Interview NSSF: Maswali 100 dakika 135

Interview NSSF: Maswali 100 dakika 135

Aptitude test kama hizo mara nyingi nia si kuona umemaliza maswali yote, ila yale uliyomaliza ni mangapi na mangapi kati yayo umepatia.

Maswali kama haya yanatakiwa yasiwe deep sana, ila ni maswali basic yanahoweza kuchanganya kama kichwa ndogo.

Nishafanya moja kama hii mkaka ikiyopita nikipokuwa nataka kujiunga na organization moja ya UN, j gawa hawakuwa na maswali mengi hivyo.
bampami watu kutaka kuvanya kazi sehemi fulani ni jambo huru katika uchumi huria, pale zinazopambanishwa zinatakiwa kuwa skills tu, sasa kama una skills hutakiwi kuogopa wengine. Naelewa kwenye ajira ndogo hilo suala lina maana zaidi, lakini kanuni ya msingi ni kwamba wana uhuru wa kufanya hivyo na wewe una uhuru wa kupambana kwa unachoweza kuchangia.

Dunia inayokuja ni ya mapambano zaidi, hata ukipata kazi huko kazini utakutana na mapambano kati ya mtu na mtu, na wewe mgeninunaweza kuwa disadvantaged, kwa hiyo ukiogopa mapambano kabla ya kuanza hata ukifanikiwa kupata kazi utakuwa umegajikiwa lakini hujajiweka katika mindset ya kufanikiwa zaidi. Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha uko marketable vizuri sana kuwashinda hao wanaotoka hizo sehemu nyingine.

Unaposema "our position", what do you mean by "our"? The position is vacant, that is why there is recruitment, how does the position become "our"?

Are you already working at NSSF and seeking advancement through this position?

Kuhusu mishahara, mtu anaweza kuacha kazi sehemu yenye mshahara mkubwa akaenda kwenye mshahara mdogo kwa kulingana na malengo yake. Wengine wanatafuta career path wanqona huko waliko hakuna growth, wengine wanaona kuko "too structured" if yoh catch my drift, wengine wanaona hakuna ulaji nje ya mishahara etc.
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa mmoja wa waliobahatika kuitwa kwenye written interview ya Operations Officer, interview iliyofanyika leo IFM.
Lakini moja ya maajabu niliyokutana nayo ni kupewa maswali 100 yanayotakiwa kujibiwa ndani ya dakika 135.

Kwa maana hiyo ili kupata alama zote(100%) inatakiwa kila swali lijibiwe sahihi ndani ya dakika 1 na sekunde 21 tu. Sijui waandaaji wa hayo maswali walitumia kigezo gani kupima kiasi kwamba mtahiniwa anaweza kupata muda wa kusoma swali, kulielewa na kutoa uamuzi ndani ya hiyo dakika moja.

Kwa kweli unatakiwa kuwa na supersonic speed ya ubongo sehemu ya kufikiri ili uweze kumaliza aptitude test hiyo vinginevyo lazima uwe umeyaona maswali kabla.

Kama huu sio usanii basi ni kukomoana.

Interview ya custom officer Na Tax officer TRA ijumaa iliyopita!!
Maswali 50 muda lisaa limoja## dakika 60
 
Easyfit,
Mkuu hii ni kawaida na ndio maana inaitwa aptitude test. Sio lazima umalize maswali yote..Inapima vitu vingi ikiwamo speed na uwezo wako wa kufanya choices and decisions while under pressure.

Kuna certifications nyingi zinakua na limited time. Mfano CISA wana maswali 200 in just 4 hours.
Namshangaa analalamika maswali 100 kwa dakika 135 na ndio maana nikasema kabla kwamba dakika 135 kwa maswali 100 ni nyingi mnoooo.... almost six months ago nilikuwa na aptitude ya maswali 100 kwa robo saa! Yaani nilipoona tu ile test, hata ukiamua kusoma maswali peke yake bila kuyajibu, bado usingeweza kumaliza!

Na kama ulivyosema, wanachoangalia wala sio kumaliza maswali... na katika aptitude ambazo nimewahi kukutana nazo sikumbuki kama ipo ambayo niliwahi kumaliza lakini zote zilinifanya niende next step.
 
