Thadei Mushi
JF-Expert Member
- Mar 15, 2015
- 218
- 66
Sio matapeli nasikia wanalipa kati ya 450k - 630k.. Wee ulifanya online test line na wamekujibu lini?
Wamenijibu Leo
Sio matapeli nasikia wanalipa kati ya 450k - 630k.. Wee ulifanya online test line na wamekujibu lini?
Wamenijibu Leo
Ulifanya test tarehe ngap?
Ndugu wana jamvi,
Kuna hii kampuni inayojiita M-Power academy, tuli-apply kupitia online test na wameita watu kwenye interview trh. 24 Jan, binafsi siijui kiundani lakini wanasema wanashughulika na off grid electric (solar).
Kwa anaowaijua hii kampuni zaidi ya niijuavyo watusaidie, jinsi wanavyofanya biashara na jinsi wanavyoojiri au ajira yao ni ya commission? maana inavyoonekana hawajaanza leo kuita watu kwenye interview toka mwaka jana wasije kuwa mapatapeli .
Natanguliza shukrani.
All the best guys.. mkipita tutafutane..
Mi nina mwezi kazini mpower
Bado upo au umeshatimuliwa?We kobe kama nakujua vile??.
nishatimuliwa tangu January tarehe 24Bado upo au umeshatimuliwa?
Duu... Ila ndio maisha mkuu.nishatimuliwa tangu January tarehe 24
yeah....sana kaka!!!!!..ni experience ya aina yake.Duu... Ila ndio maisha mkuu.
Hii company naona inaua career ya mtu kwasababu haiwezekani hawataki kujua ww ni Nani either mwasibu. Engineer. Mwanasheria hao wanaajiri tu.na kukutrain ufanye kazi zao...madhara niliyoyaona unayoweza kupata ni.
1 hiyo kaz unapangiwa vijijini. .kwa hyo sahau kufanya interviews nyingne ambazo nyingi ni dar es salaam. ..nakumbuka tukiwa training walituambia haturuhusiwi kuhudhuria graduation tukishaajiriwa...
2.career yako Isahau kwa muda kwasababu kama ww ni mwasibu hutoweza kusoma cpa..assume umepangiwa Mara uko..au lawyer school of Law sahau
Ila la mwisho kama unashida ww nenda tu maana mshaara kwa mtu anayeenza sio mbaya ni mzuri kiasi chake
Kila la heri kwa mtakaofanya interview
wewe ulijifukuzisha mwenyewe wala hakuna aliekutimuayeah....sana kaka!!!!!..ni experience ya aina yake.
hahaha....me nilifukuzwa na naniu bwanawewe ulijifukuzisha mwenyewe wala hakuna aliekutimua
kwa hiyo umelog in kwa kutumia chrome eti?...😀😀😀😀😀