The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Actually Camera 2 au 3 zinatosha kwenye simu. Mtu mwenye Camera 2 au 3 anaweza kua anapata picha nzuri kuliko kwenye camers moja kwababu kila camera inakua na kazi yake kwenye picha moja.Camera 16 zinakusaidia ni ambacho mtu mwenye camera 1 hawezi kupata?
Camera 16 nimetania tu watu wa Tecno.