Michael04356
New Member
- Aug 6, 2015
- 3
- 2
Me nategemea kufanya saa kumi leo
Me nategemea kufanya saa kumi leo
Watakuja wahusika
natamani kujua hasa mjibu ya swali namba 4 na 5.
All the best guys.. mkipita tutafutane..
Mi nina mwezi kazini mpower
Tembelea Zoom Tanzania.com mara kwa mara,huwa wanatoa ajira kila mwezi..Vipi mchakato wa kutuma maombi unakuaje maana ninahitaji iyo kazi pia naomba muongozo tafadhali
Ni off-grid electric company,inahusika na utoaji wa huduma ya umeme kupitia solar energy..Hii mpower ni nini? mi nilizani mkopo wa voda kumbe ni nini?
..teh teh teh,nshakusoma mkuu,habari za Tanga...?All the best guys.. mkipita tutafutane..
Mi nina mwezi kazini mpower
mi nilifanya test online wakaniita interview bt kutokana na ratba ya chuo nikashidwa hudhuria nikiaply tena wananambia tayari nifanye ili nami nikafanye hiyo interview