Kuhusu mishahara, mtu anaweza kuacha kazi sehemu yenye mshahara mkubwa akaenda kwenye mshahara mdogo kwa kulingana na malengo yake. Wengine wanatafuta career path wanqona huko waliko hakuna growth, wengine wanaona kuko "too structured" if yoh catch my drift, wengine wanaona hakuna ulaji nje ya mishahara etc.
Wengine tuna maamuzi ya ajabu... nilitoka kwenye permanent employment na kwenda kwenye hourly temporary employment na ajabu huku ndo nikajikuta am very comfortable with working, though I'd sometime remain with a month or two without a pay check (coz' no job offer at my desk)!
 
Namshangaa analalamika maswali 100 kwa dakika 135 na ndio maana nikasema kabla kwamba dakika 135 kwa maswali 100 ni nyingi mnoooo.... almost six months ago nilikuwa na aptitude ya maswali 100 kwa robo saa! Yaani nilipoona tu ile test, hata ukiamua kusoma maswali peke yake bila kuyajibu, bado usingeweza kumaliza!

Na kama ulivyosema, wanachoangalia wala sio kumaliza maswali... na katika aptitude ambazo nimewahi kukutana nazo sikumbuki kama ipo ambayo niliwahi kumaliza lakini zote zilinifanya niende next step.

Zile huwa ni za mchujo tu, kuangalia nani atakuwa so off base that it would not make sense to include them in the next step, so mtihani unaweza kuwa na maswali mengi lakini hutakiwi kumaliza yote.
 
WanaotukAna na kumdharau mleta maada ni kwasababu tu mna kazi na mnaleta dharau kwa wasiokua na kazi ni bora mngemshauri na sio kuropoka.. M.a.t.a.ko yenu kima na mbwa wote waliomtukana mleta mada kama hamjaolewa fanyeni mkaolewe k.enge maji nyie

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Shule za kata ndizo tunazomudu....unataka tukasome wapi?? Kumbe nia ya kutuanzishia shule za kata ni kututofautisha sisi na watoto wenu...bas sawa

Hachana nayo hayo binti yangu Khantwe.. Yana kazi zao wanakuja ku enjoy watu hapa..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Dakikia 135 mbona nyingi?? Niliwahi kufanya interview moja miaka ya nyuma pale PWC maswali mia moja kwa dakika 60. Wanapima uwezo wako wa kuelewa na kutoa solutions faster
 
Zile huwa ni za mchujo tu, kuangalia nani atakuwa so off base that it would not make sense to include them in the next step, so mtihani unaweza kuwa na maswali mengi lakini hutakiwi kumaliza yote.
Anyway, siwezi kumlaumu... kuna uwezekano mkubwa kwamba hiyo ni aptitude yake ya kwanza ya kwanza... nami nakumbuka aptitude yangu ya kwanza ilikuwa Standard Chartered Bank soon after graduation... nakumbuka nimetoka pale najisikia kuugua... nikachukulia kama mitihani ya shule! Nashangaa siku ya pili naitwa... nikajiambia IT'S IMPOSSIBLE kumbe ndo ilishakua possible hiyo... na nilipokuja ku-experience zingine, nikakuta kumbe StanChart nao walikuwa fair sana, coz' only 50 questions kwa dakika 30!
 
Vijana wa siku hizi bwana,kulalamika tu.Maisha mazuri hayaji kirahisi.
 
Ni shiiiiiiiida! Yani kutafuta KDS ya 30, 40 na 60 upewe dk 2? Si unaangalia kwa macho tu kwamba jb ni 120 kwa hyo watamaliza wote kwa pamoja baada ya masaa 120 tena mi ningemaliza ndani ya dk 50.
Mkuu lisome vizuri lile swali siyo kutafuta KDS,

basi kwa staili yako hii naanza kuamini watu wanaosema wangemaliza ndani ya dk 20.
 
