The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 487
- 719
Good moves. Atleast kuna watanzania wameanza kukuna ubongo
Duniani kote ,aptitude test ndio msingi wa usailiNashangaa hii itakuwaje, upendeleo si utakuwapo mkubwa
Mtanzania halisiWw n nani mpk jamii ione lazima upate ajira serikalin
Anira unapata ukikidhi vigezo, kuwa mtoto wa mkulima sio sifa ya kupata ajiraTupewe ajira kwa haki iliyo dhahiri
Hamna upendeleo, ni means za kufanya usaili zimwbadilika. Private institution zimekuwa zikifanya hivyo mbona hatujasikia malalamiko?Upendeleo amna maana majibu unayapata hapo hapo..
Sema kitu kipya kwa watu wengi ila ukiitwa oral ndo dodoma?
Good news aisee, tena wamechelewa. Instead ya watahiniwa wote kwenda darnkufanya usaili, ni bora iliwa hivi. Tena ngazi ya wilaya au mkoa. Ili ile cream ndio iende dar.Sektretarieti ya ajira na utumishi wa umma, leo wametangaza kuanza mchakato wa kufanya usahili kwa njia ya mtandao (online interview) hiki ni kipigo kingine kwa watoto wa wakulima wasiokuwa na mjomba, shangazi, au baba wa kuwashika mkono..
Wabongo walalamishi kulia mpaka kushoto. Kama huyu bwana kalalamika lakini hajaweka logic behind malalamiko yakeJamani mnataka mfanyiwe nini? Kila kitu lawama tu.
Kipgo? Acha hii negativity, itafunga baraka zako nyingi sana.Sektretarieti ya ajira na utumishi wa umma, leo wametangaza kuanza mchakato wa kufanya usahili kwa njia ya mtandao (online interview) hiki ni kipigo kingine kwa watoto wa wakulima wasiokuwa na mjomba, shangazi, au baba wa kuwashika mkono..
Polepole ndio mwendo hizo changamoto zitafika mwisho . kikubwa ni kuanza msiogope kuanza.Mimi ni mtumishi nisijisifu sana kuwa niko wizarani hapana, niko Halmashauri flani kama mhasibu, changamoto ni kuna maeneo yako KM 120 tokea HQ ya halmashauri na huko mtandano unasumbua kuliko, itambidi mtumishi asafiri aroundi 40km kufuata mtandao ili awe anajaza kazi zake kila wiki.
USHAURI WANGU
HUU MFUMO WA KUWATATHMINI WATUMISHI ON-LINE UNGEANZA KWA HATUA NA MAKUNDI FLANI YA WAFANYAKAZI, mfano Ungeanzia wizarani na Halmashauri kwa wafanyakazi wa HQ za Halmashari ndipo waushushe huko chini
Watu wa UTUMISHI walikuja wilayani kwetu wakiwa na ratiba ya siku nne, mtandao ulikuwa unabuma tena mapema asubuhi siku zote wakaondoka na kuomba wawachukue watu watatu wa idara ya utumishi wawapeleke mkoani kwa mafunzo.
Chuo huwa kila mtu Ana laptop huzitupa wapi ?Dah! Upo zako Sumbawanga vijijini huko unatafuta hela ya bando ufanye usaili na internet yenyewe ya Airtel.
Vijana watalazimika kuwa na computer mpakato all the way.
Umeelewa kilichosemwa au umedandia hoja?Sektretarieti ya ajira na utumishi wa umma, leo wametangaza kuanza mchakato wa kufanya usahili kwa njia ya mtandao (online interview) hiki ni kipigo kingine kwa watoto wa wakulima wasiokuwa na mjomba, shangazi, au baba wa kuwashika mkono..
Watoto wa lala hoi ni mwendo wa kujishtukiaUmeelewa kilichosemwa au umedandia hoja?
Kipi bora kusafiri kutoka huko kwenu Kasulu kwenda Dodoma au Dar kufanya interview au kwenda internet cafe hapo Kasulu?
Tumia viungo sahihi kufikiri!