Internet ipo slow sana lakini tunaweza kujuzana mitandao yenye nafuu.
Hapa natumia halotel 4G, ipo slow kama kobe, Imenilazimu nizime picha kidogo kuna nafuu.
Wewe unatumia mtandao gani, je, kuna nafuu?
Pia soma:
- Tanzania: Mtandao wa Intaneti wapotea hewani
- Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
Hapa natumia halotel 4G, ipo slow kama kobe, Imenilazimu nizime picha kidogo kuna nafuu.
Wewe unatumia mtandao gani, je, kuna nafuu?
Pia soma:
- Tanzania: Mtandao wa Intaneti wapotea hewani
- Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania