Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,082
- 2,354
Milioni tatu my foot..kampuni ofisi za kontena kimandolu mshahara milioni tatu? Kamdanganye dadako
unalipwa sh ngapi kuichafua hyo kampuni ya watu?
Milioni tatu my foot..kampuni ofisi za kontena kimandolu mshahara milioni tatu? Kamdanganye dadako
ha ha.....matusi ya nini sasa ......labda kwa taarifa yako tu hao jamaa walitimuliwa kazi na walikuja na mikataba yao ofisini wakihitaji ushauri wa sheria......rafiki yangu ameajiriwa pale miezi kama minne iliyopita...kwa hiyo siongei kwa kujifurahisha naongea kitu nina uhakika nacho....kama unaugomvi na hiyo kampuni weka wazi ila usijitutumue kwa kuongea uongo wa wazi kabisa....Milioni tatu my foot..kampuni ofisi za kontena kimandolu mshahara milioni tatu? Kamdanganye dadako
Mimi pia nmetoka kufanya usaili ila watu wa humu kweny jf baadhi mnawachafua sana m power mbona office zko poa sana tena very conducive inveronment,ukikosa kazi haina maana kuweka bifu ndg
Mkuu me nimemshangaa yule jamaa aliyesema ofice sijui ziko kwenye kontena sijui wap... Kumbe anakisiran chake anataka kutuletea hapa... Office zao haziko kama yy alivyokua anabwabwaja
Jamaa walisema baada ya muda gani wataita waliochaguliwa wadau!.
ebu acha uongo,office za hawa jamaa ziko DTB bulding opposite mount meru hotel.
Yaani utakuwa frustrated sana..kwanza ofisi iko migombani kimandolu kule arusha,ofisi ni sebule plus jiko pembeni..unakaa mezani unafanya kazi huku dada anakaanga samaki..ni sheeedah[/
Umefanya kazi pale nn??? Nime fanya nika aacha.. mwezi ulio pita
Hawa M PAWA wanahitaji watu wangapi kila mkoa wanaofanyisha usaili?
Anyway sio lazima kukubali bt ukweli ni kwamba OGE ni miongoni mwa kampuni zinazolipa vizuri..... RM anachukua more than 5M
acha uongo huduma kwa wateja wanapokea kama mia saba hivi....na kuna jamaa wanawafahamu mishahara yao mmoja milion tatu na upuuzi mwingine millioni mbili na nusu na wao sio ma regional manager ...ni kati ya kampuni inayolipa vizuri tu......
Wana ajiri wafanyakazi 30 adi 40 kila mwezi... Wana branches zao.. Arusha ambayo ni makao makuu, Mwanza, Geita, Mara, Moshi, Karatu, Tanga, Korogwe... Soon wata fungua Dodoma na Morogoro... Sasa iko hivi ukisha pita kwenye training yao ya mwezi mzima ambayo inafanyikia Arusha... Wao ndio wana aamua waku peleke wapi na sio wewe.. hutaki una aachaa.. kwaio usi shangae unatoka Dar. Una pelekwa Mara kufunga Solar...vijijini kwa salary ya laki 4 (400,000) .... Hawatoi reallocation allowance, na wala hawa toi allowance yoyote unapo kua kwenye training... Naku shauri pia kama huna ndugu Arusha beba hela yaku tosha... Na pengine fungasha mizigo yako vizuri uki bahatika uka pita training yao ya mwezi huta rudi kwenu... Uta pewa siku 2 zaku pumzika then huyooo mkoani kuanza kazi mara 1....
Ahsante kwa taarifa.
Kwahyo baada ya training ya mwez mmoja wanaajiri walio faulu tu? au wote wanaofanya training wanawachukua?
Ahsante kwa taarifa.
Kwahyo baada ya training ya mwez mmoja wanaajiri walio faulu tu? au wote wanaofanya training wanawachukua?
Wana aajiri watakao kua wame faulu tu.... Kwaio mnaweza kuingia training watu 75 adi 80 waka chukuliwa watu 30 tu... Usipo chukuliwa uta zawadiwa cheti cha M..Power. so training ni mwezi mzima ambayo ina fanyikia Arusha makao makuu... Gharama za wewe kuji hudumia ukiwa Arusha ni juu yako. Wao wata kupa lunch na breakfast tu... Accommodation / sehemu yaku lala ni juu yako... Unapo kua kwenye training huta pewa allowance yoyote... Na training ni bure... Thamani ya ile training kama wange amua ku toza fees si chini ya laki 6 na si zaidi ya laki 8 na nusu... Training ni mwezi mzima which means kuna week 4 ...week 2 za mwanzoni wata fanya mchujo ambao uta toa nusu ya watu na zaidi wata kao kua kwenye hio training... Walio bakia wote wata enda another 2 weeks training... Ambapo kwa asilimia 99% wote huwa wana pewa ajira... Labda uzengue mwenyewe... Hizo week mbili za mwisho kwa watakao kua wame faulu wata fundishwa jinsi yaku fanya hizo kazi zao ambazo hususani ni ma swala ya solar installations na removals... Na customer care...
huo mchujo wamatumia vigezo gam kupunguza watu au kuna paper mnagonga?