Interview za kiwaki sana

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
27,423
Reaction score
54,876
Mnatuita vizuri tuu..
Tunafika mnatukaribisha vizuri kabisa.

Ila baada ya kufika ndani lugha inabadilika as if jamaa ajui kabisa kiswahili...

Lugha inaenda deep zaidi mpaka unajiuliza mbona wafanyakazi humu ndani wanaongea kiswahili kabisa

Huyu jamaa katokea wapi mbona ka-change ghafla...

Mbona ana maswali ya ajabu hivi.
Kila anayetoka macho yamebadilika..

Tumeingia kwa furaha tumeingia kwa furaha ila unatoka very sad aiseee...

Je ushakutana na hii zahama hapa mjini dasalamu ukiwa umeitwa sehemu kuomba kazi..?


Ukimwi Unaua...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…