Mie ni introvert sababu sio muongeaji sana kwa watu nisiowazoea. Ila ni mcheshi kwa niliowazoea na mpenzi kama yupo. Asa sijui niko kwenye kundi gani apo. Napenda kushinda mwenyewee.sio kweli mkuu, mimi sio mbishi. Na weweni introvert?
Habari zenu wadau? Poleni na mihangaiko na vita vya Corona.
Ninakuja mbele zenu kuomba kujua kuna changamoto gani ambazo watu wa ndani ( introverts) wanazipata wakitaka kuanza mahusiano na jinsi gani wanaweza kuzishinda ukizingatia personality yao inawafanye wawe waoga kiunteract na watu wengine.
Nawasilisha !
Sent using Samsung Galaxy A7 (2018)
Chizaa geteWakitaka kuanza mahusiano inawawia vigumu sana kuchukua hatua ya kwanza hasa kwenye kutongoza ni midomo zege!,Ni watu wenye hofu kuichukua hatua yoyote ile bila kuona usahihi wa yeye kuichukua hatua husika! Ni logics people so kufikia maamuzi kitu kimepangwa kikapangika!.
Wanakuwa disappointed ama wao wenyewe au watu waliomzunguka kutokana na ugumu walionaokuichukua hatua hiyo wengine huwaona kama si binadamu aliekamilika so husemwa vibaya sometime na yakimfikia hujisikia hovyo na huenda akaacha jambo husika.
Tabia pia za mhusika huenda zikamkwaza asichukue hatua ya kuamua kuingia kwenye mahusiano!
Let's say yeye ni mpole ila anatokea kumpenda mtu mwenye gubu,kukurukakara aisee hawapendi hivi.. wao wanapenda utulivu na maelewano.
Kutokuwa karibu na watu huwaleteleza kuwa na aibu,kutokujiamini mbele ya watu hasa jinsia iliyotofauti nae so hayo yanaweza mpatia ugumu ktk kutongoza n.k
Mkuu moja ya usuruhishi wa tatizo ni kulitambua tatizo introvert husubiri mahusiano ila pindi yafikapo huruka mbali
Akiweza tambua kuwa ili kupata ushirikiano na watu na kujiongezea kujiamini ni lazima ashiriki na watu hili litamfanya awazoee watu,maana kwanza introvert wana akili nyepesi ya kutambua na pia inaweza mrahisishia kupata mwenza humohumo kutokana na mazoea n.k
Nadedaga Lolo
Wakitaka kuanza mahusiano inawawia vigumu sana kuchukua hatua ya kwanza hasa kwenye kutongoza ni midomo zege!,Ni watu wenye hofu kuichukua hatua yoyote ile bila kuona usahihi wa yeye kuichukua hatua husika! Ni logics people so kufikia maamuzi kitu kimepangwa kikapangika!.
Wanakuwa disappointed ama wao wenyewe au watu waliomzunguka kutokana na ugumu walionaokuichukua hatua hiyo wengine huwaona kama si binadamu aliekamilika so husemwa vibaya sometime na yakimfikia hujisikia hovyo na huenda akaacha jambo husika.
Tabia pia za mhusika huenda zikamkwaza asichukue hatua ya kuamua kuingia kwenye mahusiano!
Let's say yeye ni mpole ila anatokea kumpenda mtu mwenye gubu,kukurukakara aisee hawapendi hivi.. wao wanapenda utulivu na maelewano.
Kutokuwa karibu na watu huwaleteleza kuwa na aibu,kutokujiamini mbele ya watu hasa jinsia iliyotofauti nae so hayo yanaweza mpatia ugumu ktk kutongoza n.k
Mkuu moja ya usuruhishi wa tatizo ni kulitambua tatizo introvert husubiri mahusiano ila pindi yafikapo huruka mbali
Akiweza tambua kuwa ili kupata ushirikiano na watu na kujiongezea kujiamini ni lazima ashiriki na watu hili litamfanya awazoee watu,maana kwanza introvert wana akili nyepesi ya kutambua na pia inaweza mrahisishia kupata mwenza humohumo kutokana na mazoea n.k
Nadedaga Lolo
Zipo thread mbili za introvert humu zilitembea sana mmoja unaitwa"watu wakimya/wapole changamoto zipi zimewahi tukuta", mwingine unaitwa wale introvert/shyness...."hapo mbele sikumbuki vizuri uliandikwaje
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio mkuOoh kumbe
Usimweke YESU katika hiyo list ya wavuvi...Kiufupi Intros hawajaumbiwa mapenzi!! Maana hawayawezi
Angalia real introvert kama Yesu, Tesla, Newton, Da Vinci, nk nk hawakua na wapenzi.
Kwakweli umenisema kama nilikuhadithia nilivyo... .I'm melancholicsIntroverts kundi la phlegmatic ni wakimya mno na huwezi kujua kama wamekasirika au wamefurahi . Wanaweza kuwa wananyanyasika bila kusema . Kwa kifupi they are too dull .
