KAYMALI
Member
- Oct 8, 2014
- 86
- 35
Wakuu mbona nimesikia watu 200 wameshaitwa oral kwa email? Kuna aliyepata huu udambwi dambwi au boko hili
We umesikia wap?
Wakuu mbona nimesikia watu 200 wameshaitwa oral kwa email? Kuna aliyepata huu udambwi dambwi au boko hili
Tutatumia hii fulsa ya msiba kupitisha shemeji zetu kimyakimya.Majibu ya aptitude tutegemee baada ya msiba kuisha? Au ndio kuingia kazini kimyakimya
Haha wewe utajuaje sasaBado
Wakuu mbona nimesikia watu 200 wameshaitwa oral kwa email? Kuna aliyepata huu udambwi dambwi au boko hili
Sawa mkuuTungeskia tu mzee
Inabidi Watangaze Tena Temporary Jobs Kwa Wasahihishaji Maana Sio Kwa Nyomi Lile.Watakua kweli wanasahihisha. Maana isingekua hvo wangeshaita watu oral.
Inabidi Watangaze Tena Temporary Jobs Kwa Wasahihishaji Maana Sio Kwa Nyomi Lile.


lazima walijipanga lakni kusahihisha maana idadi si walishakua nayo. Lakn ile ni kazi nzito haswa kwa lile nyomi.Hhh awap ndo sehem yao kula mipadiem
Eee mzee plus misos mitamu na ela safi


Hahah mzee watatukumbukaje wao wanakula maisha
Sure