Interview TPB: Naombeni mnisaidie aptitude test

Kuna possibility huenda nyie ndo mmepita to other stages mkuu. Maana wengine tumewahishiwa Email asubuhi za kuregret
Naona dogo katoboa nimesikia ilikuwa chuma na watu wengi mno. Anyway wadogo zangu msikate tamaa kwenye maisha kila mtu na riziki yake na alichopangiwa na mungu. Kikubwa kila usahili hakikisha unafanya kama hakuna kazi nyingine zaidi ya hiyo na kumtanguliza MUNGU.
20210331_233920.jpg
 
Naona dogo katoboa nimesikia ilikuwa chuma na watu wengi mno. Anyway wadogo zangu msikate tamaa kwenye maisha kila mtu na riziki yake na alichopangiwa na mungu. Kikubwa kila usahili hakikisha unafanya kama hakuna kazi nyingine zaidi ya hiyo na kumtanguliza MUNGU.View attachment 1739895
Wow hongera zake sana na ahsante kwa kututia moyo mkuu, Mungu ni mwema siku tutafanikiwa. Kila rakheri kwa hatua hiyo kwake🙏
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom