Interview za kiwaki sana

Maswali ya kowaki kwenye interview.
1. What is your weakness?
2. Tell me about a time you failed.
3. Where do you see yourself in 5 yrs
4. Why should we hire you
 
Kwahiyo shemeji badaa ya kunifundisha ngeli ukaamua kuni downloadisha app ya kubet na kupotea!? Sio sawa shem lake!😧

Shemela ngeli Ya kuandika inatosha. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Ile ya kuongea inachosha aisee.
Alaf Mostly kazi nying unatuma mail kwa kingereza alaf mnawasiliana oral au simu kwa kiswahili.

Bana bana. Mikeka imechanika .Aaagh balaa sana.

Ngoja weekend tena nikitumiwa code na jamaa ntakushtua.

Alaf kuhusu Abaya nakumbuka pia 😍😍😍.
 
Maswali ya kowaki kwenye interview.
1. What is your weakness?
2. Tell me about a time you failed.
3. Where do you see yourself in 5 yrs
4. Why should we hire you
Daaaah aiseee hayo kweli ni maswali ya kutaka tupigane aiseee
 
Fanya kweli shemelaπŸ₯°πŸ₯°
 
Mdg wangu bila kujifunza ngeli kwa dunia hii ni ngumu,, kaka yako nipo kuboresha kimombo kupitia Duolingo na chatgpt plus kusikiza podcast za kimombo,
Wabongo tunazani tunajua kimombo. Kumbe kunakujua kimombo na kunakuzani unajua
 
Pitisha nini sofa kwenye mlango mdogo hio umefanya translation unauhakika alikuuliza hivyo?
Umenikumbusha miaka ya nyuma nipo kijiweni, kunajamaa jamaa nilikuta anawapa washikaji stori ya Obama na Jay Z.

Obama alimwambia Jay Z "break a leg.." Jamaa akawatafsiria kuwa usicheze na mimi nitakuvunja mguu.


Nilicheka sana
 
Umenikumbusha miaka ya nyuma nipo kijiweni, kunajamaa jamaa nilikuta anawapa washikaji stori ya Obama na Jay Z.

Obama alimwambia Jay Z "break a leg.." Jamaa akawatafsiria kuwa usicheze na mimi nitakuvunja mguu.


Nilicheka sana
Hahaha umenichekecha mbavu mkuu hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…