Punguza umama basi
Mama yako yupo nyumbani maku wewe
Punguza umama basi
Utaruka mangapi? hili swali si kwamba limekosewa ila linahitaji muda kufikiri ndipo inapokuja hoja yangu kuwa huwezi kulifanya kwa dk 1.
Ndugu interview za namna hiyo next time usikimbilie kumaliza maswali,suala ni kufanya maswali kwa uhakika.Hata kama hukumaliza ukapata maswali 45 kati ya 50 uliyofanya uko kwenye nafasi nzuri kuliko yule aliyefanya maswali yote 100 halafu akapata 60.Mtihani huo ulikuwa ni wa kukupima je,ukiwa ofisini na kazi ni nyingi zimekuelemea na muda hautoshi utafanya nini?je,utafanya zote kwa kulipua ilimradi ziishe au utafanya zilizo ndani ya uwezo wako lakini kwa ufanisi??????Nadhani kwa maelezo haya utakuwa umenipata mkuu,hamjaonewa ila wanataka the best people kiutendaji.Next time ukifanya interview,look at the big picture.
Utaruka mangapi? hili swali si kwamba limekosewa ila linahitaji muda kufikiri ndipo inapokuja hoja yangu kuwa huwezi kulifanya kwa dk 1.
Kijana anonekana ni mgeni kwenye soko la ajira, anaona kama ameonewa. Kumbe ni maswali standard, alitegemea ataambiwa hayo maswali ni mengi kumbe ni vitu vya kawaida all over the world. Na hayo maswali mengi ni multiple choiceSwali kama lilivyoandikwa halijakamilika na hivyo haliwezi kujibika.
Sasa hiyo si simultaneous equation ya form one, au unataka mpaka uandaliwe iwekwe kwenye simultaneous equation form?
Alternatively unaweza kuisolve kwa kuangalia tu 30A = 40 B =60C.
Inaonekana kama swali la kutafuta average ya 30, 40 na 60 linawachachafya wabongo kwa kuwa wamepigwa changa la macho la C "kusaidia".
Typical aptitude test tricks.
Kiranga which is which, umesemaSwali kama lilivyoandikwa halijakamilika na hivyo haliwezi kujibika.
Kijana anonekana ni mgeni kwenye soko la ajira, anaona kama ameonewa. Kumbe ni maswali standard, alitegemea ataambiwa hayo maswali ni mengi kumbe ni vitu vya kawaida all over the world. Na hayo maswali mengi ni multiple choice
Mkuu mimi si mgeni kwenye interview na si tu nimefanya interview bali nimeshawahi kutunga maswali ya interview, ninachoangalia hapa ni rationale ya maswali na muda.Kijana anonekana ni mgeni kwenye soko la ajira, anaona kama ameonewa. Kumbe ni maswali standard, alitegemea ataambiwa hayo maswali ni mengi kumbe ni vitu vya kawaida all over the world. Na hayo maswali mengi ni multiple choice
.Mkuu mimi si mgeni kwenye interview na si tu nimefanya interview bali nimeshawahi kutunga maswali ya interview, ninachoangalia hapa ni rationale ya maswali na muda.
Hapa nimeweka swali moja tu lakini hadi sasa hakuna hata mmoja aliyeweza kujibu achilia mbali kuja na idea ya jinsi ya kulijibu, mwisho mmekimbilia kusema limekosewa.
hahaha your position? ?? acha ufala dogo embrace the challenge....you are suffering from Inferiority Syndrome....hivi wewe ni wa kike ama?
Kiranga which is which, umesema
1. Unaweza kutumia simultaneous equation,
2. Unaweza kutumia equation hii 30A = 40B = 60C
3. Unatafuta average ya 30, 40, na 60
4. Mwisho umekuja ku realize haliwezi kufayika kwa vile limekosewa.
Umetumia muda gani to come to the conclusion, one minute?
Khaa!! Hii inategemea swali lenyewe. Hebu weks swali moja hapa. Mibongo kaxi kulalamika tu
Swali lile linaangukia kwenye topic ya Sequence and Series hasa Arithmetic Progression (AP) kwa vile kuna series ya matukio after every 3 hours. Unatakiwa ujue C atawasaidia mara ngapi ili ujue jumla ya muda aliowasaidia.Unasoma posts zangu au unarukia tu? Nikishapita huko kitambo.
Nishaongekea suala la hawa watu kuwa overaggressive kwenye muda wakati mwingine, unataka nikupe post number?
Aptitude test ya sehemu yenye HR hawawezi kutoa swali incomplete kama hilo. Rudi kaangalie tena swali lilivyoulizwa ukilete hapa, inaonekana katika purukushani za kumaliza hujalielewa swali umelileta hapa sivyo.
Either that or NSSF is going down the drain.
Swali lile linaangukia kwenye topic ya Sequence and Series hasa Arithmetic Progression (AP) kwa vile kuna series ya matukio after every 3 hours. Unatakiwa ujue C atawasaidia mara ngapi ili ujue jumla ya muda aliowasaidia.
Kwa aptitude test, maswali 100 kwa dakika 135 ni nyingi sana... in short mmependelewa! Katika hali ya kawaida hapo mngepewa dakika 30-50!
Mkuu mimi si mgeni kwenye interview na si tu nimefanya interview bali nimeshawahi kutunga maswali ya interview, ninachoangalia hapa ni rationale ya maswali na muda.
Hapa nimeweka swali moja tu lakini hadi sasa hakuna hata mmoja aliyeweza kujibu achilia mbali kuja na idea ya jinsi ya kulijibu, mwisho mmekimbilia kusema limekosewa.
Anapoamua kuwasaidia anawasaidia kwa muda gani? Sekunde moja, dakika moja, nusu saa, saa moja au? Swali lilikuwa kwa kiswahili au kiingereza? Huenda na wewe hata swali hukulielewa (hasa kama lilikuwa kwa kiingereza)
Nimeelezea kirefu mapungufu ya swali, labda ungeyaelezea kwa nini si mapungufu.
Huyo C anapumzika au hapumziki baada ya masaa matatu? Kama anapumzika, kwa muda gani? Kama hapumziki ana anatumia capacity ya C, why shouldnit matter anamsaidia nani, si anafanya kazi kwa vapacity ya C throughout? Why shouldnt thus be a question of the averqge of A,B and C?
Usipoeleza hili hujakamilisha swali.
Pia, C akimsaidia A anafanya kazi kwa capacity ya A au ya C?
Umengangania kwenye hili swali, umepoteza dakika nyingi sana hapa, kama uliwezi unaruka unaenda kwenye jingine.
Mimi hilo swali sijalielewa, labda nahisi wewe umeandika vibaya au mimi sijui au nitatumia mda mwingi kulifanya kwa hiyo naliruka naenda jingine (time management na prioritization). I hope you have understood