moja wenye uwez wa maana. Wanatumia SOC zenye uwezo mdogo na inferior display na wanakuwa na price kubwa kulinganisha na makampuni mengine kama xiomi na oppo ambazo zipo kwenye same price segment because they know alot of tanzanian they dont know enough important specs in mobile industry.
Actually Camera 2 au 3 zinatosha kwenye simu. Mtu mwenye Camera 2 au 3 anaweza kua anapata picha nzuri kuliko kwenye camers moja kwababu kila camera inakua na kazi yake kwenye picha moja.

Camera 16 nimetania tu watu wa Tecno.
 
Back
Top Bottom