Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

Gharama za ughaibuni unamaanisha nin mkuu

Namaanisha pesa ya kujikimu katika kipindi chote cha training ukizingatia kwamba pamoja na kuhudhuria training bado kuna mchujo mwingine so unaweza pata ajira au usipate
 
Hii company naona inaua career ya mtu kwasababu haiwezekani hawataki kujua ww ni Nani either mwasibu. Engineer. Mwanasheria hao wanaajiri tu.na kukutrain ufanye kazi zao...madhara niliyoyaona unayoweza kupata ni.
1 hiyo kaz unapangiwa vijijini. .kwa hyo sahau kufanya interviews nyingne ambazo nyingi ni dar es salaam. ..nakumbuka tukiwa training walituambia haturuhusiwi kuhudhuria graduation tukishaajiriwa...
2.career yako Isahau kwa muda kwasababu kama ww ni mwasibu hutoweza kusoma cpa..assume umepangiwa Mara uko..au lawyer school of Law sahau

Ila la mwisho kama unashida ww nenda tu maana mshaara kwa mtu anayeenza sio mbaya ni mzuri kiasi chake
Kila la heri kwa mtakaofanya interview
 
Namaanisha pesa ya kujikimu katika kipindi chote cha training ukizingatia kwamba pamoja na kuhudhuria training bado kuna mchujo mwingine so unaweza pata aji
ra au usipate

Hapo ndo kuna shida afu naskia hua wanapitisha kisu kikali kutoka themanini hadi thelathini....hawa watu wana haja ya kubadilisha mfumo asee, mim nimewaza hadi nahis kuumwa na sina kazi kwa sasa cna budi kwenda kwa kweli
 
Hii company naona inaua career ya mtu kwasababu haiwezekani hawataki kujua ww ni Nani either mwasibu. Engineer. Mwanasheria hao wanaajiri tu.na kukutrain ufanye kazi zao...madhara niliyoyaona unayoweza kupata ni.
1 hiyo kaz unapangiwa vijijini. .kwa hyo sahau kufanya interviews nyingne ambazo nyingi ni dar es salaam. ..nakumbuka tukiwa training walituambia haturuhusiwi kuhudhuria graduation tukishaajiriwa...
2.career yako Isahau kwa muda kwasababu kama ww ni mwasibu hutoweza kusoma cpa..assume umepangiwa Mara uko..au lawyer school of Law sahau

Ila la mwisho kama unashida ww nenda tu maana mshaara kwa mtu anayeenza sio mbaya ni mzuri kiasi chake
Kila la heri kwa mtakaofanya interview

Bado kuna kile kipindi cha miezi mitatu kuangaliwa kama unaweza kazi au lah hyo naskia wanakupa 450 baada ya hapo kama umewaridhisha na utendaji wako wa kazi ndio wanakuajiri
 
Serikali inapaswa kuichunguza hii kampuni kwa umakini kuhusiana na hizi ajira zao.
 
Mi nadhani ni utashi wako tu they have their standards kama unaona unaweza ukafanya nao kazi unafanya na kama huwezi wapo wanaoweza na ndo maana watu wanafanyaga mtihani wengi sana ila mwisho wa siku wachache ndo wanachaguliwa
 
Ndugu wana jamvi,

Kuna hii kampuni inayojiita M-Power academy, tuli-apply kupitia online test na wameita watu kwenye interview trh. 24 Jan, binafsi siijui kiundani lakini wanasema wanashughulika na off grid electric (solar).

Kwa anaowaijua hii kampuni zaidi ya niijuavyo watusaidie, jinsi wanavyofanya biashara na jinsi wanavyoojiri au ajira yao ni ya commission? maana inavyoonekana hawajaanza leo kuita watu kwenye interview toka mwaka jana wasije kuwa mapatapeli .

Natanguliza shukrani.

Duh kuna mtu anafanya huko nilikua namuomba mwongozo kidooogo, anasema ukianza utalipwa 550 kwa miez mitatu km probation period, halaf ukiendelea utachukua laki saba kwa miezi mitatu mingine halaf baada ya hapo ni Million 1.2 kila mwezi

Tofauti na hvyo kuna overtime ya elf 40 kwa jumamos km nusu siku, overtime ya jumapili, holidays/public dayz ni 80 elfu,....je kuna ukweli na hizi taarifa kwa anaejua vizuri atusaidie hapa tafadhali
 
Duh kuna mtu anafanya huko nilikua namuomba mwongozo kidooogo, anasema ukianza utalipwa 550 kwa miez mitatu km probation period, halaf ukiendelea utachukua laki saba kwa miezi mitatu mingine halaf baada ya hapo ni Million 1.2 kila mwezi

Tofauti na hvyo kuna overtime ya elf 40 kwa jumamos km nusu siku, overtime ya jumapili, holidays/public dayz ni 80 elfu,....je kuna ukweli na hizi taarifa kwa anaejua vizuri atusaidie hapa tafadhali

Siku ya Jumapili watu watakuwa wanamsahau hata Mungu, maana tulivyo na tamaa ya pesa!. ha ha haaa!, hiyo siku ya jumapili watakuwa wamewatega wakristo wenye tamaa ya pesa
 
Duh kuna mtu anafanya huko nilikua namuomba mwongozo kidooogo, anasema ukianza utalipwa 550 kwa miez mitatu km probation period, halaf ukiendelea utachukua laki saba kwa miezi mitatu mingine halaf baada ya hapo ni Million 1.2 kila mwezi

Tofauti na hvyo kuna overtime ya elf 40 kwa jumamos km nusu siku, overtime ya jumapili, holidays/public dayz ni 80 elfu,....je kuna ukweli na hizi taarifa kwa anaejua vizuri atusaidie hapa tafadhali
Ingekua wanalipa 1.2m watu wasingeacha kazi kila cku....ndo maana ajira zao haziishi wanaajiri kila cku
 
Ndugu wana jamvi,
Kuna hii kampuni inayojiita M-Power academy, tuli-
apply kupitia online test na wameita watu kwenye
interview trh. 28 oct, binafsi siijui kiundani lakini
wanasema wanashughulika na off grid electric
(solar).
Kwa anaowaijua hii kampuni zaidi ya niijuavyo
watusaidie, jinsi wanavyofanya biashara na jinsi
wanavyoojiri au ajira yao ni ya commission? maana
inavyoonekana hawajaanza leo kuita watu kwenye
interview toka mwaka jana wasije kuwa mapatapeli .
Natanguliza shukrani.
 
Achana nao labda Kama unataka mshahara wa laki nne kwa mwezi,interview Yao ni vitendo vingi.
 
Ndugu wana jamvi,
Kuna hii kampuni inayojiita M-Power academy, tuli-
apply kupitia online test na wameita watu kwenye
interview trh. 28 oct, binafsi siijui kiundani lakini
wanasema wanashughulika na off grid electric
(solar).
Kwa anaowaijua hii kampuni zaidi ya niijuavyo
watusaidie, jinsi wanavyofanya biashara na jinsi
wanavyoojiri au ajira yao ni ya commission? maana
inavyoonekana hawajaanza leo kuita watu kwenye
interview toka mwaka jana wasije kuwa mapatapeli .
Natanguliza shukrani.
Sio matapeli nasikia wanalipa kati ya 450k - 630k.. Wee ulifanya online test line na wamekujibu lini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom