Kuna possibility huenda nyie ndo mmepita to other stages mkuu. Maana wengine tumewahishiwa Email asubuhi za kuregret 😀Ambao hatujapata hata sms ndo basi tena au 😆
Hongera hopefully ni Email nzuri eeh😉Asante kwa kunitia moyo
nimepokea email
Bila shaka😊Hongera hopefully ni Email nzuri eeh😉
Bila shaka
Hongera sana mkuu, kila rakheri kwenye hatua zinazofuata💪Bila shaka😊
Yani mpaka sasa 20:56 jumatano hakuna text wala email😂 nshajijua nilipo...kukosa tuKuna possibility huenda nyie ndo mmepita to other stages mkuu. Maana wengine tumewahishiwa Email asubuhi za kuregret 😀
Pole sana...Inaitwa 2 in one hiyo mi imeanza email wakaona haitoshi wanitumie na sms juu
Naona dogo katoboa nimesikia ilikuwa chuma na watu wengi mno. Anyway wadogo zangu msikate tamaa kwenye maisha kila mtu na riziki yake na alichopangiwa na mungu. Kikubwa kila usahili hakikisha unafanya kama hakuna kazi nyingine zaidi ya hiyo na kumtanguliza MUNGU.Kuna possibility huenda nyie ndo mmepita to other stages mkuu. Maana wengine tumewahishiwa Email asubuhi za kuregret
Wow hongera zake sana na ahsante kwa kututia moyo mkuu, Mungu ni mwema siku tutafanikiwa. Kila rakheri kwa hatua hiyo kwake🙏Naona dogo katoboa nimesikia ilikuwa chuma na watu wengi mno. Anyway wadogo zangu msikate tamaa kwenye maisha kila mtu na riziki yake na alichopangiwa na mungu. Kikubwa kila usahili hakikisha unafanya kama hakuna kazi nyingine zaidi ya hiyo na kumtanguliza MUNGU.View attachment 1739895
Amen ahsante rafikiPole sana...
You will make great in the near future.
You mean hujapata feedback yoyote? Vuta subira huenda bado wanaendelea mkuu tena huenda umepita for oral. Walianza na sisi tuliokatwa kwanza😀Yani mpaka sasa 20:56 jumatano hakuna text wala email😂 nshajijua nilipo...kukosa tu
You mean hujapata feedback yoyote? Vuta subira huenda bado wanaendelea mkuu tena huenda umepita for oral. Walianza na sisi tuliokatwa kwanza
Yeah sijapata feedback yoyoteYou mean hujapata feedback yoyote? Vuta subira huenda bado wanaendelea mkuu tena huenda umepita for oral. Walianza na sisi tuliokatwa kwanza😀
Hahahaha acha kutishia watu wwHiyo oral yenyew inaonekana inafanyika siku nyingi kama wiki mbili maana wapo wa tar kumi na kitu na wa ishirini na kitu
Hahahaha acha kutishia watu ww
Kwahiyo unataka kusema sio ORAL?Sio kutishia. Mi mpk sasa nimeona kuna mtu anafanya tar 14, mwingine 20. Kila mtu na muda wake. Unategemea nini hapo
Kwahiyo unataka kusema sio ORAL?