Into the Badlands Season 3 returns

Into the Badlands Season 3 returns

Njia ya kumstop pelegrin na jeshi lake ni sunny kupata nguvu zake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa Mkuu hizo nguvu atazipata vipi kwa mwanae while jamaa alishabeba zote kutoka kwa yule mtoto.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nadhani Sunny atazipata kutokana na matumizi mabaya ya nguvu kwa Pegrim,check vizuri episode ya 12,Master alimuonya juu ya hili na dalili zimeonesha hivo pale msituni Pegrim alianza kuweweseka sana...vile vile kama Bagie ataendelea kuwa hai kuna uwezekano mkubwa akamsadia kuzirudisha kwakuwa anafahamu vitu vingi na anazo hizo nguvu pia


Sent using Iphone
 
Nadhani Sunny atazipata kutokana na matumizi mabaya ya nguvu kwa Pegrim,check vizuri episode ya 12,Master alimuonya juu ya hili na dalili zimeonesha hivo pale msituni Pegrim alianza kuweweseka sana...vile vile kama Bagie ataendelea kuwa hai kuna uwezekano mkubwa akamsadia kuzirudisha kwakuwa anafahamu vitu vingi na anazo hizo nguvu pia


Sent using Iphone
Mkuu, ntapataje hiyo episode ya 12?

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani Sunny atazipata kutokana na matumizi mabaya ya nguvu kwa Pegrim,check vizuri episode ya 12,Master alimuonya juu ya hili na dalili zimeonesha hivo pale msituni Pegrim alianza kuweweseka sana...vile vile kama Bagie ataendelea kuwa hai kuna uwezekano mkubwa akamsadia kuzirudisha kwakuwa anafahamu vitu vingi na anazo hizo nguvu pia


Sent using Iphone
Bajie naamini hajafa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani Sunny atazipata kutokana na matumizi mabaya ya nguvu kwa Pegrim,check vizuri episode ya 12,Master alimuonya juu ya hili na dalili zimeonesha hivo pale msituni Pegrim alianza kuweweseka sana...vile vile kama Bagie ataendelea kuwa hai kuna uwezekano mkubwa akamsadia kuzirudisha kwakuwa anafahamu vitu vingi na anazo hizo nguvu pia


Sent using Iphone
Pilgrim anamtegemea sana MK. Ikiwa Widow, Sunny, Bajie, Lydia, Moon, Tilda na hawa monks wa Master wakishirikiana basi Pilgrim hana chake pale. Master na Ankara wanatosha kutrain watu hawa mpk kumstop Pilgrim. La sivyo Pilgrim na wale Black lotus wakiungana na akafanikiwa kuwashawishi wale Monks wenye Gifts waungane nae daaah mm ikitokea nitaacha kuifuatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pilgrim anamtegemea sana MK. Ikiwa Widow, Sunny, Bajie, Lydia, Moon, Tilda na hawa monks wa Master wakishirikiana basi Pilgrim hana chake pale. Master na Ankara wanatosha kutrain watu hawa mpk kumstop Pilgrim. La sivyo Pilgrim na wale Black lotus wakiungana na akafanikiwa kuwashawishi wale Monks wenye Gifts waungane nae daaah mm ikitokea nitaacha kuifuatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Ankara is dead.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pilgrim anamtegemea sana MK. Ikiwa Widow, Sunny, Bajie, Lydia, Moon, Tilda na hawa monks wa Master wakishirikiana basi Pilgrim hana chake pale. Master na Ankara wanatosha kutrain watu hawa mpk kumstop Pilgrim. La sivyo Pilgrim na wale Black lotus wakiungana na akafanikiwa kuwashawishi wale Monks wenye Gifts waungane nae daaah mm ikitokea nitaacha kuifuatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
Monks kashawachukua,Black lotus sijui watafanya maamuzi gani! Na hatimae sunny kakutana na dada yake na kunakoendea anaweza rudisha nguvu zake,bajie mzima bado,The Master ka disappear ila Kampa Siri Kuhusu Pilgrin Widow Daah I can't wait Ep 14 asee.
 
Kuna Hii apps Saa 12 asubuhi wanakuwa washaweka Muendelezo wako fasta sana

Ila hawa jamaa wa website ya Todayseries wanachelewa sana hadi saa 4 asubuhi ndio wanaweka mzigo.
 
Monks kashawachukua,Black lotus sijui watafanya maamuzi gani! Na hatimae sunny kakutana na dada yake na kunakoendea anaweza rudisha nguvu zake,bajie mzima bado,The Master ka disappear ila Kampa Siri Kuhusu Pilgrin Widow Daah I can't wait Ep 14 asee.
Master ameadmit kwmb alikuw akiwaficha baadhi ya mambo wale Monks kwa kuwa alikuw hataki walete madhara huko mitaani. Ndio maana ameeleza jins ilivyokuwa kwake mara ya kwnz kugundua kuwa ana dark power. Pia season 1 kama unakumbuka MK nae kuna watu kwny meli aliwaua vibaya sana kwa kuwa alikuw hawez kuzicontrol nguv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Master ameadmit kwmb alikuw akiwaficha baadhi ya mambo wale Monks kwa kuwa alikuw hataki walete madhara huko mitaani. Ndio maana ameeleza jins ilivyokuwa kwake mara ya kwnz kugundua kuwa ana dark power. Pia season 1 kama unakumbuka MK nae kuna watu kwny meli aliwaua vibaya sana kwa kuwa alikuw hawez kuzicontrol nguv

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah Mkuu Unahisi nini kitaendelea kwa Upande wa sunny na yule inaesemekana sister je ni kweli!
 
Yeah Mkuu Unahisi nini kitaendelea kwa Upande wa sunny na yule inaesemekana sister je ni kweli!
Kiukweli sijui nn kinaendelea maana Kannin ndio inaonekana anajua ni wapi wanaelekea. Fikiria hata wakienda kwny Oasis wakute magofu coz minerva amepachoma moto, kumbuka Bajie alikuw hajapata ripot ya nn kinaendelea.

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom