Vanpopeye
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 620
- 59
hatari sana!..eti nilisikia baada ya miaka 2 inakuwa yako kong'okong'o.Hahahahahaha.... Google crome counter book
hatari sana!..eti nilisikia baada ya miaka 2 inakuwa yako kong'okong'o.Hahahahahaha.... Google crome counter book
that is what contract saidhatari sana!..eti nilisikia baada ya miaka 2 inakuwa yako kong'okong'o.
naisubiri nije nikuombe hiyothat is what contract said
Wanajiita Zola siku hizinaisubiri nije nikuombe hiyo
eehh... umewapenda eeh?Wanajiita Zola siku hizi
Nimeona tu duka Lao.. Sipo huko mkuueehh... umewapenda eeh?
Am off offgridnaisubiri nije nikuombe hiyo
Lakini hlo jina la M-power hawalitumii tena, kuna jamaa yangu anafanya kaz huko amenambia uongozi mzima umebadilika, jina la kampuni na mpaka mafao Kwa wafanya kazi yamepunguzwa. Ngoja nimdodose jamaa vyema afu ntadondosha info hapa.Ndugu wana jamvi,
Kuna hii kampuni inayojiita M-Power academy, tuli-apply kupitia online test na wameita watu kwenye interview trh. 24 Jan, binafsi siijui kiundani lakini wanasema wanashughulika na off grid electric (solar).
Kwa anaowaijua hii kampuni zaidi ya niijuavyo watusaidie, jinsi wanavyofanya biashara na jinsi wanavyoojiri au ajira yao ni ya commission? maana inavyoonekana hawajaanza leo kuita watu kwenye interview toka mwaka jana wasije kuwa mapatapeli .
Natanguliza shukrani.
Inaitwa Zola. Wamefanya restructuring.Lakini hlo jina la M-power hawalitumii tena, kuna jamaa yangu anafanya kaz huko amenambia uongozi mzima umebadilika, jina la kampuni na mpaka mafao Kwa wafanya kazi yamepunguzwa. Ngoja nimdodose jamaa vyema afu ntadondosha info hapa.
Sio Mobisol.. Ni tofauti kabisa.. Zote ni za wazungu. Sisi tumelala tu wanapiga pesa Kwa kutuuzia JuaHii sindo Mobisol? Au ni tofauti? Maana na Mobisol ipo Arudha pia na wamiliki ni wazungu
hawatuuzii jua, wanatuuzia vifaa vinavyobadili radiations za jua kuwa umeme!!!...Sio Mobisol.. Ni tofauti kabisa.. Zote ni za wazungu. Sisi tumelala tu wanapiga pesa Kwa kutuuzia Jua
Haha.. Kweli walikufundisha vizuri kutafuta watejahawatuuzii jua, wanatuuzia vifaa vinavyobadili radiations za jua kuwa umeme!!!...
ukisema wanatuuzia jua, una maanisha pia TANESCO wanatuuzia maji ya mtera!!!!!!...
hehehe...be positive, ni knowledge ya kawaida tu hii!!!! ;-) ....Haha.. Kweli walikufundisha vizuri kutafuta wateja
Naelewa nilikuwa nazingua tu mkuuhehehe...be positive, ni knowledge ya kawaida tu hii!!!! ;-) ....
mimi nilifundishwa kutafuta wateja, ila kujua what is happening mpaka umeme unatokea sio mauzo. :-D