Interview NSSF: Maswali 100 dakika 135

Interview NSSF: Maswali 100 dakika 135

Kiranga mimi sihitaji kuwa sympathetic uko free kunieleza ujuavyo wala si lazima mawazo yetu yafanane.

Sababu ya kukupa hadi saa 5 ni kuwa hata ukipewa muda wa masaa mawili unaweza usipate jibu la swali hilo sembuse ndani ya chumba cha mtihani under pressure.

Nishakujibu mbona? Unanisoma?

Swali lako lilivyoulizwa kwanza lina mapungufu, halijibiki kwa sababu halina taarifa za kutosha kujibika.
 
Swali hili ni la kutafuta average ya 30, 40 na 60. Hata simultaneous equation nililipandisha.

Either that or limekosewa kuulizwa hapa.

C akishawasaidia A na B kwa masaa matatu, yakiishabhayo masaa matatu anafanya nini? Anaendelea kuwasaidia kwa masaa matagu mengine au anapumzika? Kwa muda gani?
Hili swali sio la kutafuta average ndugu yangu kama ingekuwa hivyo ningemaliza test kwa dk 20 tu.

Umeambiwa anawasaidia kila baada ya masaa matatu huioni hiyo interval?
 
Kiranga kwa nini uandikie mate fanya hilo swali nakupa masaa mawili hadi saa 5 utupe jibu.

Ullivyofanya ndivyo sivyo kumbuka C anawasaidia A na B kila baada ya masaa matatu kwa muda wa saa 3 kila wakati.

Swali hili unatakiwa kutumia formula nyingi sana sio simultaneous equation tu kuna sequence & series ndani, kuna ratio ndani kuna KDS ndani kuna hours conversion ndani kuna mambo ya percentage ndani, yote hayo uyafanye ndani ya dk 1.

Swali halijakamilika.

C anaposaidia anatumia capacity ya C au ya huyo anayesaidiwa?

C akisaidia kwa masaa matatu akimaliza anapumzika? Kama anapumzika, kwa masaa mangapi? Kama hapumziki na anafanya kwa capacity yake kama C, why should it matter anamsaidia nani na si anafanya kazi kama C tu?

Kama C hapumziki na anatumia capacity ya C, kwa nini hili swali lisiwe la kutafuta average ya A, B na C?
 
Watu mnachonga sana na kumponda Mleta Uzi,
kawapa swali mfanye mnachemka, pigeni swali hilo, wacha saundi!!
 
Hili swali sio la kutafuta average ndugu yangu kama ingekuwa hivyo ningemaliza test kwa dk 20 tu.

Umeambiwa anawasaidia kila baada ya masaa matatu huioni hiyo interval?

Nimeuliza anapomaliza kuwasaidia kwa masaa matatu then anafanya nini? Anapumzika au hapumziki?

Kama anapumzikamkwa masaa mangapi?

Kama haoumziki, na anafanya kazi kwa capacity ya C, kwa nini hili swali lisiwe la average? Kwa maana wote watakuwa wanafanya kazi throughout, habari ya C kusaidia itakuwa changa la macho kukuchanganya wewe tu u complicate solution wakati swali ni jutavuta simple average.
 
Watu mnachonga sana na kumponda Mleta Uzi,
kawapa swali mfanye mnachemka, pigeni swali hilo, wacha saundi!!

Unafuatilia mjadala u wewe ndiye unayechinga sana?

Swali si tu limejibiwa kwa assumptions, limeoneshwa kwamba halijakamilika.
 
Nishakujibu mbona? Unanisoma?

Swali lako lilivyoulizwa kwanza lina mapungufu, halijibiki kwa sababu halina taarifa za kutosha kujibika.
Now you are coming......

Umeshaanza kuona tatizo na hapa huna pressure yeyote imagine aliye ndani ya chumba cha mtihani.

Sasa nikuambie swali halijakosewa wala halina mapungufu na linafanyika, ila hoja yangu toka mwanzo huwezi kufanya swali kama hilo ndani ya dk 1.
 
Now you are coming......

Umeshaanza kuona tatizo na hapa huna pressure yeyote imagine aliye ndani ya chumba cha mtihani.

Sasa nikuambie swali halijakosewa wala halina mapungufu na linafanyika, ila hoja yangu toka mwanzo huwezi kufanya swali kama hilo ndani ya dk 1.

Nimeelezea kirefu mapungufu ya swali, labda ungeyaelezea kwa nini si mapungufu.

Huyo C anapumzika au hapumziki baada ya masaa matatu? Kama anapumzika, kwa muda gani? Kama hapumziki ana anatumia capacity ya C, why shouldnit matter anamsaidia nani, si anafanya kazi kwa vapacity ya C throughout? Why shouldnt thus be a question of the averqge of A,B and C?

Usipoeleza hili hujakamilisha swali.

Pia, C akimsaidia A anafanya kazi kwa capacity ya A au ya C?
 
Halafu cha kushangaza zaidi::


Mimi huwa nashindwa kuelewa nimeona watu wana vitambulisho vya Standard chartered, Crdb, NBC, na makampuni makubwa makubwa nao wame apply kazi. Sasa hivi ni tamaa ya kutaka kufanya kazi Nssf au? Mtu unafanya kazi unalipwa vizuri mfano " standard chartered wanalipwa si pungufu ya laki nane take home" yanini kuja kutuzibia nafasi tusio na ajira kabisa?

