fikikungetaa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2015
- 331
- 79
Kumbe wanalipa vizur basi nipeni details maana hata mm nmetumiwa email kwamba nitapigiwa simu. Lakini siku zinaenda hawajatuma email tena ya kuniambia ni lini na wapi nitakapofanyia usaili?
Mkienda kwenye interview hakikisha ngeli yako uko vzurii. ..mtarudia online test ile ile. ..thn mtawekwa kwa groups m discuss and final individual intervw. .watakaofuzu watajoin training ya kama two weeks iv..baada ya apo mtaanza kusambazwa mkoani. .Mara .manyara. dodoma na vijiji vyote...kama we ni bishoo au sister duu hyo kazi haikufai coz wengi wenu mtapangiwa sales. ..na sales unasaka wateja vijijini wa solar
Mkienda kwenye interview hakikisha ngeli yako uko vzurii. ..mtarudia online test ile ile. ..thn mtawekwa kwa groups m discuss and final individual intervw. .watakaofuzu watajoin training ya kama two weeks iv..baada ya apo mtaanza kusambazwa mkoani. .Mara .manyara. dodoma na vijiji vyote...kama we ni bishoo au sister duu hyo kazi haikufai coz wengi wenu mtapangiwa sales. ..na sales unasaka wateja vijijini wa solar
Mi nipo kazini now
Niaje aisee tofauti na mshahara kuna marupurupu gani wanayotoa?
Nilishafukuzwa kazi kwa ulevi