Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,505
- 51,107
interview ya kwanza kati ya mwandishi wa habari mashuhuri bwana Morgan na Bassem ilivunja rekodi katika viewership, kwa kuweza kuangaliwa na watu zaidi ya milion 10 ndani ya siku chache. Bwana Morgan anasema kuwa kamwe hajawahi kupata views nyingi namna hiyo.
Baada ya mafanikio hayo, Bwana Morgan akafanya part 2, yenye elimu nzito sana kuhusu mgogoro huo. Safari hii bwana Bassem hajatumia tena satire kutoa elimu, bali katumia wasaa huo kutoa somo kwelikweli. Unaweza kuiangalia interview hii hapa chini.
Kama kweli unataka kuulewa mgogoro wa Palestina na Waisrael, basi interview hii ni a must watch.
Baada ya mafanikio hayo, Bwana Morgan akafanya part 2, yenye elimu nzito sana kuhusu mgogoro huo. Safari hii bwana Bassem hajatumia tena satire kutoa elimu, bali katumia wasaa huo kutoa somo kwelikweli. Unaweza kuiangalia interview hii hapa chini.
Kama kweli unataka kuulewa mgogoro wa Palestina na Waisrael, basi interview hii ni a must watch.