Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

Even me Jana wameniambia wataniitaa kwenye interview coz online test nimefaulu.but hawa jamaa cjajua wanalipaje..msaada kwa yeyotee anayefaham tafazali
 
Mimi nilifanya online wamenitumia jana kwamba watanicontact kwa ajili ya interview ila email nmeacknowledge leo baada ya kuiona, nackilizia Eeh Mungu nisaidie maisha magumu kitaa
 
Mimi nilifanya online wamenitumia jana kwamba watanicontact kwa ajili ya interview ila email nmeacknowledge leo baada ya kuiona, nackilizia Eeh Mungu nisaidie maisha magumu kitaa

Na mm pia nimeitwa kwenye interview. My bro alifanyaga nao kidogo kaniambia malipo ni laki 6 kipind cha probation na ukiajiliwa salary inaongezeka
 
Hivi baada ya wao kututumia email ya kutualika kwenye interview,inachukua siku ngapi mpaka kufanyika kwa hiyo interview.Mnaofanya kazi M-POWER naomba mnisaidie jibu la hilo swali langu
 
haya guys angalieni emails zenu wameshatoa tareh n venue za interview, nackia ukichelewa kuselect unakuta zimejaa na ndo inaweza kua bas tena....tuendeleeni kupeana updates na miongozo ya interviews zinavyokua
 
haya guys angalieni emails zenu wameshatoa tareh n venue za interview, nackia ukichelewa kuselect unakuta zimejaa na ndo inaweza kua bas tena....tuendeleeni kupeana updates na miongozo ya interviews zinavyokua

Me nimeselect wameniambia "your slottr sheet was created" ,inamana imeshakubali au ?
 
Mmh mim hawajaniambia ivyo sasa sijui hapo na hutakiwi kuslot tena.... Wanaojua watujuze..
 
Mmh mim hawajaniambia ivyo sasa sijui hapo na hutakiwi kuslot tena.... Wanaojua watujuze..

Reimah kuna sehemu nimeiona imeandikwa "slot me in ",nimekliki ikaniletea sehemu ya kujaza information zangu then imekubai ila naona majina ya watu wengine tu waliochagua hii slot,jina langu silioni na ile sehemu ya ku slot haionekani tena,,,je watakua washanikonsida ?
 
Hapo cjui kwa kweli mana mi nlivyoslot tuu nikaona jina langu kwenye session niliyochagua,,,jaribu kuangalia number zao hapo km unaweza kuwasiliana nao otherwise jiridhishe halafu uslot tena ila angalia usislot mahali ambapo watu wameshajaa tayar
 
Reimah kuna sehemu nimeiona imeandikwa "slot me in ",nimekliki ikaniletea sehemu ya kujaza information zangu then imekubai ila naona majina ya watu wengine tu waliochagua hii slot,jina langu silioni na ile sehemu ya ku slot haionekani tena,,,je watakua washanikonsida ?

au inawezekana hiyo slot imejaa em jiridhishe mapema mkuu ujue unafanyaje naona hizo slot zinajaa kama maji na naskia slot moja ni watu ishirini,,,
 
au inawezekana hiyo slot imejaa em jiridhishe mapema mkuu ujue unafanyaje naona hizo slot zinajaa kama maji na naskia slot moja ni watu ishirini,,,

Je nikitaka kuchagua slot zaidi ya moja kuna shida ?
 
au inawezekana hiyo slot imejaa em jiridhishe mapema mkuu ujue unafanyaje naona hizo slot zinajaa kama maji na naskia slot moja ni watu ishirini,,,

Nimefanikiwa kuchagua slot....asaiv jina langu naliona kwenye list ya tar 6
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom