Internet Outage: Unatumia mtandao gani wenye nafuu kwenye hili janga?

Mtandao usharudi karibu Kila mtandao una access, ila Leo ndo nimegundua Kuna umafia katika biashara, kuanzia Whatsapp Leo ilikua haifanyi kazi, jamii forum hola,Google search hakuna, Facebook na insta hakuna kabisa ila YouTube mi nimetumia kuanzia asubuhi Iko poa kabisa, nikawa sielewi
 
Back
Top Bottom