July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Malipo yakoje kaka, na mkiwa training mnalipwa?
Only breakfast n lunch.
Malipo yakoje kaka, na mkiwa training mnalipwa?
Wanalipaje kiasi cha mshahara
Naambiwa hawahitaji CV, ila nikiingiza link inakuja kupitia zoom na inanitaka niapload CV...Msaada tafadhali
Me nategemea kufanya saa kumi leo
mi nilifanya test online wakaniita interview bt kutokana na ratba ya chuo nikashidwa hudhuria nikiaply tena wananambia tayari nifanye ili nami nikafanye hiyo interview
Aisee hawa jamaa nilikuwa nawachukilia poa..ila jana nimeamini.wamejipanga
tushirikishe na cc sasa.umegundua nin kuwahusu?
Hawa jamaa kwanza nilikuwa nahisi hawana ofisi..ila nilichaguliwa kwenye interview isamilo pale ofisi zao nikakuta ndinga kama 8 hivi double cabin nyeupe mpyaa zina chata ya m-power..wakatupa utaratibu mzuri tu na academy itakavyo kuwa..na endapo ukifanikiwa kuchaguliwa incentives zake.
kuona ndinga tu tayari ukadata mkuu?mbona wizara ya elimu ya jamhuri wa muungano wa tanzania ina ndinga za maana tu lakini ndiyo wizara inayoongoza kwa kuwa na magumashi ktk kuwalipa watumishi wake?