Into the Badlands Season 3 returns

Into the Badlands Season 3 returns

Nk Kam kastuka yule black haaminiki
MK hajashtuka. Anazidi kumuamini. Amemwambia Elli kwamba Pilgrim ndie mtu pekee aliyemwambia ukweli. Kwamba Azra sio sehem ya kwenda bali ni sehem ya kuipigania, kuijenga na kujitoa sadaka ili ipatikane
 
Yule mchawi aliona mbele jamaa atamuua
MK hajashtuka. Anazidi kumuamini. Amemwambia Elli kwamba Pilgrim ndie mtu pekee aliyemwambia ukweli. Kwamba Azra sio sehem ya kwenda bali ni sehem ya kuipigania, kuijenga na kujitoa sadaka ili ipatikane
 
Black lotus wataua Habingers wote na dark pewered wote
Vipi kuhusu sunny atapewa nguvu zake na kanan na hapohapo kanan kashapoteza gift zake natamani kujua pilgrin nani atamdhibiti na sunny kaambiwa akipewa gift zake ambae atazi switch off ni pilgrin ambayo inaweza ikamfanya sunny afe ila anachoamini sunny si maisha yake yeye ila tu amsave mwanae henry basi.
 
Sunny kafa dah aseee pia kamaliza lengo lake hope mzigo ushafika mwisho maana hata ikiendelea haitonoga tena kwakweli.
 
Sunny kafa dah aseee pia kamaliza lengo lake hope mzigo ushafika mwisho maana hata ikiendelea haitonoga tena kwakweli.
Nadhani kuna season nyingine...

Sunny bado hajafa,zile power zake zilikua unlocked kama uliangalia kwa umakin macho yake yaliwakaa...sasa zile zinamrudisha taratibu
 
Nadhani kuna season nyingine...

Sunny bado hajafa,zile power zake zilikua unlocked kama uliangalia kwa umakin macho yake yaliwakaa...sasa zile zinamrudisha taratibu
Kabisa, hata widow naye nguvu zimerudi(nadhani ni zile alizoachiwa na master kabla hajafa)...
Kuhusu Sunny sidhani kama amekufa maana ulimwengu alipotokezea ni uleule aliopelekwa Widow na master na hatimaye wamekutana ambapo master anamuonya Sunny kuwa mapambano ndio kwanza yanaanza kwakuwa yanatarajiwa maovu zaidi kama malipo ya walichokitenda kwa super power... Nafikiri Season 4 iko njiani..tusubiri
 
Nadhani kuna season nyingine...

Sunny bado hajafa,zile power zake zilikua unlocked kama uliangalia kwa umakin macho yake yaliwakaa...sasa zile zinamrudisha taratibu
master kasema ndo kwanza kazi inaanza kwahyo into the badland bado sana
 
Kabisa, hata widow naye nguvu zimerudi(nadhani ni zile alizoachiwa na master kabla hajafa)...
Kuhusu Sunny sidhani kama amekufa maana ulimwengu alipotokezea ni uleule aliopelekwa Widow na master na hatimaye wamekutana ambapo master anamuonya Sunny kuwa mapambano ndio kwanza yanaanza kwakuwa yanatarajiwa maovu zaidi kama malipo ya walichokitenda kwa super power... Nafikiri Season 4 iko njiani..tusubiri
Kweli mkuu...hata yule pilgrim kama hawajamtenganisha kichwa na kiwiliwili si ajabu akarejea tena..

Widow akiwa hana zile nguvu tu ni balaa..sasa kazipata zile sijui itakua je aisee,
 
Kweli mkuu...hata yule pilgrim kama hawajamtenganisha kichwa na kiwiliwili si ajabu akarejea tena..

Widow akiwa hana zile nguvu tu ni balaa..sasa kazipata zile sijui itakua je aisee,
Ana nguvu moja kali sana widow mpaka ile chamber ilikuwa inatetemeka alipobadirika.
 
Back
Top Bottom