Introverts kundi la melancholics siyo waongeaji lakini unaweza kuwatazama usoni ukajua kiwango chake cha furaha au hasira . Mara nyingi ni kundi la watu wanaolenga kwenye ukamilifu ( perfectionists ) , sasa changamoto ni kwamba hakuna mtu asiyekuosea ; nd'o maana wakikosea wao hawawezi kujisamehe na akikosea mwenzie hawezi kusamehe , kwa hiyo ni watu complicated ingawa ukiwaelewa huwa ni wakarimu mno na ni waaminifu na wenye vipaji vikubwa vya akili , utunzi na uvumbuzi .
Naomba kuwasilisha .
Sent using Jamii Forums mobile app
introvert ninaemfahamu mimi hana aibu wala hana tatizo la kutokujiamini. Enzi za chuo, muda pekee utakaomuona akiongea ni wakati wa presentation. Na hapo ndio atakushangaza kwa uwezo wake wa kupresent kwa kujiamini. Tofauti na hapo, hautamsikia tena. Group la darasa aliandika text mara moja tu ndani ya miaka sita niliyokua humo. Nyinyi wengine mnasumbuliwa na aibu tu na kutokujiamini hehee!Tatizo binamu yangu amekariri definition. Enzi hilo neno linatafsiriwa hakukuwa na mitandao kama jamiiforums, ingekuwepo wakati huo bila shaka wangefafanua
nina tabia hizo pia, but i don't consider my self an introvert!Mie ni introvert sababu sio muongeaji sana kwa watu nisiowazoea. Ila ni mcheshi kwa niliowazoea na mpenzi kama yupo. Asa sijui niko kwenye kundi gani apo. Napenda kushinda mwenyewee.
Mimi sina aibu hata kidogo binamu,naweza kusimama nikaongea au nikaimba mbele ya kundi la watu.introvert ninaemfahamu mimi hana aibu wala hana tatizo la kutokujiamini. Enzi za chuo, muda pekee utakaomuona akiongea ni wakati wa presentation. Na hapo ndio atakushangaza kwa uwezo wake wa kupresent kwa kujiamini. Tofauti na hapo, hautamsikia tena. Group la darasa aliandika text mara moja tu ndani ya miaka sita niliyokua humo. Nyinyi wengine mnasumbuliwa na aibu tu na kutokujiamini hehee!
sawa jamani, nimekubali nyinyi ni maintrovert. Kiroho safi binamu!Mimi sina aibu hata kidogo binamu,naweza kusimama nikaongea au nikaimba mbele ya kundi la watu.
Haha..
Kwani nani alikuwa anapenda debate..?
Kuna siku nikaweka hudhuru ya makusudi ticha akaona isiwe tabu jina langu likawekwa mwishoni kabisa nikijua limetolewa halafu kwenye hudhuru sikwenda ila akili ilinicheza kwamba bado nipo kwenye listi ya waongeaji nikawa nimejiandaa kabisa😂
Nilivyoitwa tu watu waliangua vicheko😂
Ile ilikuwa ni adhabu sema kweli dah!
Nikienda mbele kutizama watu ni zoezi gumu ila nikae nyuma kelele nyingi kweli..
Itabidi watuzoee tu hakuna namna..
Hahaha..yaani naongelea mwanaume introvert na mwanamke extrovert au mwanaume extrovert na mwanamke intovertKutifuana kivipi wakati hatutaki shida? si unapotezea ukiona huwezi vumilia? Binafsi naona wanaume ambao sio intro wanapata tabu sana kwa kuwa driven na wanawake na kulia lia kila mda na ndo hao wanajinyonga lakini sio sisi intros,yaani mwanamke anikosee afu nimbembeleze? haijawah tokea..hata tabia za kubembelezana na kudeka deka hatupendi kabisa
Sehemu nayoishi mm huwa wananiogopa maana mm ni salamu miendo/ndani sina stor sijui na wanawake au washkaji wa hovyo hovyo hapana,tuko selective na marafiki mara nyingi wanakuwa very few
Aina hii ya maisha imeniepusha na ugomvi na mabalaa mengi wanayopata watu wanaopenda kuchangamana,kugombana kwao ni nje nje nk nk
Mimi sijalazimisha kuwa ni introvert ila nikiangalia yanayosemwa kuhusu hao watu mengi yananihusu ndio maana nilisema unitafutie jina unanipa jina bayaaa...upande wa aibu mimi nakataa sijawahi kuwa na aibu hata kidogo hadi kuna rafiki yangu alikuwaga ananisema eti mwanamke unakuwaje na macho makavu hivyo😂😂😂sawa jamani, nimekubali nyinyi ni maintrovert. Kiroho safi binamu!
Mimi debate nilikuwa nashiriki vizuri kabisa na nikipangwa naparticipate vizuri sema hadi nikukubalie kushiriki ufanye kaziHaha..
Kwani nani alikuwa anapenda debate..?
Kuna siku nikaweka hudhuru ya makusudi ticha akaona isiwe tabu jina langu likawekwa mwishoni kabisa nikijua limetolewa halafu kwenye hudhuru sikwenda ila akili ilinicheza kwamba bado nipo kwenye listi ya waongeaji nikawa nimejiandaa kabisa😂
Nilivyoitwa tu watu waliangua vicheko😂
Ile ilikuwa ni adhabu sema kweli dah!
Nikienda mbele kutizama watu ni zoezi gumu ila nikae nyuma kelele nyingi kweli..
Itabidi watuzoee tu hakuna namna..