Tutaamini vipi kuwa umefanya Ndani ya 1min?!! Acha mbwembwe

Sio mbwembwe. Swali ni 90% logic na 10% actual math (fractions,additions,subs and multiplications). Fanya mazoezi ya maswali 10 kama haya kila siku kwa mwezi mzima. Before you know it, you'll be doing them in a snap of a finger
 
Zile huwa ni za mchujo tu, kuangalia nani atakuwa so off base that it would not make sense to include them in the next step, so mtihani unaweza kuwa na maswali mengi lakini hutakiwi kumaliza yote.
Sasa kama hata wao wanajua huwezi kumaliza maswali yote wameyaleta ya nini,

mimi nafikiri kama ukitaka kumpima mtu vizuri mpe muda wa kutosha, msikilize ili ujue pumba zake.
 
Easy fit,

Aptitude test mara nyingi swali moja ni one to 1.5 minutes. Ni standard, jaribu ku Google unaweza ukapata za bure ufanye mazoezi zitakuongezea speed.

Strategy - unasoma swali kama unalijua unajibu haraka unaenda kwenye jingine, kama ulijui unaruka unaenda kwenye jingine. The idea is to answer as many questions as you possibly can. Kumaliza maswali yote ni vigumu, cha msingi maswali utakayojibu yawe sahihi.
Kila interview inakufundisha kitu, na inakufanya uwe bora next time round. Sasa ni wakati wa wewe kuweka jitihada na kujifunza aptitude test ili ikitokea sehemu nyingine you are comfortable.
 
Sasa kama hata wao wanajua huwezi kumaliza maswali yote wameyaleta ya nini,

mimi nafikiri kama ukitaka kumpima mtu vizuri mpe muda wa kutosha, msikilize ili ujue pumba zake.

Wanaangalia katika yote utamaliza mangapi, katika mia kuna wagu watamaliza 10 na wengine watamaliza 90.

Mtihani wa kupewa muda wa kutosha upo, kwenye interview, unapewa muda wa kujieleza kabisa na kuuliza hata maswali yako.

Huu ni mchujo tu wa kuona yupi anaweza kujibu maswali kwa kasi ya juu lakini bila kukosea sana.

Mitihani kama hii typically inakuwa weighed, wanajua mtu mwenye miaka kadhaa ya shule atakuwa kashapigia hesabu za mafumbo, logical reasoning, fractions, probability kujua conceots za time management, ku deal na maswali under pressure bila kupoteza focus etc.

Mara nyingi hawawezi kuleta maswalintechnical ya kutaka ufikiri sana, ni maswaki basic yanayotaka kushughulikisha ki hwa kidoho tu na mgunusiwe mzito katika speed.

Sasa hapo no division five na walionunua feki wanawwza kuwa na tumbomoto as far as the test is concerned.

Ukishaambiwa aptitude test, kinachokuwa measuredbhapo ni aptitude, siyo expertise.

Mtu anaweza kuwa stuck katika swali ambalo hana jibu lake akakazania kulisolve kwa dakika 6, wakati maswali yote yana point sawa, hapo huyo mtu hata basic intelligence ya kujua economy of time hana, hafai kwa kitu basic tu.

Wanachujwa hao.
 
Dakikia 135 mbona nyingi?? Niliwahi kufanya interview moja miaka ya nyuma pale PWC maswali mia moja kwa dakika 60. Wanapima uwezo wako wa kuelewa na kutoa solutions faster
Mkuu sikatai kuwa kuna test zingine zina maswali mengi kwa muda mchache, lakini inategemea nature ya maswali, mfano nitajie mji mkuu wa Kongo there is no reasoning here, lakini maswali ya maths yanahitaji at least muda wa kufikiri ili kujenga hoja.
 
Mkuu sikatai kuwa kuna test zingine zina maswali mengi kwa muda mchache, lakini inategemea nature ya maswali, mfano nitajie mji mkuu wa Kongo there is no reasoning here, lakini maswali ya maths yanahitaji at least muda wa kufikiri ili kujenga hoja.

Maswali gani ya math?

Wanakuuliza kuhusu a non Perelman solution to Poincare's Conjecture?
 
Mkuu sikatai kuwa kuna test zingine zina maswali mengi kwa muda mchache, lakini inategemea nature ya maswali, mfano nitajie mji mkuu wa Kongo there is no reasoning here, lakini maswali ya maths yanahitaji at least muda wa kufikiri ili kujenga hoja.

mhhhhh hoja kwenye maswali ya maths???? nijuavyo hoja bungeni 2
 
Back
Top Bottom