Introverts Vs Relationship

wewe ndo huwajui introverts sasa!

introverts wanaongea sana via words, introverts wapo social sana kwenye hii mitandao na wana uwezo mzur wakuji defend au kupresent mada kwa maandishi...

wanashindwa kusocilize ukikutana nao in person, lakin kama hiv jf unaona maandishi tu alafu na fake id apa ndo sehemu za introverts kujiachia akijua akuna anaemjua na akuna anaemuona
 
Shukrani kaka yaani umepita mulemuleeeee
 
Aisee sijaona mtu mbishi kama wewe ahahahah
 
Hii hali kuna kipindi ilinipa shida sana hadi nikawa najichukia yani kuna mda nakua sitaki kabisa kuongea sasa unakuta niko na marafiki wanaongea sana mpaka naboreka naanza kujibu kwa kutikisa kichwa..
Now nimejitahidi kuacha naongea sana nikiwa na mtu au watu niliowazoea ingawa changamoto ipo kwenye kuanzisha story
kama mtu hana story na hana interest na vitu ninavyopenda mimi basi tunaweza tusiongee kabisa.
Upande wa mahusiano nadhani huwa napata wasichana wanaonielewa na huwa siwapati kwa shida kabisa nina kama kupendwa flani sana na mabinti.
Najitahidi kuwa bora kila siku maana hii hali sio nzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Havihusiana na hakuna anayeogopa ila tu hatutaki maana hiyo ni tabia ya asili,nikitaka mahusiano natongoza kama kawaida
 
Changamoto
  • Kuonekana domo zege
  • Kutokuaminika kama wapo serious
  • Kuonekana wana maringo
  • Kuonekana wanajisikia
Kuwa intro haina maana unakuwa domo zege ,lakini pia huwa ni wepesi kupotezea yaani mwanamke akizingua kidogo inaweza kula kwake mda wa kulilia mapenzi kubembeleza bembeleza wanawake hatuna na tunaonekana tuko serious saana na hatutaki mautani utani sijui kucheka cheka noo
Mfano mm naienjoy zaidi kufanya adventure kuliko kuhangaika na wanawake,yaani kiufupi huwa hatuna mda saana na wanawake na tunaonekana hatujalin hatujui kubembeleza nk
 
Hapo kwenye melancholics ndo nilipo sasa na huwa napata sana shida kuweka miadi na watu sio tu wanawake na wengine yaani usipofanya tulivyokubaliana huwa nachukia na naweza potezea hata kama hilo jambo ni la faida kwangu na kukulaumu na kukuona mburura kabisa..Hatutakagi ujinga na uswahili sisi
 
Hapo kwenye aibu labda kipindi cha ujana lakini kwangu sina aibu naweza mtongoza yeyote bila shida
 
πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† Ila hapo kwenye kuanzisha story kwa kweli hata mm siwezi na pia huwa siko interested na vistori ujinga vya washkaji ,ukitaka story na mm ni ishu za msingi tuu lakini mambo mengine labda na watu/mtu naemwamini ndo tutastorika kidogo.Kwa kesi ya wanawake hata mm nime observe kwamba wakati mwingine wanakuona una sura ya kistaarabu huongei ongei so wanaona kwamba hutowachamba,ila mm nina asili ya kuwa muongeaji na vituko kwa mwanamke niliyempenda tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…