Huu ni ulimbukeni na tamaa tu!!

I hate those who came from reputable companies like standard chartered, crdb, to apply for our position..

real inauma sana....wadau.

Ndugu yangu, ni rahisi kupata kazi ukiwa na kazi nyingine. Ni vizuri pia ukaacha kazi kuliko kazi kukuacha. Kuna mambo tofauti yanayopelekea watu kuomba kazi wakiwa kazini, mfano, unaweza kukuta kazi unayoifanya ina mshahara kidogo kuliko unayoiomba, au kazi yenyewe ni ya mkataba na unaelekea mwishoni na hakuna dalili ya ku-renew mkataba, au pengine ukute kazi anayoifanya kwa wakati huo ina mazingira ambayo siyo rafiki kwake kuendelea kuifanya. Hata wewe ukiipata hiyo kazi naamini utaendelea kutafuta kazi nyingine ambayo utaiona nzuri zaidi. Kumbuka kwamba katika maisha ya ajira, ajira nzuri ni ya mwenzio na theory ya kazi ni "survival of the fittest"
 
Halafu cha kushangaza zaidi::


Mimi huwa nashindwa kuelewa nimeona watu wana vitambulisho vya Standard chartered, Crdb, NBC, na makampuni makubwa makubwa nao wame apply kazi. Sasa hivi ni tamaa ya kutaka kufanya kazi Nssf au? Mtu unafanya kazi unalipwa vizuri mfano " standard chartered wanalipwa si pungufu ya laki nane take home" yanini kuja kutuzibia nafasi tusio na ajira kabisa?

Huu ni ulimbukeni na tamaa tu!!

I hate those who came from reputable companies like standard chartered, crdb, to apply for our position..

real inauma sana....wadau.

Usiwe kama mjinga wewe NSSF take home ni 1.4m plus house allowance ya laki 4 kweli mie hata kama nnafanya huko uliposema kwa laki 8 kweli kabisa nisijaribu bahati yangu na kwingine pia nibaki huko kisa tu tayari nina ajira?
 
Watu mnachonga sana na kumponda Mleta Uzi,
kawapa swali mfanye mnachemka, pigeni swali hilo, wacha saundi!!

Kabisa, nashangaa watu wanaponda tu, wapondaji wengi hawajashuka kitu chochote zaidi ya kupiga "domo".
 
Inaonekana kama swali la kutafuta average ya 30, 40 na 60 linawachachafya wabongo kwa kuwa wamepigwa changa la macho la C "kusaidia".

Typical aptitude test tricks.
 
Hili swali sio la kutafuta average ndugu yangu kama ingekuwa hivyo ningemaliza test kwa dk 20 tu.

Umeambiwa anawasaidia kila baada ya masaa matatu huioni hiyo interval?
Umengangania kwenye hili swali, umepoteza dakika nyingi sana hapa, kama uliwezi unaruka unaenda kwenye jingine.
Mimi hilo swali sijalielewa, labda nahisi wewe umeandika vibaya au mimi sijui au nitatumia mda mwingi kulifanya kwa hiyo naliruka naenda jingine (time management na prioritization). I hope you have understood
 
Hapo wala hamna tatizo..muda unatosha sana. Dakika 15 soma maswali yote..Dakika 10 chagua maswali rahisi.. baada ya hapo anza kujibu kwa spidi..pumzika dakik 5 endelea kujibu..dk 5 nyingine proof read

We jamaa umenichekesha sana aisee.
 
Umengangania kwenye hili swali, umepoteza dakika nyingi sana hapa, kama uliwezi unaruka unaenda kwenye jingine.
Mimi hilo swali sijalielewa, labda nahisi wewe umeandika vibaya au mimi sijui au nitatumia mda mwingi kulifanya kwa hiyo naliruka naenda jingine (time management na prioritization). I hope you have understood

Swali kama lilivyoandikwa halijakamilika na hivyo haliwezi kujibika.
 
Wabongo utawaweza ndugu huwezi kumfurahisha kila mtu bana
Matusi ya nini sasa. Jitathimini kwa nini umemtukana. Ukienda kitandani kulala jiulize kwa nini umemtukana. Muulize Mungu wako au shetani wako, whatever the case
 
Umengangania kwenye hili swali, umepoteza dakika nyingi sana hapa, kama uliwezi unaruka unaenda kwenye jingine.
Mimi hilo swali sijalielewa, labda nahisi wewe umeandika vibaya au mimi sijui au nitatumia mda mwingi kulifanya kwa hiyo naliruka naenda jingine (time management na prioritization). I hope you have understood
Utaruka mangapi? hili swali si kwamba limekosewa ila linahitaji muda kufikiri ndipo inapokuja hoja yangu kuwa huwezi kulifanya kwa dk 1.
 
Sasa kama hata wao wanajua huwezi kumaliza maswali yote wameyaleta ya nini,

mimi nafikiri kama ukitaka kumpima mtu vizuri mpe muda wa kutosha, msikilize ili ujue pumba zake.

Mkuu hata mitihani ya NECTA inapangiwaga mda maalumu kulingana na maswali,malengo ya mtihani n.k huwezi pewa unaotaka wewe huo utakuwa sio mtihani tena.
 
Back
Top Bottom