Interview NSSF: Maswali 100 dakika 135

Interview NSSF: Maswali 100 dakika 135

hivi hiyo x huwa munatumia badala ya herufi gani? muwe munaandika herufi inayotakiwa, munaboa sana.
Khaa!! Unashindwa hata kutumia akili kidogo tu.Typing error ipo kwa kila mtu. Ngoja nikufunze kidogo, ukiona unasoma hauelewi basi angalia keyboard yako, angalia herufi usiyoielewa ipo kati ya herufi gani, kama ni x ipo kati ya z na c chagua inayoweza kuleta maana kwenye sentence. iweke kisha unaelewa basi kwisha. Siyo unaleta malalamiko ya kijinga huku ukiandika uharo huo kwenye red
 
Hakuna jipya. Sema kama ni mara yako ya kwanza kufanya Aptitude test hapo sawa.

Hawawezi kuweka maswali ya kukomoa wafanyakazi wao watakaowategemea katika kutengeneza faida ya shirika.

Pia hata waluoko kwenye nafasi nyingine hawafungwi kujaribu pia- kikubwa kila mtu aoneshe uwezo wake na vigezo vizingatiwe.

Maswali ya kuchagua 100 kwa muda wa masaa 2 na dakika 15 unalaumu???? Kweli JK kazalisha wapuuzi wengi sana.
 
Hata wangesema nafasi 100 kama wewe kafiiiir hatukuhitaji nssf.ni zamu yetu kutamba.mlizoea sana kujiona mnaweza na kukalia ofisi zote sasa imekula kwenu nssf ndo mambo yote.hongera dau mungu akulinde uwapende waislam wenzako.mungu akupe nini zaidi ya kupewa majibu ya maswali ya interview na kupata ajira nssf?
Unachofanya si kizuri,usizani kwa sababu JF panaitwa the home of great thinker si kila member ni great thinker,hayo ni maneno tu wameweka.Sasa wewe topic si ya dini wewe tayari umeanza ,mimi huwa nawaangalia tu mnaojifanya mnazijua dini .Kaffir ni neno la kiarabu maana mojawapo ni "mtu mpagani" sema muslim ummah wanalitumia sana kwa watu wasio muslim lakini hata kama hutaki hata kwenye bible neno "Kaffir" limetumiwa kuonyesha mtu asiyemwamini "Mzee wa Siku" a.k.a Yehova.Na sijui kama unafahamu hata katika uislam muislam pia anaweza kuwa Kaffir baada ya kusoma Quran na kukataa baadhi ya mambo/mafunzo.Sipendi kujadili sana mambo ya dini ila kuna wapotoshaji wengi hapa JF,that is all I can say.I apologise for anyone whose mood will change in a -VE way because of what I have written.
 
Hiyo interview msikimbilie kulalamika kuna vitu vingi vinapimwa kwa mfano
1.Je kama jambo hulijui unakubali kwa kuliacha swali au unapoteza muda kwa usiyoyajua?"First things first"
2.Kufaulu si kupata 100%, au kwa lugha nyingine "you are not needed to be the best but do your best"
3.Kwa kupewa maswali mengi na muda mchache only if ni mchache,kazini kuna wakati you have to meet timelines and dead lines within a very short time,sasa hiyo interview possibly inakuandaa kwa hilo so tusiwe wepesi wa kulalamika everything happen for a reason.
4.Kampuni nyingi zinahitaji mtu ambaye anamaliza kazi kwa muda aliopewa so huoni hapo unapimwa
5.Kwa kupewa maswali mengi muda mchache,huoni kama tayari you will be working under pressure with minimum supervision,je hujaandika hili kwenye CV yako,by the way makampuni yanahitaji watu wanaoweza work under pressure.Kuna vitu vingi naweza sema kuhusu hiyo aptitude test,uliza kuna watu wanapiga interview kwenye computer muda uko set ukiisha inakulog out.Tupunguze kulalamika,there is always a lesson to learn only if you have "eyes" to see.
 
km watu kama nyinyi mnaajiriwa pale basi nssf imegeuka sehemu ya kulakula bajia na kunya kunya tu.hamna kazi mnayoweza nyinyi kina yakhe zaidi ya unaa na kujaza choo tu.

yaaani umemsoma hadi mwisho na umeshindwa kujua jamaa ni dini gani? wewe ni mburula
 
Nilikuwa mmoja wa waliobahatika kuitwa kwenye written interview ya Operations Officer, interview iliyofanyika leo IFM.
Lakini moja ya maajabu niliyokutana nayo ni kupewa maswali 100 yanayotakiwa kujibiwa ndani ya dakika 135.

Kwa maana hiyo ili kupata alama zote(100%) inatakiwa kila swali lijibiwe sahihi ndani ya dakika 1 na sekunde 21 tu. Sijui waandaaji wa hayo maswali walitumia kigezo gani kupima kiasi kwamba mtahiniwa anaweza kupata muda wa kusoma swali, kulielewa na kutoa uamuzi ndani ya hiyo dakika moja.

Kwa kweli unatakiwa kuwa na supersonic speed ya ubongo sehemu ya kufikiri ili uweze kumaliza aptitude test hiyo vinginevyo lazima uwe umeyaona maswali kabla.

Kama huu sio usanii basi ni kukomoana.
Nasikia NSSF wanaita watahiniwa wote sijui nini kimetokea maana second written interview huhusisha watahiniwa waliopita interview ya kwanza lakini si wote.
 
Back
Top Bottom